Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Umeelewa nini kilichondikwa kwenye hiyo aya?

Au ulitaka kujuwa nini zaidi?
Nielewe nin sasa tumia ufahamu wako kunielewesha sio maandiko,nikikwambia nipe uthibitisho kuwa hayo maneno ni ya Mungu unaweza kunipa?
 
hivi huko shuleni mlienda kusomea ujinga ee?

Kwahiyo wewe ni mpaka vitabu na mitume waiambie akili yako kuwa kumla mama yako sio matendo mema na ya kiutu ndo uelewe?
Mbona ni mambo ya kawaida yanayoeleweka ambayo sio lazima kufundishwa au kuambiwa ndo uyajue!
Waumini wa dini ni watu waliofungiwa fikra zao ndani ya box,kuna mambo ukitumia akili za kawaida tuu lakin wao mpaka waelekezwe na hivyo vitabu
 
Marufuku kwenye Quran zipo kibao tuu hii inatokea tuu pale Muhammad anataka apendelewe kuanzia Kuoa yeye alioa wanawake wengi,mtoto wa mke wako au mtoto uliomchukua kumlea kuwa kama mtoto halali ilikua inakubaliwa ila baada ya kisa cha mwanae wa kambo kuwa na mwanamke mzuri kupelekea Mtume wa Allah kumtamani,Adoption ikapigwa marufuku.

Sasa kwenye swala la Mutah hakuna Aya kwenye Quran iliokuja kukataza badala yake Ilikuja Hadith kitu ambacho kwa uislam Hadith haina nguvu kukataza jambo la Quran ila Quran ndio kauli ya mwisho kuliko Hadith kutokana na hivyo ndomana Shia wanaendelea na Kuchukua vimada kwa mda na kuwalipa hela.
Subhanallah subhanallah

Kwahiyo waislamu msimamo wai ni upi, ule wa shia au wa sunni?

Na kama wa sunni ina maana wanampinga mitume wao?
Na kama ni wa shia "haki" dini yao iko wapi?

Dini ya laana sana hii
 
Ndugu nimepitia andiko lako,ila kwa uelewa mdogo nilionao juu ya biblia ni mkusanyiko wa nyaraka zilizoandikwa na wanadamu,kila waraka ulielekezwa kwa jamii fulani. Nadhani nyaraka hizi kwakuwa waandishi ni binadamu basi zina mapungufu mengi na inawezekana baadhi zimetungwa tu.
Hii ni kufuru Neno la Mungu limejaribiwa kwa moto huwezi kusema kuna makosa ya kibinadamu kwasababu neno hili liliandikwa na wanadamu wakiongozwa na Mungu mwenyewe kwa njia ya Roho Mtakatifu.
 
Biblia siyo kitabu cha dini, usilinganishe na Qur'an.

Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vya watu.
Biblia sio kitabu cha dini✔️ ( ni neno la Mungu maana Mungu Hana dini)

Quran ni kitabu cha dini ✔️ (ya shetani, Quran 2:97)
 
Subhanallah subhanallah

Kwahiyo waislamu msimamo wai ni upi, ule wa shia au wa sunni?

Na kama wa sunni ina maana wanampinga mitume wao?
Na kama ni wa shia "haki" dini yao iko wapi?

Dini ya laana sana hii
Ndio wametengana madhehebu hapo, Shia hawaamini sana katika hadith ,Sunni wanaziamini kwa ku grade kuanzia Sahih,Hassan,Dhaifu
 
Biblia sio kitabu cha dini✔️ ( ni neno la Mungu maana Mungu Hana dini)

Quran ni kitabu cha dini ✔️ (ya shetani, Quran 2:97)
Upo sahihi kitabu cha Mungu akiwezi kushuka Kwa kumbana Mtu mbavu mapangoni na kuhararisha Mtume wake kukabaka katoto kamiaka 6
 
😂😂😂😂
Kaka nimecheka kwamba mtu kabananishwa mapangoni
Usicheke mshukuru Mungu upo katika neema haujakaririshwa pumba kwa viboko madrasa kuja kuamini mtu asiyejua kusoma na kuandika wa karne ya 7 kwa kitabu kilichojaa uongo na uzushi.
 
Kwani Wanyama wana Fanya vipi?,
Quran kariim imekataza zinaa, fanya ilo katazo halipo (assume) mimi/kidume chochote nakuja kwenu nagonga mlango una fungua nakwambia niitie mama yako, una fanya hvo ana Toka, naongea nae na kisha tunaingia chumbani kula Raha huku wewe uki shuhudia,
swali je utakubali huu mfumo wa maisha?,
Kwa taarifa yako watu wali ishi hv, na jamii nyingi zilikua potofo na watu wengi hawakupenda, uislamu ulipo simama na kusema (Quran kariim) zinaa ni haramu kila mtu alikubali bila ya mjadala papo hapo
Umekaririrshwa ujinga na wewe ukaubeba kama ulivyo,halafu huns hoja ya kutetea hiyo dini yako 🚮
 
Hayo maswali yalkuwepo kitambo.Hata Nicodem aliposkia Yesu akisema suala la kuzaliw mara ya pili ilibid atafte extra time.Hivyo kama vile physics,Maths,Chemistry zilvyo complex kwa baadhi yetu pamoja nakwamb matokeo yake yako waz ktk jamii,hivohivo nadhan hata bible pia.
Hivyo bas me nnaona kila ktu ktk bible hakiwez kueleweka kwa kila mtu kwa kila hatua ya ujifunzaji bibilia.
 
Anayenisaidia kuelewa Mambo ya Kiroho ni Roho Mtakatifu....!

Yote yaliwezekana baada ya kuacha kuufanya Moyo wangu kuwa Mgumu, nilifungua Moyo wangu, nikajikuta naanza kuelewa Mambo ya Ulimwengu wa Roho...!

Maisha yetu yanaanzia kwenye Ulimwengu wa Roho, kila kinachotokea kwenye Ulimwengu wa Mwili, kilianzia kwenye Ulimwengu wa Roho..!

Ndo maana Biblia inasema Kwa Wenye Akili (Wanaotumia Akili za Kibinadamu) habari ya Mungu kwao ni Upumbavu...!
Halafu uelewe mambo ya dini na akili timamu hazikai chumba kimoja
 
Kwaio Muhammad ndio alikua anashuhudia hayo majibizano?
Mwalimu wako alikuwa anapata shida sana kukufundisha ila nitajaribu tena here we go_;
Kuna kitu kinaitwa 'wahyi' ambayo unaweza kuita ufunuo au revelation Mwenyezi Mungu SW humfunulia Mtume wake, kwa njia gani hilo ni somo pana for your comprehension.
 
Umeandika
1. Kama umesoma fasihi utaona kwamba maandiko matakatifu na lugha inayotumika kwenye uandishi wa sheria ni lugha tofauti na lugha inayotumika katika uandishi wa vitabu vya sayansi, jiografia, historia au hata kilimo. Maandishi yenye maudhui ya hekima/maana iliyozama huwasilishwa kwa kutumia 'figures of speech' (misemo iliyobeba maana nzito zaidi ya kilichoelezwa) na huhitaji kufasiliwa. Ndiyo maana misemo ya hekima hutumia methali au nahau katika uwasilishaji wake wa ujumbe kwa hadhira husika. Kwenye uandishi wa sheria utakutana na misemo kama: "Judges like Caesar's wife must be beyond reproach" au "Justice must not only be done, it must also seen to be done" au "The accessory does not lead, but follows its principal" au "Where two clauses in a will are repugnant one to the other, the last in order shall prevail" au "He who is first in time has the strongest claim in law" etc. Style hii ya uandishi huwezi kuikuta katika disciplines nyingine. Hali kadhalika Biblia imeandikwa kwa style yake ambayo huwezi kuikuta katika uandishi wa kawaida. "Tufanye mtu kwa mfano wetu" ni style ya uandishi inayoonyesha "ukuu wa Mungu" (majestic/royal language). Katika sheria Judge anakuwa addressed "His lordship/Your lordship" wakati katika ku'address' watu wengine hatutumii lugha ya namna hii. Au pia Rais anakuwa addressed "His/Her Presidency/Excellency" lakini Rais ya Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) au wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) au Dodoma hatutumii "His/Her Presidency/Excellency". Baadhi ya lugha kama Kifaransa rafiki au mtu unayelingana naye cheo au umri unamsalimia "Comment ca va" (sawa na kusema "hujambo")? (katika umoja). Kama unayemsalimia ni mkubwa kwa umri au cheo unamsalimia "Comment les vous" (sawa na kusema "hamjambo")? (katika wingi). Katika lugha ya Chichewa (Malawi) kumsalimia mtu unayelingana naye umri/cheo utasema "mulibwanji?" (sawa na kusema "hujambo"? (katika umoja). Lakini kama anakuzidi umri/cheo utamsalimia "alibwanji" (sawa na kumsema "hawajambo?" (katika wingi).

2. Simulizi la Nuhu pia lina style yake uwasilishaji. Kila character katika uandishi ana style yake ya uandishi, lakini katika yote ni simulizi linaloonyesha kwamba katika yote mwisho wa siku ni Mungu ndiye anayesimama kama mshindi - kwamba nguvu za asili zinaonyesha mwisho wa siku Mungu ndiye mshindi na katika ushindi huo maisha mapya huanza. Kama umesoma literature utakumbuka matumizi ya masimulizi ya 'tragedy' au mambo yanayotisha/kuogopesha lengo lake ni nini? Ni kujenga ujasiri/kuonyesha kwamba wale wanaoweza kustahimili matatizo au magumu ya maisha ndiyo huibuka washindi, wakati wanaokata tamaa wanashindwa hata kabla ya kuanza safari yao.

3. Biblia imeandikwa katika tamaduni mbalimbali ambazo baadhi zilitumia vita kama njia ya kufikia malengo yao (kuwashinda washindani) na funzo tunalolipata katika masimulizi kama haya ni kwamba kama sisi tunaona kwamba anayeshinda katika vita ndiye jemedali/mpampanaji, Mungu ni zaidi ya huyo jemedali/yeye ndiye mshindi wa washindi. Kama unakumbuka Yesu alikuwa akiwafundisha wanafunzi wake kwamba msimwogope "mtu anayeua mwili", bali yule anayeweza "kuua mwili na roho" - maana yake ni kwamba ukiwaona watawala dhalimu usiwaogope kwa sababu hawana uwezo wa kuangamiza roho yako, bali ukimwogopa Mungu ina maana utaendelea kuishi kwa sababu wale wengine hawawezi kuangamiza roho yako.

4. Ukisoma Biblia ni sawa na mtu anayejiangalia kwenye kioo. Ukijiangalia kwenye kioo utaona sura yako, pamoja na kitu chochote kilicho karibu nawe. Biblia ni Neno la Mungu, na imeandikwa katika muktadha wa jamii za waandishi au hadhira yao, yaani ni mambo gani pia yalikuwa katika maisha yao: kama yalikuwa ya furaha yataonyeshwa (kula na kunywa) na kama yalikuwa ya vurugu (mapigano/kulipiza kisasi) na hii ina maana kwamba hata katika jamii zetu tumezungukwa na mambo mengi ya furaha au huzuni ambayo ni sehemu ya yale tunayoyafanya au fanyiana sisi kwa sisi. Ujumbe wa waandishi usingefika kama wasingeandika mambo yaliyokuwa yakitokea katika maisha yao. Mfano, ukisoma 'Kitabu cha Amos' utakuta unyama uliokuwa ukifanywa 'mtu ananunuliwa kwa bei ya kanda mbili', 'baadhi ya watu walikuwa wakichunwa ngozi', hii ni kuonyesha jinsi jamii ilikuwa imekubuhu katika kutenda maovu dhidi ya watu wenzao kwa sababu ya uchu wa mali, lakini pamoja na hayo yote Amosi aliwaasa watu wake kumtegemea Mungu, kwamba hayo yote yatapita na mwisho wa siku Mungu ndiye atakuwa mshindi.

5. Katika Kitabu cha Ayubu, mwandishi anataka kuonyesha pia kwamba hata uteseke vipi kama ukiweka imani yako kwa Mungu (ukiwa na imani thabiti) hakuna atakayeweza kukuungamiza. Shetani kuwa pamoja na 'watoto wa Mungu' ni sawa na pale wanafunzi wake walipomwambia Yesu kuhusu watu wasio na imani na wakamwambia kwamba je angetaka wakaombe moto ushuke kutoka mbinguni uwaangamize? Lakini yeye akasema "hapana, iacheni ngano ikue pamoja na magugu" na siku ya kuvuna, mvunaji ndiye anayeweza kuona vizuri ipi na ngano bora na yapi ni makapi au magugu na ataweza kutenganisha vizuri. Katika maisha yetu pia tunaona mambo mengi yako sambamba na mabaya na wakati mwingine haya mabaya si kwa level ya uovu, lakini hata hivyo yote yanatufundisha kwamba ubaya au uovu hauwezi kuushinda wema. Na ndiyo maana waliomuua Yesu walidhani wamemwangamiza/wamemumaliza kabisa! Lakini alifufuka akiwa na nguvu/uwezo zaidi wa hata kuweza kupita kwenye mlango uliofungwa bila kufunguliwa - yaana ana mwili ambao haufungwi tena na laws of nature, uwezo ambao hao waliomuua hawana. Hivyo, soma Biblia kwa lengo la kupata ujumbe na siyo kukwama kwenye matukio. Mfano, 'mwezi ukiwa bado mchanga' kabla haujaonekana vizuri mtu akiwahi kukuonyesha kwa kidole "mwezi ule..." usibaki ukiangalia kidole chake, jaribu kufuatisha kidole kule anakokuelekeza ndiko utakapopata huo mwezi na siyo kwenye kidole chake. Hata matukio yaliyo kwenye Biblia yana lengo moja la kutuelekeza/yanatupa ujumbe fulani ambao inabidi tuutafakari na siyo kubaki kwenye hayo matukio, maana tukifanya hivyo hatutapata ujumbe uliokusudiwa.
Umeandika maandishi mengi yasiyokua na maana🚮,hizo jamii mbalimbali unazosema zimezungumziwa kwenye bible kuna waafrika humo?,wewe ni myahudi
 
Mwalimu wako alikuwa anapata shida sana kukufundisha ila nitajaribu tena here we go_;
Kuna kitu kinaitwa 'wahyi' ambayo unaweza kuita ufunuo au revelation Mwenyezi Mungu SW humfunulia Mtume wake, kwa njia gani hilo ni somo pana for your comprehension.
Sawa,kwaio Muhammad alifunuliwa kuona Adam na Mussa wakilaumiana?
 
Back
Top Bottom