Nazungumzia iran ilopeleka jeshi lake pakistan na ikajibiwa vizuri na vichaa wenzao wa pakistan sizungumzii vikundi vya kigaidiHata Israel inashambuliwa kila siku katika ardhi yake na panya road wa kiarab hizbulla ambao sio jeshi kamili na silaha zao za kuunga unga na bado umeaminishwa kuwa Israel ina jeshi bora na la kisasa.
So ndo uje ushangae Iran kushambulia na Pakistan!
Kichapo cha siku tatu ndani ya miaka mmitatu. Europe jana wamepitisha euro bil50 kwa ukraine hii kitu ni bado mbichi tutaonyeshana makali. Marekani lini katangaza kua hatoi tena.Marekani kwa sasa haitoi tena msaada kwa Ukraine, huku Russia ikiendeleza kichapo kwa kibaraka huyo wa magharibi.
Ndio mana mrusi kaichukua ukraine yote ndani ya siku tatu na kamwambia mmarekani asisogeeKiboko ya Mmarekani ni Mrussia tu. Hapo USA hana jambo maana anajua kina chake si cha kitoto. Kuanzia tech kaachwa mbali sana.
Putin sio mpumbavu wa kutoyajua haya. Pia sio mpumbavu wakutojua yaliyoikumba USSR. Anaijua Dunia na hawa USA kuliko mtu yoyote hapa AfrikaUSA wanatumia AKILI kupigana vita mkuu
Vita huwa sio KUSHINDA tu
Sasa hivi Russia inapigana na USA indirectly
Wakati Russia anatumia resources zake zote kupigana na Ukraine, USA akitumia washirika wake wanachangia kidogo kidogo kumnyongβonyesha Russia kiuchumi na kijeshi...... Vita ni gharama kubwa mmno
Ndiyo ukikaakaa hauna kazi unavyojidanganya?Usiendeshwe kwa hisia.Tafuta uhalisia.Kuna muda,wakati nikiwa mdogo,nilidhani tembo hauawi na simba.Niaje waungwana
Hapo chini naorodhesha nchi ambazo si Marekani wala Israel itaweza kuthubutu kuingiza pua yake kuzivamia kijeshi kwa namna yoyote ile. Hii ni kutokana na uwezo mkubwa wa kijeshi, kiintelejensia, kiteknolojia ni kiuwezo zilizo nazo nchi hizo katika kulikalisha chini na kulihenyesha taifa lolote litakalothubutu kuvamia ardhi zao.
Hata Mmarekani anajua ndomaana akitaka ku deal nao kiaina huwa anatuma tu silaha huku yeye akiwa nje ya mapambano, au anaishia kushambulia vidagaa vilivyowekwa na hao wababe wasiopenda kuendeshwa kijinga jinga na nchi za magharibi. Kuna wazungu wa buhambwe walikuwa wanaota huku wanatembea kwamba eti Marekani itaivamia Iran kutokana na mashambulizi yaliofanywa na vijana kadhaa huko Iraq.
Wazungu hawa wa buhambwe wengi waliendeshwa na mihemko kuliko uhalisia kamili wa kile wanachokiota. Wenye akili tulipinga kwamba mbabe huyo wa mchongo hawezi kutia pua uajemi kufanya shambulizi, ila hawakutuelewa. Sasa leo wameona wenyewe jinsi mbabe wao alivyokwepa jukumu la kuthubutu kuivamia uajemi. Anachotaka kufanya ni kupambana tu na vijana waliowekwa na waajemi washughulike nae.
Nchi zenyewe ni...
1. Russia
2. Iran
3. China
4. North Korea.
Haya kwa hakika umeyaongea wewe.ukiambiwa uthibitishe wala huna namna ya kufanya hiloRussia alijiapiza eti yeyote atakaye ingilia vita kati yake na Ukraine kwa kuipa chochote Ukraine atapata kichapo ambacho hatakuja kukisahau. Sasa najiuliza Je Marekani anaisaidia Ukraine silaha kwa kificho?
Juzi tu Pakistan nao wameshambulia katika ardhi yao, acheni kuwapaisha, ata Iraq walisema haitowezekana, akapigwa, na Iran atapigwa tu. Ni suala la muda.Iran haikuanza kushambulia kambi za Marekani jana au juzi. Amekuwa akifanya hivyo miaka na miaka na hakuna anaeweza kuthubutu kumface moja kwa moja. Labda washambulie vijana wake ambao na wao watajibu tu baada ya muda.
Hiyo sio Venezuela, Libya au iraq.
Hakuna..
Achana na huyo Mlevi wa dini bwasheeMwaka 2021 Israel walishambulia kituo cha nuclear cha Iran cha Karaj kwa drones.
China na Marekani sio maadui kihivyo, juzi kati tu hapo Xi Jinping alikuwa California anagonga mvinyo na Biden.
Haya bhanaHaya kwa hakika umeyaongea wewe.ukiambiwa uthibitishe wala huna namna ya kufanya
Ona sasa ulivyo hujui taarifa.Nazungumzia iran ilopeleka jeshi lake pakistan na ikajibiwa vizuri na vichaa wenzao wa pakistan sizungumzii vikundi vya kigaidi
Juzi au wiki zilizopita?Juzi tu Pakistan nao wameshambulia katika ardhi yao, acheni kuwapaisha, ata Iraq walisema haitowezekana, akapigwa, na Iran atapigwa tu. Ni suala la muda.
Sawa sawa yani umemjibu sawa na akili yake ilipoishia.Ona sasa ulivyo hujui taarifa.
Iran haikupeleka jeshi bali ilishambulia kwa makombora na ndege zisizo na rubani katika kambi za vikundi vya kigaidi.
Pakistan haikuridhishwa kwasababu Iran haikutoa taarifa kwa mamlaka.
Na hata aliposhambulia Pakistan ye mwenyewe amekiri kashambulia maeneo ya waasi hakupiga kambi wala kulenga wanajeshi wa Iran moja kwa moja.
Muwe munatizama habari.
Iran haikupeleka jeshi bali ilishambulia kwa kutumia ndege zisizokuwa na rubani huku wairan wenyewe wakiwa majumbani kwao wakiendelea na mambo yao. Hii ni tofauti na Israel ambayo imekuwa ikikusanya jeshi lote, midege yote na mivifaru yote kwenda kupambana na vijana wasiokuwa wanajeshi tena wenye silaha za kienyeji na bado Israel inatoka kapa bila kuwin vita πππNazungumzia iran ilopeleka jeshi lake pakistan na ikajibiwa vizuri na vichaa wenzao wa pakistan sizungumzii vikundi vya kigaidi
Wenye akili tu ndo tumekuelewa. Acha tusubiri wamarekani wa gongo la mboto waje tuone comment zao zitasemaje juu ya hili.Putin sio mpumbavu wa kutoyajua haya. Pia sio mpumbavu wakutojua yaliyoikumba USSR. Anaijua Dunia na hawa USA kuliko mtu yoyote hapa Afrika
πππ tembo anaweza kuuwawa na simba, lakini sio kwa simba mmoja, na sio kwa tembo mkubwa.Ndiyo ukikaakaa hauna kazi unavyojidanganya?Usiendeshwe kwa hisia.Tafuta uhalisia.Kuna muda,wakati nikiwa mdogo,nilidhani tembo hauawi na simba.
Iran haimo acha ushabikiNiaje waungwana
Hapo chini naorodhesha nchi ambazo si Marekani wala Israel itaweza kuthubutu kuingiza pua yake kuzivamia kijeshi kwa namna yoyote ile. Hii ni kutokana na uwezo mkubwa wa kijeshi, kiintelejensia, kiteknolojia ni kiuwezo zilizo nazo nchi hizo katika kulikalisha chini na kulihenyesha taifa lolote litakalothubutu kuvamia ardhi zao.
Hata Mmarekani anajua ndomaana akitaka ku deal nao kiaina huwa anatuma tu silaha huku yeye akiwa nje ya mapambano, au anaishia kushambulia vidagaa vilivyowekwa na hao wababe wasiopenda kuendeshwa kijinga jinga na nchi za magharibi. Kuna wazungu wa buhambwe walikuwa wanaota huku wanatembea kwamba eti Marekani itaivamia Iran kutokana na mashambulizi yaliofanywa na vijana kadhaa huko Iraq.
Wazungu hawa wa buhambwe wengi waliendeshwa na mihemko kuliko uhalisia kamili wa kile wanachokiota. Wenye akili tulipinga kwamba mbabe huyo wa mchongo hawezi kutia pua uajemi kufanya shambulizi, ila hawakutuelewa. Sasa leo wameona wenyewe jinsi mbabe wao alivyokwepa jukumu la kuthubutu kuivamia uajemi. Anachotaka kufanya ni kupambana tu na vijana waliowekwa na waajemi washughulike nae.
Nchi zenyewe ni...
1. Russia
2. Iran
3. China
4. North Korea.