Saved for Future usesMwisho wa kukatika kwa umeme ni mwezi wa tatu mwakani. Tunaomba muheshimu ratiba 😁
View attachment 2800849
Mvua za kutosha Sasa,kupumzika Tz mpaka kifo,Huku umeme,kule sukari juuAngekuwepo Magufuli kungekuwepo na tatizo la umeme Tanzinia nzima? Wameamua.
Hivi nchi nyingine mitambo yao wanatoa wapi?nafikiri ni itilafu na uzuri mafundi mitambo walalimulika hilo kwa ustadi
Makonda anasemaje kuhusu hili?Salamu wakuu. Walisema mvua ni pungufu mabwawa hayajai maji ndio maana umeme unakatwa sana.
Kwa Sasa mvua ni nyingi Hadi zinaua watu Yani.Hili linahusha sana CV ya nchi yetu pendwa.
Kwa hiyo nguzo zimedondoka nchi nzima?wanabadili nguzo
wanatoa zile zingine na kuweka za zegeKwa hiyo nguzo zimedondoka nchi nzima?
nafikiri hali ya hewa pia inamchango juu ya hitilafu nduguHivi nchi nyingine mitambo yao wanatoa wapi?
KweliUmeme haunashida mkuu
Wenye shida ni TANESCO.
Don't trust an African politician mkuu, tena achilia mbali hawa wa nyumbani wanatuona sisi manyumbuSalamu wakuu. Walisema mvua ni pungufu mabwawa hayajai maji ndio maana umeme unakatwa sana.
Kwa Sasa mvua ni nyingi Hadi zinaua watu Yani.Hili linahusha sana CV ya nchi yetu pendwa.
2025....Loading,Please wait.......Don't trust an African politician mkuu, tena achilia mbali hawa wa nyumbani wanatuona sisi manyumbu
Kwa nn wasisubiri mabwawa yaishe maji ili wawe na sababu ya kukata. Wanakata sas wakati maji yapo, kiangaz watasingizia maji kuoungua. Kiufupi mama samia ana hujumiwa mno.wanatoa zile zingine na kuweka za zege
Hapa mwenye kosa ni rais wetu kuteua viongozi wa shirika la umeme walio incompetent kila kukicha, alianza na Makamba ambaye yuko incompetent kama Waziri Kairuki. Kila kiongozi anayechaguliwa na rais kuendesha hili shirika anakuwa mpuuzi, wanakuwa na visingizio vya kijinga hata mtoto mdogo anakuwa hana. Walitudanganya weee kuhusu kutokuwa na mvua, sijuwi nini.....Mungu kawapiga laana, kwa sasa tuna mvua ya kutisha na bado tatizo la umeme liko pale pale na Mama hafanyi lolote, kana kwamba naye karidhika kwa ujinga huu au anaona ni bora tu liende. Namlaumu Mama moja kwa moja kwa sababu angekuwa mtendaji kweli angefanya kitu hapa, mbona wakati wa Magufuli kulikuwa hakuna huu ujinga, kwanini Mama ashindwe?Salamu wakuu. Walisema mvua ni pungufu mabwawa hayajai maji ndio maana umeme unakatwa sana.
Kwa Sasa mvua ni nyingi Hadi zinaua watu Yani.Hili linahusha sana CV ya nchi yetu pendwa.