Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Kwenye Bible sio kila kitu kilichoandikwa ni chako au kinakuhusu

Ndio maana ulokole ni mgumu because wanafata maagizo yote ya biblia wakati maagizo mengine yalikuwa specific Kwa watu flan tu

So wewe unaposoma zingatia unachosoma ni Kwa ajili ya dunia mzima au Kwa ajili ya watu flan Tu?

Kuna watu walitakiwa kuambiwa jehanam kuna Moto

Kuna watu walitakiwa kuambiwa jehanam kuna Nge wakali

So ndugu yangu so kinacho kuhusu
Umeelewa uzi au umekurupuka kama mlevi?
 
Asali inapatikana katikati ya nyuki,hata biashara nzuri ni yenye changamoto nyingi.changamoto zinafanya wengine washindwe kuifanya na wewe ukiijua siri ya kuifanya unapiga faida nyingi maana unakua uoo peke yako ulingoni.
So hao unaoona wewe wanaongopea wapo maana ni mkakati wa ibilisi kuua Ukristo wa kweli kwa kuleta manabii wa uongo.
So huwezi sema ukristo ni uongo sababu ya makenz au kiboko ya wachawi,walikuwepo tangu zaman na wataendelea kuwepo ila mwenye akili anajua nini cha kufanya.

Yesu aliagiza enendeni ulimwenguni kote mkawafanye watu kuwa wanafunzi wangu,sasa kama wewe umeamua kua mwanafunzi wa makenzi au kiboko ya wachawi ni maamuzi yako ila sio maagizo ya Mungu.
Thubutu, nilidhani uta andika kwa fact according to bibilia lakini unatumia porojo zisizo kuwa na maana, kwa sababu mlilamika wenyewe baada ya kuwa ana post pesa zenu alizo walangua mkasema serikali iingilie Kati sio nyie?, au walikua jumuisha ya ma sheikh?, , a part from that nimeweka mfano 3:15 wagalatia. nilidhani una kuja kupinga na hoja kumbe sivo, skia nikwambie tukio la kubatizwa kwa yesu ni la kubuni, tukio la kufa kwa yesu nalo limejaa utata mtupu, tukio la kufufuka napo halieleweki, ukija ktk uungu wa yesu lime buniwa kweli kweli in fact yeye mwenyewe ana Kataa, na haya yote yapo according to bibilia, anaye pinga aje hapa tupeane elimu na siyo ubishani Lete andiko nami ni Lete andiko,

Note: hata tukio la kuzaliwa yesu 25 December ni la kubuni,
 
Thubutu, nilidhani uta andika kwa fact according to bibilia lakini unatumia porojo zisizo kuwa na maana, kwa sababu mlilamika wenyewe baada ya kuwa ana post pesa zenu alizo walangua mkasema serikali iingilie Kati sio nyie?, au walikua jumuisha ya ma sheikh?, , a part from that nimeweka mfano 3:15 wagalatia. nilidhani una kuja kupinga na hoja kumbe sivo, skia nikwambie tukio la kubatizwa kwa yesu ni la kubuni, tukio la kufa kwa yesu nalo limejaa utata mtupu, tukio la kufufuka napo halieleweki, ukija ktk uungu wa yesu lime buniwa kweli kweli in fact yeye mwenyewe ana Kataa, na haya yote yapo according to bibilia, anaye pinga aje hapa tupeane elimu na siyo ubishani Lete andiko nami ni Lete andiko,

Note: hata tukio la kuzaliwa yesu 25 December ni la kubuni,
Fact ni kujibu kwa logic sio porojo

ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla (10:94) kwa muktadha huu Allah anaamini Vitabu vilivyotangulia vilikua vimekamilika unakubali au unakataa kama utakataa basi wewe unajua Quran na Biblia kuliko Allah na Muhammad!
 
Fact ni kujibu kwa logic sio porojo

ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla (10:94) kwa muktadha huu Allah anaamini Vitabu vilivyotangulia vilikua vimekamilika unakubali au unakataa kama utakataa basi wewe unajua Quran na Biblia kuliko Allah na Muhammad!
Ebwana eeeh kweli wewe upo empty, nakubalina na iyo haya zaidi ya 100% maana haya ni maneno ya Allah (s.w) na ndio uhalisia wenyewe kabisa, naku sahihisha hivi Allah (s.w) anajua vitabu vyake vimekamilika Kwa ukamili wake, vitabu vya Allah (s.w) vipo vi nne tu navyo ni

Zaburi - Daud(a.s)
Torati - Mussa(a.s)
Injili - Issa (a.s)
Quran - Muhammad (s.a.w)

Hiyo ni list ya vitabu vya Allah, na hapo alikua ana aambiwa mtume Muhammad (s.a.w) , rejea zipo ktk vitabu zaburi, torati,na injili pia huo ulioutoa hapo juu ni ushahidi tosha kuwa uislamu ulianza enzi na enzi, nashangaa mada imeanzia ktk bibilia lakini una kimbilia ktk kivuli cha Quran kariim lakini napo huko ndio kugumu, NOTE: bibilia sio kitabu cha Mungu ref 3:15 wagalatia
Na yesu sio Mungu (hii Nita leta ushahidi according to bibilia na siyo Quran, maana Quran hauitambui hvo hapa haiusiki isopokua ni bibilia tu
 
Fact ni kujibu kwa logic sio porojo

ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla (10:94) kwa muktadha huu Allah anaamini Vitabu vilivyotangulia vilikua vimekamilika unakubali au unakataa kama utakataa basi wewe unajua Quran na Biblia kuliko Allah na Muhammad!
Bibilia ni maneno ya Paulo utake ama usitake ushahidi ni huu apa na ikibidi nukuu maneno ya Paulo ktk haya hii 3:15 wagalatia kisha ya weke hapa ili wana JamiiForums wajionee wenyewe na wachambue au ku translate, na aya ipo well naked,
note pinga according to bibilia na si vinginevyo,
hoja yangu ya pili yesu sio Mungu una kubali?
 
Ebwana eeeh kweli wewe upo empty, nakubalina na iyo haya zaidi ya 100% maana haya ni maneno ya Allah (s.w) na ndio uhalisia wenyewe kabisa, naku sahihisha hivi Allah (s.w) anajua vitabu vyake vimekamilika Kwa ukamili wake, vitabu vya Allah (s.w) vipo vi nne tu navyo ni

Zaburi - Daud(a.s)
Torati - Mussa(a.s)
Injili - Issa (a.s)
Quran - Muhammad (s.a.w)

Hiyo ni list ya vitabu vya Allah, na hapo alikua ana aambiwa mtume Muhammad (s.a.w) , rejea zipo ktk vitabu zaburi, torati,na injili pia huo ulioutoa hapo juu ni ushahidi tosha kuwa uislamu ulianza enzi na enzi, nashangaa mada imeanzia ktk bibilia lakini una kimbilia ktk kivuli cha Quran kariim lakini napo huko ndio kugumu, NOTE: bibilia sio kitabu cha Mungu ref 3:15 wagalatia
Na yesu sio Mungu (hii Nita leta ushahidi according to bibilia na siyo Quran, maana Quran hauitambui hvo hapa haiusiki isopokua ni bibilia tu
Kwaio unaamini hivyo vitabu vilivyomo kwenye biblia?
 
Jina lako tu laonyesha akili huna... Utaweza elewa maandiko 💩AssHole
 
Kwaio unaamini hivyo vitabu vilivyomo kwenye biblia?
Si iamini bibilia hata chembe (3:15 wagalatia) isipokuwa pale ikisema ukweli (mifano yake ipo ila ni michache sn) , in shot
Bibilia siyo kitabu cha Mungu
Bibilia imejaa visa vya kutunga visivo ingia akilini ata usome usiku au mchana
Bibilia ni Paulo
Kuna vitabu ktk bibilia havijulikani nani aliye andika na ushahidi upo
Alafu hapo ni amini?
 
Bibilia ni maneno ya Paulo utake ama usitake ushahidi ni huu apa na ikibidi nukuu maneno ya Paulo ktk haya hii 3:15 wagalatia kisha ya weke hapa ili wana JamiiForums wajionee wenyewe na wachambue au ku translate, na aya ipo well naked,
note pinga according to bibilia na si vinginevyo,
hoja yangu ya pili yesu sio Mungu una kubali?

Sheria Na Ahadi​

15 Ndugu zangu, napenda nitoe mfano kutoka katika maisha ya kila siku. Hakuna mtu anayetengua wasia wa mtu au kuuongezea ukishatiwa sahihi. 16 Abrahamu alipewa ahadi yeye pamoja na mzawa wake. Lakini Maandiko hayasemi, “Na wazao wake,” Kwa maana ya wengi, bali yanasema, “Na mzawa wake,” yaani mmoja, ambaye ndiye Kristo. 17 Ninachotaka kusema ni kwamba, sheria, ambayo ilitolewa miaka mia nne na thelathini baadaye, haiwezi kutangua agano lililothibitishwa na Mungu na kulifanya duni. 18 Kwa maana, kama urithi wetu unategemea sheria, basi hauwezi tena kutegemea ahadi ya Mungu. Lakini Mungu kwa neema yake alimpa Abrahamu urithi kwa njia ya ahadi. 19 Kwa nini basi ipo sheria? Sheria iliwekwa kwa ajili ya uhalifu hadi atakapokuja yule wa uzao wa Abrahamu, ambaye ali tajwa katika ahadi hiyo. Sheria ililetwa na malaika kwa mkono wa mjumbe. 20 Lakini mjumbe huwakilisha zaidi ya mtu mmoja; bali

Lengo La Sheria​

21 Je, sheria inapingana na ahadi za Mungu? La, sivyo! Kama ingetolewa sheria ambayo ingeweza kuwapa watu uzima, basi haki mbele za Mungu ingepatikana kwa kutimiza sheria. 22 Lakini Maan diko yanasema kwamba ulimwengu wote upo chini ya utawala wa dhambi, kwa sababu hiyo, ile ahadi inatolewa tu kwa njia ya imani katika Yesu Kristo na wanaoipokea ni wale wenye imani.
23 Kabla imani haijakuwepo tulikuwa tumefungwa chini ya sheria, mpaka imani ifunuliwe. 24 Kwa hiyo, sheria ilikuwa kama kiongozi wa kutufikisha kwa Kristo, ili tuhesabiwe haki kwa imani. 25 Lakini sasa kwa kuwa imani imekuja hatusimamiwi tena na sheria. 26 Ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa kumwamini Kristo. 27 Kwa maana nyote mliobatizwa katika Kristo, mmemvaa Kristo. 28 Hakuna tena tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki, mtumwa na mtu huru, mwanaume na mwanamke. Wote mmekuwa kitu kimoja kwa kuungana na Kristo Yesu. 29 Ikiwa ninyi ni wa Kristo, basi ni wa uzao wa Ibrahimu na ni warithi wa ahadi aliyopewa na Mungu.

Hapa unaona Paulo alikua.anawafundisha wagalatia ambao walirudi nyuma kutaka kuhesabiwa haki kwa matendo ya mwili ambacho ni kinyume kwa Wakristo wa sasa maana hatupo chini ya sheria
 
Si iamini bibilia hata chembe (3:15 wagalatia) isipokuwa pale ikisema ukweli (mifano yake ipo ila ni michache sn) , in shot
Bibilia siyo kitabu cha Mungu
Bibilia imejaa visa vya kutunga visivo ingia akilini ata usome usiku au mchana
Bibilia ni Paulo
Kuna vitabu ktk bibilia havijulikani nani aliye andika na ushahidi upo
Alafu hapo ni amini?
Kwaio Allah alikua hajui kama Biblia sio kitabu cha Mungu wewe ndio umekuja kujua? Kwaio Allah ni Muongo na Sio Mungu maana hana ufahamu kama wewe ulionao hadi kuona biblia ina makosa Biblia ilikuepo miaka takribani mia sita(600) hadi hii Aya 10:94 inakuja nikitaka kukubaliana nawewe napata mashaka na Uwezo wa Mungu Allah na Muhammad aliyemtuma sijui unaelewa maama ya Logic??? Usibishe kwa porojo leta logic ukisema "Uwezi kusema Mlima kilimanjaro upo Tanzania ila Tanzania haina mlima kilimanjaro haupo Tanzania hii inakua Fallacy.

Nikikubaliana nawewe maana Mungu Allah sio Mungu na Muhammad sio mtume maana Amequote vitabu ambavyo havijui vimeandikwa nini.!
 
Kwaio Allah alikua hajui kama Biblia sio kitabu cha Mungu wewe ndio umekuja kujua? Kwaio Allah ni Muongo na Sio Mungu maana hana ufahamu kama wewe ulionao hadi kuona biblia ina makosa Biblia ilikuepo miaka takribani mia sita(600) hadi hii Aya 10:94 inakuja nikitaka kukubaliana nawewe napata mashaka na Uwezo wa Mungu Allah na Muhammad aliyemtuma sijui unaelewa maama ya Logic??? Usibishe kwa porojo leta logic ukisema "Uwezi kusema Mlima kilimanjaro upo Tanzania ila Tanzania haina mlima kilimanjaro haupo Tanzania hii inakua Fallacy.

Nikikubaliana nawewe maana Mungu Allah sio Mungu na Muhammad sio mtume maana Amequote vitabu ambavyo havijui vimeandikwa nini.!
Nadiriki kusema nyinyi wakristo muta ibiwa karne na karne tena Mtaibiwa mbele ya madhabuhu (kanisani)na macho yenu yakiwa naked ikiwa wewe ndio sample yao ,wewe ni mpumbavu wa wapumbavu, tena mpumbavu hasa, siku tukani ila wewe ni mwenda wa zimu, tunazungumzia bibilia wewe unataka huruma ktk Quran, sasa una akili sawa sawa , narudia kusema tena bibilia siyo kitabu cha Mungu, ni maneno ya Paulo utake ama usitake ushahidi tosha ni 3:15 wagalatia, huna hoja na hautokua na hoja ya kuutetea ukristo na bibilia , then find your level not me
 

Sheria Na Ahadi​

15 Ndugu zangu, napenda nitoe mfano kutoka katika maisha ya kila siku. Hakuna mtu anayetengua wasia wa mtu au kuuongezea ukishatiwa sahihi. 16 Abrahamu alipewa ahadi yeye pamoja na mzawa wake. Lakini Maandiko hayasemi, “Na wazao wake,” Kwa maana ya wengi, bali yanasema, “Na mzawa wake,” yaani mmoja, ambaye ndiye Kristo. 17 Ninachotaka kusema ni kwamba, sheria, ambayo ilitolewa miaka mia nne na thelathini baadaye, haiwezi kutangua agano lililothibitishwa na Mungu na kulifanya duni. 18 Kwa maana, kama urithi wetu unategemea sheria, basi hauwezi tena kutegemea ahadi ya Mungu. Lakini Mungu kwa neema yake alimpa Abrahamu urithi kwa njia ya ahadi. 19 Kwa nini basi ipo sheria? Sheria iliwekwa kwa ajili ya uhalifu hadi atakapokuja yule wa uzao wa Abrahamu, ambaye ali tajwa katika ahadi hiyo. Sheria ililetwa na malaika kwa mkono wa mjumbe. 20 Lakini mjumbe huwakilisha zaidi ya mtu mmoja; bali

Lengo La Sheria​

21 Je, sheria inapingana na ahadi za Mungu? La, sivyo! Kama ingetolewa sheria ambayo ingeweza kuwapa watu uzima, basi haki mbele za Mungu ingepatikana kwa kutimiza sheria. 22 Lakini Maan diko yanasema kwamba ulimwengu wote upo chini ya utawala wa dhambi, kwa sababu hiyo, ile ahadi inatolewa tu kwa njia ya imani katika Yesu Kristo na wanaoipokea ni wale wenye imani.
23 Kabla imani haijakuwepo tulikuwa tumefungwa chini ya sheria, mpaka imani ifunuliwe. 24 Kwa hiyo, sheria ilikuwa kama kiongozi wa kutufikisha kwa Kristo, ili tuhesabiwe haki kwa imani. 25 Lakini sasa kwa kuwa imani imekuja hatusimamiwi tena na sheria. 26 Ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa kumwamini Kristo. 27 Kwa maana nyote mliobatizwa katika Kristo, mmemvaa Kristo. 28 Hakuna tena tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki, mtumwa na mtu huru, mwanaume na mwanamke. Wote mmekuwa kitu kimoja kwa kuungana na Kristo Yesu. 29 Ikiwa ninyi ni wa Kristo, basi ni wa uzao wa Ibrahimu na ni warithi wa ahadi aliyopewa na Mungu.

Hapa unaona Paulo alikua.anawafundisha wagalatia ambao walirudi nyuma kutaka kuhesabiwa haki kwa matendo ya mwili ambacho ni kinyume kwa Wakristo wa sasa maana hatupo chini ya sheria
Mkuu acha blah blah blah, weka hapa hii aya 3:15 wagalatia ili tuone ina semaje,
 
Kwaio Allah alikua hajui kama Biblia sio kitabu cha Mungu wewe ndio umekuja kujua? Kwaio Allah ni Muongo na Sio Mungu maana hana ufahamu kama wewe ulionao hadi kuona biblia ina makosa Biblia ilikuepo miaka takribani mia sita(600) hadi hii Aya 10:94 inakuja nikitaka kukubaliana nawewe napata mashaka na Uwezo wa Mungu Allah na Muhammad aliyemtuma sijui unaelewa maama ya Logic??? Usibishe kwa porojo leta logic ukisema "Uwezi kusema Mlima kilimanjaro upo Tanzania ila Tanzania haina mlima kilimanjaro haupo Tanzania hii inakua Fallacy.

Nikikubaliana nawewe maana Mungu Allah sio Mungu na Muhammad sio mtume maana Amequote vitabu ambavyo havijui vimeandikwa nini.!
Hiyo edit book, Mungu aka pigana mieleka na yakobo hadi Mungu aka shindwa hadi kuna kuna kucha Mungu yupo hoi, matango pori hayo wape wa madhabahuni
 
Kwaio unaamini hivyo vitabu vilivyomo kwenye biblia?

Nadiriki kusema nyinyi wakristo muta ibiwa karne na karne tena Mtaibiwa mbele ya madhabuhu (kanisani)na macho yenu yakiwa naked ikiwa wewe ndio sample yao ,wewe ni mpumbavu wa wapumbavu, tena mpumbavu hasa, siku tukani ila wewe ni mwenda wa zimu, tunazungumzia bibilia wewe unataka huruma ktk Quran, sasa una akili sawa sawa , narudia kusema tena bibilia siyo kitabu cha Mungu, ni maneno ya Paulo utake ama usitake ushahidi tosha ni 3:15 wagalatia, huna hoja na hautokua na hoja ya kuutetea ukristo na bibilia , then find your level not me
Nadiriki kusema nyinyi wakristo muta ibiwa karne na karne tena Mtaibiwa mbele ya madhabuhu (kanisani)na macho yenu yakiwa naked ikiwa wewe ndio sample yao ,wewe ni mpumbavu wa wapumbavu, tena mpumbavu hasa, siku tukani ila wewe ni mwenda wa zimu, tunazungumzia bibilia wewe unataka huruma ktk Quran, sasa una akili sawa sawa , narudia kusema tena bibilia siyo kitabu cha Mungu, ni maneno ya Paulo utake ama usitake ushahidi tosha ni 3:15 wagalatia, huna hoja na hautokua na hoja ya kuutetea ukristo na bibilia , then find your level not me
Wewe inaonekana unajua maandiko kuliko Allah,Allah na Muhammad ni watupu! wewe unajua zaidi na kama Quran iliandikwa kwa kiarabu jinsi Allah alivyomtupu akashindwa kubadilisha kitabu alicholeta yesu kwa kiarabu maana yake nini akatooa vile vile neno la kigiriki 'injili" kwa maana alikariri kuiba maandiko aliyosikia sikia.
 
Hiyo edit book, Mungu aka pigana mieleka na yakobo hadi Mungu aka shindwa hadi kuna kuna kucha Mungu yupo hoi, matango pori hayo wape wa madhabahuni
Hamna kwenye Quran waliposema biblia ni edited kama wewe unasema edited wewe unajua maandiko kuliko Allah ambae hakuona tatizo kwa mda wa miaka miasaba ila umekuja kuona wewe
hiki ni kichekesho kikubwa sana kuliko hata cha Muhammad kumuoa mkwe wake wa mtoto wa kambo.
 
Mimi ni mkristo na ninaamini Mungu yupo na anatenda. Ila kuna mambo ukisoma kwenye biblia lazima ujiulize maswali mengi sana yanayokosa majibu. Leo nitashea nanyi mambo ambayo naona kama yana ukakasi;

1. Kwenye Mwanzo 1:26 imeandikwa kuwa Mungu alisema tuumbe mtu kwa mfano wetu. Nimejiuliza ina maana uumbaji ulifanywa nae kwa kushirikiana na wengine? Hakuwa peke yake? Hao wengine kina nani?

2. Mwanzo 6 - 10 kuna stori maarufu ya Nuhu. Hii ni stori ina ukakasi zaidi. Nikiandika maswali yote niliyojiuliza uzi utakuwa mrefu. Ninashauri mkaisome ili tuifungulie uzi wake.

3. Kutoka 11:5-6 kuna maandiko yanayosema kuwa wazaliwa wa kwanza wote wa wamisri kwa upande wa binadamu hadi wanyama watauwawa na Mungu mwenyewe ili waisraeli wapewe ruhusa ya kwenda nchi ya ahadi. Kiukweli haya yalikuwa ni mauaji ya halaiki kwa wasio na hatia. Unaambiwa hadi mzaliwa wa kwanza wa mbuzi, kuku, ng'ombe, mbwa na farasi waliuwawa. Kwanini isingetumika njia nyingine hao waisraeli wakaondoka?

4. Kitabu kizima cha Joshua kimejaa stori za mauaji matupu. Ikumbukwe Joshua alichukua nafasi ya Musa kwenye kuwaingiza waisraeli nchi ya ahadi baada ya kifo cha Musa. Nchi waliyoahidiwa ilikuwa tayari ina wakazi wake ambao ilibidi wauwawe wote ili kuwapisha waisraeli. Hivi ilishindikana vipi kufanya kama alivyofanya Mama Samia kuwatoa wamasai Ngorongoro na kuwapeleka Msomera kwa amani kabisa bila kumwaga damu? Kama leo 2024 bado kuna maeneo duniani hayajakaliwa na binadamu ilikuwaje enzi za Joshua? Ukisoma kitabu cha Joshua utaona kila sehemu waliyopita walikuwa wakiua wenyeji watakaowakuta. Kulikuwa na sababu zipi za msingi za mauaji haya yote?

5. Ayubu 1:6-12 utaona stori ya shetani alipojiunga na wana wa Mungu kupita mbele ya Mungu kumwabudu hadi Mungu akashangaa imekuwaje shetani akawa eneo lile? Baada ya hapo Mungu na Shetani wakakubaliana kwenda kumjaribu Ayubu kwa sharti la kutogusa mwili wa ajabu (kumuua). Katika yale majaribu watoto wa Ayubu waliuwawa na shetani. Naweza kusema ni mauaji yaliyokuwa na approval toka juu. Ilikuwa kazi maalum. Je, sio kwamba wawili hawa hukutana na kukubaliana baadhi ya mambo? Sio kwamba kuna kazi za shetani zina kibali maalum?
Bibilia na Quran ziliandikwa na matajiri wa biashara ya utumwa. Nia ya Quran na bibilia ilikuwa ni kuhalalisha uovu wa warabu na wazungu walio fanyia watu weusi kwnye kipindi cha utumwa. Hata majambazi wakisha tajirika huwa wanaanza kusaidia jamii kama njia ya kuhalalisha ujambazi walio tumia kutajirika. Hata wanasiasa mafisadi wakisha Iba kodi za wananchi masikini huenda kutowa misaada kwenye nyumba za yatima, na ibaada.
 
Hiyo edit book, Mungu aka pigana mieleka na yakobo hadi Mungu aka shindwa hadi kuna kuna kucha Mungu yupo hoi, matango pori hayo wape wa madhabahuni
al-Bukhari 6614
Narrated Abu Huraira:
The Prophet (ﷺ) said, "Adam and Moses argued with each other. Moses said to Adam. 'O Adam! You are our father who disappointed us and turned us out of Paradise.' Then Adam said to him, 'O Moses! Allah favored you with His talk (talked to you directly) and He wrote (the Torah) for you with His Own Hand. Do you blame me for action which Allah had written in my fate forty years before my creation?' So Adam confuted Moses, Adam confuted Moses," the Prophet (ﷺ) added, repeating the Statement three times.

Hapa Muhammad anatuonyesha Mussa na Adam wanalaumiana sasa sijui alikutana nao wapi.kichekesho ichi
 
Back
Top Bottom