kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Ndio maana wananchi hawamuungi mkono kwenye upuuzi wake mwenyewe anaita maandamano!Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,
Wakili msomi Bwn. Tundu Lissu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote.
Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.
Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.
Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.
Hataki kuona ndege zikiruka.
Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.
Tuna mshaka naye.
PIA SOMA
- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Bila shaka unajua Lissu hawajibiki kumpigania mtu yeyote. Akiamua kujipigania mwenyewe sawa tu. Huwezi kumhukumu.Ndio ni u inafsi huo,
Walioumizwa CHADEMA ni wengi,
Watanzania walioumizwa ni wengi,
Angefungua shauri akijumuisha wote waliotekwa na kuumizwa, hapo angeo ekana anapigania maslah ya Watanzania, Si binafsi .
Ndio shida ya wafuasi wa CDMMimi nilivyomsikiliza sikupata hiyo picha. Nilipata picha kwamba:
1. Kutokana na uamuzi wa kesi ya madai iliyofunguliwa na Bw Clifford, huko London, Uingereza, (ambako Mahakama ya Rufani, imesema kwamba iwe public kwa vile Ina masilahi kwa umma, majina ya nchi na wahusika ambayo yalikuwa coded, sasa yatakuwa decided),
2. Amepata mahali pa kuanzia kufunguka kesi ya madai kwenye mahakama za kimaifa akiishtaki Kampuni ya Tigo na serikali ya Tanzania.
3. Kwa vile serikali huwa haipendi kulipa fidia inapokuwa ikidaiwa, kama haitalipa, ndege za Tanzania huko zinakokwenda kwa safari zake zitakamatwa (of course siyo zote, probably mojawapo).
4. Kwa hiyo, context ya kutaja ndege za Tanzania ilikuwa katika kukataa kulipa fidia (ambayo anadai atashinda kesi pengine kufuatana na ushahidi alionao).
5. Hivyo, ndivyo nilivyoelewa, lakini sikuona kwamba hazitakii mema ndege za ATCL.
Namuongelea Lissu kama kiongozi wa CDM, sio Lissu kama baba wa familia yake.Bila shaka unajua Lissu hawajibiki kumpigania mtu yeyote. Akiamua kujipigania mwenyewe sawa tu. Huwezi kumhukumu.
Ni bora uibane serikali iwatendee haki raia wake; isiwaumize badala ya kuhangaika na Lissu.
Namuongelea Lissu kama kiongozi wa CDM, sio Lissu kama baba wa familia yake
Alipopigwa risasi kati yako na familia yake nani alipata hasara ? Ukivunjwa miguu, atakayetaabika kuuguza na kugharamia ni familia yako au washangiliaji wa mitandaoni. ?Namuongelea Lissu kama kiongozi wa CDM, sio Lissu kama baba wa familia yake.
Hazijamkosea tu Lisu bali waliozinunua wamewakosea sana wananchi wote masikini sababu hasara inayotokana na hizi ndege kama ripoti za CAG zinavyosema kila mwaka ni laana kwa taifa. Ndege zimegeuzwa kichaka cha watawala kupiga pesa bila kujali matatizo ya wananchi hasa huko vijijini ikiwemo ubovu wa barabara, huduma mbovu za afya, elimu na maji.Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,
Wakili msomi wa kwenye majukwaa Bwn. Tundu Lisu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote,
Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.
Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.
Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.
Hataki kuona ndege zikiruka.
Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini?? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.
Tuna mshaka nae.
Pia Soma: Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Wakili msanii wa kwenye majukwaaWakili msomi wa kwenye majukwaa Bwn. Tundu Lisu
Alipopigwa risasi tulipata HASARA Watanzania wote. Nchi nzima tulihuzunika, tukamwombea na wengi walishiriki kujitolea matibabu sababu ni kiongozi wa wananchi.Alipopigwa risasi kati yako na familia yake nani alipata hasara ? Ukivunjwa miguu, atakayetaabika kuuguza na kugharamia ni familia yako au washangiliaji wa mitandaoni. ?
Mashaka yako kwa wauaji na watekaji.Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,
Wakili msomi Bwn. Tundu Lissu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote.
Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.
Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.
Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.
Hataki kuona ndege zikiruka.
Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.
Tuna mshaka naye.
PIA SOMA
- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Tena ikiwezekana Lisu afanye mchakato akamate na bandari au Ngorongoro ili mkose cha kuuza.Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,
Wakili msomi wa kwenye majukwaa Bwn. Tundu Lisu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote,
Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.
Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.
Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.
Hataki kuona ndege zikiruka.
Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini?? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.
Tuna mshaka nae.
Pia Soma: Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Alipopigwa risasi tulipata HASARA Watanzania wote. Nchi nzima tulihuzunika, tukamwombea na wengi walishiriki kujitolea matibabu sababu ni kiongozi wa wananchi.
Hapa anayeongelewa ni TUNDU Lissu kama kiongozi, sio Lissu kama mume wa mke wake na baba wa watoto wake.
Usichanganye mambo h
Hujawahi kumtetea hata paka anayepigwa na watoto. Wakati Lissu amewekwa ndani na serikali mara kadhaa kwa kuwatetea wachimbaji madini kabla hajawa mbunge, na kesi alizifunguliwa ni zaidi ya 11 akiwa na baada ya ubunge. Awe mtetezi vipi zaidi ya uhai wake. Toshekeni na damu za watu. Akiwatetea anawekwa ndani, akijitetea au kudai haki yake unageuza kibao, zinakutosha ?Alipopigwa risasi tulipata HASARA Watanzania wote. Nchi nzima tulihuzunika, tukamwombea na wengi walishiriki kujitolea matibabu sababu ni kiongozi wa wananchi.
Hapa anayeongelewa ni TUNDU Lissu kama kiongozi, sio Lissu kama mume wa mke wake na baba wa watoto wake.
Usichanganye mambo hayo.
Ukiwa na dharura utajua faida ya hizo ndege.Hazijamkosea tu Lisu bali waliozinunua wamewakosea sana wananchi wote masikini sababu hasara inayotokana na hizi ndege kama ripoti za CAG zinavyosema kila mwaka ni laana kwa taifa. Ndege zimegeuzwa kichaka cha watawala kupiga pesa bila kujali matatizo ya wananchi hasa huko vijijini ikiwemo ubovu wa barabara, huduma mbovu za afya, elimu na maji.
vitu vya dhuluma wacha zikamatwe tu huko zinaendeshwa kihasara tupu kwa kodi zetuLeo akizungumza na Waandishi wa Habari ,
Wakili msomi Bwn. Tundu Lissu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote.
Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.
Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.
Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.
Hataki kuona ndege zikiruka.
Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.
Tuna mshaka naye.
PIA SOMA
- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Sasa ndege za walipa kodi ndiyo zimempiga risasi!? Ni Chuki binafsi tu inamsumbua kichwani kwake!!We angepigwa risasi mama yako au Baba yako ungekuja na hizi hoja? wacha wataifishe hata zote kabisa
Weka mihemko pembeni tujadili HOJA,Hujawahi kumtetea hata paka anayepigwa na watoto. Wakati Lissu amewekwa ndani na serikali mara kadhaa kwa kuwatetea wachimbaji madini kabla hajawa mbunge, na kesi alizifunguliwa ni zaidi ya 11 akiwa na baada ya ubunge. Awe mtetezi vipi zaidi ya uhai wake. Toshekeni na damu za watu. Akiwatetea anawekwa ndani, akijitetea au kudai haki yake unageuza kibao, zinakutosha ?
Ndege ni mali ya walipa kodi hapo anakuwa anawakomesha walipa kodi kwa kuzikamataKama kuna haki zake azikamate tu
Mlipeni gharama za matibabu na fidia.Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,
Wakili msomi wa kwenye majukwaa Bwn. Tundu Lisu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote,
Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.
Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.
Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.
Hataki kuona ndege zikiruka.
Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini?? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.
Tuna mshaka nae.
Pia Soma: Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani