Quruani mnasema imeshushwa. Sasa Mungu huwa hashushi maandiko maana sio dikteta. Anatumia watu kuandika. Hiyo qurani ni maandiko yaliyoandikwa na Lucifer akichukuwa maandiko ya Biblia na kuyageuzageuza ili afikie malengo yake. Lengo kuu ni kuzuia Injili. Lakini kama ambavyo siku zote Lucifer anashindwa hata hiyo ya quruani imeshindwa na Waislamu kwa mamilioni wanamgeukia Yesu Kristo.
Wewe huna akili kama wenzako, kwanza soma thread ujue ina husu nini kisha angalia unaye m quote kasema nini kisha kama huna hoja ya kueleweka toa hoja yako, yaani kumbe jf wakristo wake wengi hawajui bibilia, kazi ni kujificha ktk kivuli cha Quran, yaani hawataki kabisa kuisikia bibilia na hii ina prove kuwa bibilia ni kitabu cha uongo, sasa ngoja ni WALIPUE WASIO IJUA BIBILIA hao wakristo walio kalilishwa matango pori
1) bibilia siyo maneno ya Mungu bali ni maneno ya Paulo 3:15 wagalatia
2) kifo cha yesu hakiwezi kumuokoa mkristo 24:16 kumbukumbu ya torati, 6:5 wagalatia nk
3)yesu sio MUNGU, hapa aliopo ukana uungu 18:18 luka, 17:3 yohana, 14:28 yohana nk
4) sifa za Mungu ktk bibilia 33:17 kutoka,( Mungu haonekani), 6:16 Timotheo (Mungu haonekani wala hafi),
5:37 yohana (sauti ya Mungu haijasikika), 121: 1-4 Mungu halali usingizi),
1:17 yakobo (Mungu habadiliki)
5) yesu walimpachika uungu hapa
9:5 warumi, 3:6 Timotheo, 2:13 tito
UDHAIFU WA YESU KTK UUNGU
8:22-24 (matayo alilala usingizi )
20:20 matayo (yesu hana uwezo wa kumpa mtu uzima wa milele )
27:46 (yesu ana mlilia Mungu )
33:17 kutoka, 6:16 Timotheo (yesu alikua anaonekana)
Wakuu someni hizi kwanza, hizi hoja hakuna wa kubisha miongoni mwa wanaoijua bibilia, bibilia ni Fallacies tu, nime weka juu ushahidi kuwa YESU sio MUNGU tena kapinga wazi wazi