Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Yaani mkuu bibilia imejaa kujichanganya , tukio la kubatwiza yesu katika bibilia ni la mchongo kumbuka hao waandishi Eti waliongozwa na roho mtakatifu ,
tukio la kufa yesu napo ni utata ,
tukio la kufufuka napo daah hadi aibu , ila ninacho ona wengi hawa isomi bibilia yote kikamilifu badala yake wanachaguliwa cha kusoma
Ni kwa sababu umeamua kukaa upande wa ukosoaji ndo maana unaona mabaya tu, yaani umeshaamia kuwa negative hakuna utakachokielewa katika biblia
 
akili Ina ukomo wa kuyajua mambo ya Mungu ama Mungu mwenyewe. Kwa mfano: akili ya mwanadamu haiwezi kujua maisha baada ya maisha haya. Nini kitafuata baada ya mtu kukutwa na mauti, akili haiwezi kujua.
Ukomo upo sikatai, lakini Allah ametanabaisha kupitia quraan hatma ya mwanadamu baada ya kufa , tena kimeeleza kwa upana wake na kimetoa tahadhari kwa watu , kimeeleza Uzito wa siku kwa mifano mingi tu, siyo hiyo tu kimeeleza binaadamu katokeaje , maisha ya tumboni mwa mama yake mpaka anakuja kuwa mtu yaani mimi na wewe, hakika quraani haijaacha kitu , na kitabu kisichokua na shaka,
Note hakuna kitabu cha dini iwe Buddha, taos, ukristo nk ambacho kimisema habari hizi hata Wanasayansi wenyewe wanajua habari za quraan na wakishindwa kupatajibu basi wakiinda ktk quraan wanashangaa wanakutana na majibu lukuki, pia kusomewa quraan hakutokubadilisha Iman yako
 
Angalau kwa biblia ila Kuna kitabu hiko Kuna Aya hadi leo inanifikirisha sana na sielewi kwanini wafuasi wake wanakaza shingo kukiamini

Qu'ran 2:97
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Nani ni adui wa Jibril? Jibu ni shetani
Kwanini shetani ateremshe Quran na tunaambiwa kuran ni tukufu?

Hili swali haitatakea nikapata jibu la kuridhika
Umetokea kwenye tamthilia za Kituruki kutaka ziondolewa eti zinapendelea Uislamu sasa umekuja kwenye uzi wa Biblia unaleta aya za Quran ambazo hujui hata zina maana gani.
Punguza obsession na Uislamu
 
Tafsiri yake ni umalaya uliohalalishwa halafu baada ya hapo wanaruhusiwa kuwabutua wanawake wao
Quran 4:34
Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni. Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu.

Yaani hii Imani ni ya hovyo sana
Wewe ndio wa hovyo unapoweka tafsiri lazima uufahamishe uma umepata wapi, na nani muhusika huko google , unataka kusema kuwa uislamu una waonea wanawake
 
Wewe ndio wa hovyo unapoweka tafsiri lazima uufahamishe uma umepata wapi, na nani muhusika huko google , unataka kusema kuwa uislamu una waonea wanawake
Alafu unasema kuwa waislamu ni Malaya kupitia quraan
 
Ni kwa sababu umeamua kukaa upande wa ukosoaji ndo maana unaona mabaya tu, yaani umeshaamia kuwa negative hakuna utakachokielewa katika biblia
Ushahidi upo ukitaka utaletewa
Note sio ushahidi wa andiko moja no ni maandiko mengi, sipo negative kama unavyo amini ila nipo ktk ukweli, niweka sana andiko linalo thibitisha kuwa bibilia ni maneno ya Paulo lakini hakuna mkristo aliyekuja kutoa andiko la kukataa badala yake wanataka
 
Tafsiri yake ni umalaya uliohalalishwa halafu baada ya hapo wanaruhusiwa kuwabutua wanawake wao
Quran 4:34
Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni. Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu.

Yaani hii Imani ni ya hovyo sana
Tafsiri ya artificial Intelligence , wewe kweli chizi Surat An nnisah siyo hyo
 
Tafsiri yake ni umalaya uliohalalishwa halafu baada ya hapo wanaruhusiwa kuwabutua wanawake wao
Quran 4:34
Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni. Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu.

Yaani hii Imani ni ya hovyo sana
Kama mtume wa Allah aliweza kutamani mkwe wake na kufanikiwa kumuoa sembuse kuruhusu kununua wanawake kwa waumini wake? SUNNI baadae wakapiga marufuku ila Shia Bado Wananunua wanawake kwa starehe zao
 
Umetokea kwenye tamthilia za Kituruki kutaka ziondolewa eti zinapendelea Uislamu sasa umekuja kwenye uzi wa Biblia unaleta aya za Quran ambazo hujui hata zina maana gani.
Punguza obsession na Uislamu
Ulisema "namna unavyokuja ndo namna unavyopokewa" na nimefanya hivyo
 
Wewe ndio wa hovyo unapoweka tafsiri lazima uufahamishe uma umepata wapi, na nani muhusika huko google , unataka kusema kuwa uislamu una waonea wanawake
HILO HALINA SHAKA NA INAJULIKANA
Uislamu una madhambi mengi saaana sio tu kuonea wanawake Bali pia kurneza chuki na ghasia dhidi ya wasio waislamu
 
Ushahidi upo ukitaka utaletewa
Note sio ushahidi wa andiko moja no ni maandiko mengi, sipo negative kama unavyo amini ila nipo ktk ukweli, niweka sana andiko linalo thibitisha kuwa bibilia ni maneno ya Paulo lakini hakuna mkristo aliyekuja kutoa andiko la kukataa badala yake wanataka
Sisi tunaoamini biblia tuko huru hatufungwi kifikra ukileta hiko unachokiita "ukweli" ndiyo itakuwa vyema sana

Haya leta huo "ushahidi" na "ukweli"

Hilo andiko ni kipi na wewe umetumia vigezo gani kuthibitisha hicho ulichokileta
 
Kama mtume wa Allah aliweza kutamani mkwe wake na kufanikiwa kumuoa sembuse kuruhusu kununua wanawake kwa waumini wake? SUNNI baadae wakapiga marufuku ila Shia Bado Wananunua wanawake kwa starehe zao
Wanapigaje marufuku kitu kilichopo kwenye maandiko yao?
 
Wanapigaje marufuku kitu kilichopo kwenye maandiko yao?
Marufuku kwenye Quran zipo kibao tuu hii inatokea tuu pale Muhammad anataka apendelewe kuanzia Kuoa yeye alioa wanawake wengi,mtoto wa mke wako au mtoto uliomchukua kumlea kuwa kama mtoto halali ilikua inakubaliwa ila baada ya kisa cha mwanae wa kambo kuwa na mwanamke mzuri kupelekea Mtume wa Allah kumtamani,Adoption ikapigwa marufuku.

Sasa kwenye swala la Mutah hakuna Aya kwenye Quran iliokuja kukataza badala yake Ilikuja Hadith kitu ambacho kwa uislam Hadith haina nguvu kukataza jambo la Quran ila Quran ndio kauli ya mwisho kuliko Hadith kutokana na hivyo ndomana Shia wanaendelea na Kuchukua vimada kwa mda na kuwalipa hela.
 
Kama kweli unataka kujua ilitakiwa umtafute anayejua akufundishe

Quran imeletwa Kwa lugha ya kiarabu na kiswahili ni mtoto wa lugha ya kiarabu Yani 95% ya misamiati ya kiswahili ni kiarabu hivyo kiswahili akina uwezo wa kutafsiri Kwa ufasaha lugha ya kiarabu

Ila maana halisi ya hiyo Aya ni hii yapa

Sema:Anayemfanyia uadui Jibrail(anajisumbua),hakika yeye(Jibrail) ameiteremsha (Qur’an) moyoni mwako,kwa idhni ya Mwenyeezi Mungu,inayosadikisha yale yaliyokuwa kabla yake,na ni uongofu na bishara ya waumini”.


Lakini pia kama kweli unataka kujua nani aliyekuwa anamletea mtume Muhammad hiyo Quran mbona Aya nyingine zipo nyingi tu ambazo hazina lugha ngumu Kwa Nini usizisome hizo



Quran 16:102 -
Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, ili awathibitishe wale walio amini, na kuwa ni uwongofu, na ni bishara kwa Waislamu.
Ona hii ng'ombe ya kike inayotaka kupandwa !! 95% ya misamiati ya kiswahili ni kiarabu?
 
Back
Top Bottom