Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

KwUKwanini bible iandikwe mafumbo wakati lengo ni kuielewakisoma Yohana 1: 1 - 18
Utaona inatoa majibu ya kwamba wakati wa uumbaji wa ulimwengu na vitu vyake, utaona ulimwengu ulifanywa na Mungu baba na mwana, huyu mwana katajwa kama Nuru au Neno aliyekuja kufanyika mwili (Yesu Kristo)...
 
Mimi ni mkristo na ninaamini Mungu yupo na anatenda. Ila kuna mambo ukisoma kwenye biblia lazima ujiulize maswali mengi sana yanayokosa majibu. Leo nitashea nanyi mambo ambayo naona kama yana ukakasi;

1. Kwenye Mwanzo 1:26 imeandikwa kuwa Mungu alisema tuumbe mtu kwa mfano wetu. Nimejiuliza ina maana uumbaji ulifanywa nae kwa kushirikiana na wengine? Hakuwa peke yake? Hao wengine kina nani?

2. Mwanzo 6 - 10 kuna stori maarufu ya Nuhu. Hii ni stori ina ukakasi zaidi. Nikiandika maswali yote niliyojiuliza uzi utakuwa mrefu. Ninashauri mkaisome ili tuifungulie uzi wake.

3. Kutoka 11:5-6 kuna maandiko yanayosema kuwa wazaliwa wa kwanza wote wa wamisri kwa upande wa binadamu hadi wanyama watauwawa na Mungu mwenyewe ili waisraeli wapewe ruhusa ya kwenda nchi ya ahadi. Kiukweli haya yalikuwa ni mauaji ya halaiki kwa wasio na hatia. Unaambiwa hadi mzaliwa wa kwanza wa mbuzi, kuku, ng'ombe, mbwa na farasi waliuwawa. Kwanini isingetumika njia nyingine hao waisraeli wakaondoka?

4. Kitabu kizima cha Joshua kimejaa stori za mauaji matupu. Ikumbukwe Joshua alichukua nafasi ya Musa kwenye kuwaingiza waisraeli nchi ya ahadi baada ya kifo cha Musa. Nchi waliyoahidiwa ilikuwa tayari ina wakazi wake ambao ilibidi wauwawe wote ili kuwapisha waisraeli. Hivi ilishindikana vipi kufanya kama alivyofanya Mama Samia kuwatoa wamasai Ngorongoro na kuwapeleka Msomera kwa amani kabisa bila kumwaga damu? Kama leo 2024 bado kuna maeneo duniani hayajakaliwa na binadamu ilikuwaje enzi za Joshua? Ukisoma kitabu cha Joshua utaona kila sehemu waliyopita walikuwa wakiua wenyeji watakaowakuta. Kulikuwa na sababu zipi za msingi za mauaji haya yote?

5. Ayubu 1:6-12 utaona stori ya shetani alipojiunga na wana wa Mungu kupita mbele ya Mungu kumwabudu hadi Mungu akashangaa imekuwaje shetani akawa eneo lile? Baada ya hapo Mungu na Shetani wakakubaliana kwenda kumjaribu Ayubu kwa sharti la kutogusa mwili wa ajabu (kumuua). Katika yale majaribu watoto wa Ayubu waliuwawa na shetani. Naweza kusema ni mauaji yaliyokuwa na approval toka juu. Ilikuwa kazi maalum. Je, sio kwamba wawili hawa hukutana na kukubaliana baadhi ya mambo? Sio kwamba kuna kazi za shetani zina kibali maalum?
Ukitaka kumuamini Mungu we muamini kwa njia zako, ila kutumia hivyo vitabu sijui kwenda kanisani ni kutafuta kuchanganyikiwa. Vitabu hivyo vimejaa alot of contradictions. Hivyo vitabu havitaki watu wanaojiuliza bali kuamini tu.

Ukiona unaanza kujiuliza ujue unakaribia kujiunga na sisi tusioenda kanisani, wala kusoma tena hiyo biblia. Yaani utaanza kuishi nje ya box.
 
ndio hiyo iliyosema kuhusiana na mabikira 72 sio?
Na hicho ndio kinacho waponza kila siku nyinyi kondoo, ujuaji mwingi, kejeli, dharau ikiwa unatakakujua uliza kama unataka kujua lakini unauliza kitu alafu unangiza ujuaji, huo ujuaji mngeufanya kanisani basi hakuna mchungaji angeweza kuwapuna, yaani kwa akili zako fupi unajua quraan imeeleza mabikra , kwanza hao mabikra ni wachache yaani wapo wengi sana, pili hao wanaopata mabikra ni final yao, yaani kama ni movie basi ulichoongea wewe ni the end , quraan imeeleza maisha yako ya kaburini , na utakavo fufuka nk
 
Wewe ni mtumwa wa fikra,unatumia nguvu kubwa sana kumtetea huyo Mungu why asijitetee mwenyewe?
Kila siku nasema Allah anajitetea mwenyewe kupitia vitabu vyake na mitume yake , swali kwako, Allah kampa daraja mama ila sayansi haijafanya hivo , na mwanamke ni chombo cha kuzaa, swali kwako unaonaje uki sex na mama yako , maana sayansi ime accept
 
Ukifutilia neno lake utagundua yule mtu haukustahili kuitwa mungu na hata Kama nimungu Basi Ni mungu wa Israel si mungu wa viumbe wote Hana sifa za upendo Bali Ni katili
 
Kuna muda unaweza ukaona umetoa hoja nzito kumbe umeongea zaidi ya pumba za mabua ya mahindi, umeandika nini? hiyo aya aliyekwambia inatafsiriwa hivyo ni nani? kwenye kiarabu kuna vitu vinaitwa dhwamiri hizi zimetumika zaidi kwenye Qur'an, basi hiyo aya inasema hivi:-

"{ قُلۡ مَن كَانَ عَدُوࣰّا لِّجِبۡرِیلَ فَإِنَّهُۥ نَزَّلَهُۥ عَلَىٰ قَلۡبِكَ بِإِذۡنِ ٱللَّهِ مُصَدِّقࣰا لِّمَا بَیۡنَ یَدَیۡهِ وَهُدࣰى وَبُشۡرَىٰ لِلۡمُؤۡمِنِینَ }
[Surah Al-Baqarah: 97]

Aya hii iliyeteremka kwaajili ya mayahudi maana wao ndio husema kuwa jibriyl ni adui yao katika malaika tangu enzi ya musa swala na amani ziwe juu yake, na aya hizi mbili zimeshuka kuwatahariza kuwa kama wao ni maadui wa jibriyl basi yeye ndiye aliyeteremsha Qu'ran kwa mtume muhammad swala na amani ziwe juu yake kwa idhni ya allah, habari ya shetani inatoka wapi?! na aya inayofuatia baada ya hiyo inaonesha wazi makusudio ya aya ya juu, ama shetani hawezi kuteremsha Qu'ran wala haimpasii yeye kufanya hivyo.

"wala {hii Qur'an}hawakuteremka nayo mashetani, wala haiwapasii wao, na wala hawawezi, hakika hao wametengwa {mbali} na kusikia{ukumbusho....."

Qu'ran 26:210-212

Basi maadui wa jibriyl ni mayahudi.

"Basi yeyote ambaye ni adui wa Allah na malaika wake na mitume wake na jibril na miykaail, basi hakika Allah ni ni adui wa makafiri.."

Qu'ran 2:98

Usirudie tena kutafsiri Qu'ran kama unatafsiri lambert.
😂😂😂😂😂
Tufanye wayahudi ni "maadui" wa Jibril
Swali la kwanza;
Je kwanini hao maadui wa Jibril ambao ni makafiri kwenu wawashushie nyie kuluwani?

Swali la pili;
Neno "aliyekuwa adui wa Jibril" linaangazia umoja na sio wingi kama mnavyotaka kutuaminisha kuwa wayahudi ndo maadui wa Jibril, Sasa je kuluwani haijitambui katika uwasilishaji wake wa maandiko hali ya umoja iwakilishe jamii ya watu?

Swali la tatu;
Muhammad ndiye aliyeiteremshiwa kuluwani na alikuwa peke ake mapangoni, je wayahudi (ambao ndo mnawaita ni adui Jibril)waliiteremsha vipi hiyo kuluwani kwa Muhammad?
 
Angalau kwa biblia ila Kuna kitabu hiko Kuna Aya hadi leo inanifikirisha sana na sielewi kwanini wafuasi wake wanakaza shingo kukiamini

Qu'ran 2:97
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Nani ni adui wa Jibril? Jibu ni shetani
Kwanini shetani ateremshe Quran na tunaambiwa kuran ni tukufu?

Hili swali haitatakea nikapata jibu la kuridhika
acha kuruka ruka, mtoa mada katoa vifungu vya biblia tulia hapo, kama una swali kuhusu hiyo aya hapo fungua uzi utajibiwa, acha janja janja watu wanatakiwa kuuwa mpaka mbuzi sasa ana kosa gani?
 
😂😂😂😂😂
Tufanye wayahudi ni "maadui" wa Jibril
Swali la kwanza;
Je kwanini hao maadui wa Jibril ambao ni makafiri kwenu wawashushie nyie kuluwani?

Swali la pili;
Neno "aliyekuwa adui wa Jibril" linaangazia umoja na sio wingi kama mnavyotaka kutuaminisha kuwa wayahudi ndo maadui wa Jibril, Sasa je kuluwani haijitambui katika uwasilishaji wake wa maandiko hali ya umoja iwakilishe jamii ya watu?

Swali la tatu;
Muhammad ndiye aliyeiteremshiwa kuluwani na alikuwa peke ake mapangoni, je wayahudi (ambao ndo mnawaita ni adui Jibril)waliiteremsha vipi hiyo kuluwani kwa Muhammad?
Hili swali limejibiwa sana kama una maswali ya ziada fungua uzi tumalizane huko, kwa leo jikite na mtoa mada, iweje Mungu awe na bifu na wazaliwa wa kwanza mpaka wa wanyama? sasa wanyama wamemfanya nini huko katika biblia? Acha kuruka ruka kama kunde
 
Sikia mkuu, Quran kariim ipo clearly, haiitaji roho mtakatifu bali akili, ulichoweka hapo si ulicho kisema, alafu kila siku mna sahihishwa lakini wapi, hakuna swali ambalo Quran kariim haija jibu, Quran kariim ni maneno ya Allah, ipo wazi, jibril ni malaika wa ALLAH na Shetani ni adui wa wanaadamu, je Quran kariim haija sema hivo?, (ndio hoja yako ipo hapo?
Tulia huyo ameshindwa kutulia kwenye mada anatafuta pa kukimbilia
 
Mimi ni mkristo na ninaamini Mungu yupo na anatenda. Ila kuna mambo ukisoma kwenye biblia lazima ujiulize maswali mengi sana yanayokosa majibu. Leo nitashea nanyi mambo ambayo naona kama yana ukakasi;

1. Kwenye Mwanzo 1:26 imeandikwa kuwa Mungu alisema tuumbe mtu kwa mfano wetu. Nimejiuliza ina maana uumbaji ulifanywa nae kwa kushirikiana na wengine? Hakuwa peke yake? Hao wengine kina nani?

2. Mwanzo 6 - 10 kuna stori maarufu ya Nuhu. Hii ni stori ina ukakasi zaidi. Nikiandika maswali yote niliyojiuliza uzi utakuwa mrefu. Ninashauri mkaisome ili tuifungulie uzi wake.

3. Kutoka 11:5-6 kuna maandiko yanayosema kuwa wazaliwa wa kwanza wote wa wamisri kwa upande wa binadamu hadi wanyama watauwawa na Mungu mwenyewe ili waisraeli wapewe ruhusa ya kwenda nchi ya ahadi. Kiukweli haya yalikuwa ni mauaji ya halaiki kwa wasio na hatia. Unaambiwa hadi mzaliwa wa kwanza wa mbuzi, kuku, ng'ombe, mbwa na farasi waliuwawa. Kwanini isingetumika njia nyingine hao waisraeli wakaondoka?

4. Kitabu kizima cha Joshua kimejaa stori za mauaji matupu. Ikumbukwe Joshua alichukua nafasi ya Musa kwenye kuwaingiza waisraeli nchi ya ahadi baada ya kifo cha Musa. Nchi waliyoahidiwa ilikuwa tayari ina wakazi wake ambao ilibidi wauwawe wote ili kuwapisha waisraeli. Hivi ilishindikana vipi kufanya kama alivyofanya Mama Samia kuwatoa wamasai Ngorongoro na kuwapeleka Msomera kwa amani kabisa bila kumwaga damu? Kama leo 2024 bado kuna maeneo duniani hayajakaliwa na binadamu ilikuwaje enzi za Joshua? Ukisoma kitabu cha Joshua utaona kila sehemu waliyopita walikuwa wakiua wenyeji watakaowakuta. Kulikuwa na sababu zipi za msingi za mauaji haya yote?

5. Ayubu 1:6-12 utaona stori ya shetani alipojiunga na wana wa Mungu kupita mbele ya Mungu kumwabudu hadi Mungu akashangaa imekuwaje shetani akawa eneo lile? Baada ya hapo Mungu na Shetani wakakubaliana kwenda kumjaribu Ayubu kwa sharti la kutogusa mwili wa ajabu (kumuua). Katika yale majaribu watoto wa Ayubu waliuwawa na shetani. Naweza kusema ni mauaji yaliyokuwa na approval toka juu. Ilikuwa kazi maalum. Je, sio kwamba wawili hawa hukutana na kukubaliana baadhi ya mambo? Sio kwamba kuna kazi za shetani zina kibali maalum?
KUNA HII MPAKA PUNDA IMEKULA KWAKE

Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Samueli 15:3
 
KUNA HII MPAKA PUNDA IMEKULA KWAKE

Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Samueli 15:3
Yalikuwa ni mambo ya kiwaki sana. Agano la kale lilikuwa na amsha amsha sio kitoto
 
Mungu ndie Shetan na shetan ndie Mungu, kwa wasio jua walitambue hili kuanzia leo.

MUNGU ktk maandiko anadai hafananishwi na lolote lkn akaja kuumba kiumbe ambaye ni mfano wake(mikanganyiko) tena si pekee bali walikuwa wengi(tumfanye).

Na kuhusu ukatili wa Mungu iyo iko wazi maandiko yanadai aliufanyq Moyo wa farao kuwa mgumu ili aendelee kuwashikilia waisrael na Mungu apate sababu ya kumpiga matukio na mateso kwa wamisri uku akijipatia misifa ya kijinga kwa wafuasi wake.

Yaan Mungu kiufupi ni shetani mwenyewe aliyeshiriki uchawi wa kulaghai na kuloga moyo wa mtu ili atende lile analotaka huyu Mungu, kiufupi Mungu dictecta anapingana na maandiko kuwa aliumba watu wawe na uhuru lkn anaingilie uhuru wao wa maamuzi ya akili na moyo tena kinguvu kwa kuloga akili ya mtu iwaze vile Mungu(shetan) atakavyo.

Kimaandiko na ushahidi Mungu ndie gaidi nambari moja aliyeshiriki mauaji ya viumbe wengi kuliko hata huyo shetan ambaye ndiye yeye mwenyewe kwa majina ya vificho, ndiomaana hutowai kuona Mungu akimuadhibu shetan why? Kwasababu ndiye yeye mwenyewe na hawezi kujiadhibu zaidi zaidi anawalaghai watu kuwa mwisho wa shetan(Mungu) ni hukumu ya milele hapo mwisho wa dunia😀😀 mwisho ambao anautumia kuwadanganya watu akiamini ni mbali.

Amkeni jmn dini hizi mmepigwa
 
Yalikuwa ni mambo ya kiwaki sana. Agano la kale lilikuwa na amsha amsha sio kitoto
Itakuwa kipindi hiko Mungu wa biblia alijizima data, maana watu wengi hawajui hivi vitu, kuwa Mungu alikuwa na hasira mpaka na Mbuzi
 
😂😂😂😂😂
Tufanye wayahudi ni "maadui" wa Jibril
Swali la kwanza;
Je kwanini hao maadui wa Jibril ambao ni makafiri kwenu wawashushie nyie kuluwani?

Swali la pili;
Neno "aliyekuwa adui wa Jibril" linaangazia umoja na sio wingi kama mnavyotaka kutuaminisha kuwa wayahudi ndo maadui wa Jibril, Sasa je kuluwani haijitambui katika uwasilishaji wake wa maandiko hali ya umoja iwakilishe jamii ya watu?

Swali la tatu;
Muhammad ndiye aliyeiteremshiwa kuluwani na alikuwa peke ake mapangoni, je wayahudi (ambao ndo mnawaita ni adui Jibril)waliiteremsha vipi hiyo kuluwani kwa Muhammad?
Sijui hata unaongea vitu gani, wacha nikuache.
 
2:97 Say (O Muhammad): "Whoever is an enemy to
Jibril (Gabriel) (let him die in his fury), for indeed
he has brought it (this Qur'an) down to your heart
by Allah's permission, confirming what came before
it (i.e. the Tawrah and the Injil) and guidance and
glad tidings for the believers.
The scholars of Tafsir agree that this Ayah (2:
97-98) was revealed in response to the Jews who
claimed that Jibril (Gabriel) is an enemy of the
Jews and that Mikhail (Michael) is their friend.
Those hints in brackets who elaborated them? Qur'an? But why elaboration and Qur'an is so satisfactory to its name?
Don't defend it let it defend by itself

Quran is scam
 
acha kuruka ruka, mtoa mada katoa vifungu vya biblia tulia hapo, kama una swali kuhusu hiyo aya hapo fungua uzi utajibiwa, acha janja janja watu wanatakiwa kuuwa mpaka mbuzi sasa ana kosa gani?
Nadhani unapaswa na wewe kutoa ufafanuzi na sio kukwepa kwa kigezo cha "fungus Uzi utajibiwa"
 
Those hints in brackets who elaborated them? Qur'an? But why elaboration and Qur'an is so satisfactory to its name?
Don't defend it let it defend by itself

Quran is scam
He who learns but does not think, is lost! He who thinks but does not learn is in great danger.
 
Back
Top Bottom