Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Nimejibu kama nilivyouliza, sasa wewe una kuja kudandia gari kwa mbele, muislamu hawezi kuamini uongo hata siku moja Kwa sababu ana muongozo sahihi, kama huna hoja usini quote, naongoea na waksto wanaojielewa
🤣🤣 inatakiwa tu! Utumie akili ya kawaida kujua mti mwema ndio uwa unapigwa mawe

Lina umeisha wai kuskia ibada zetu tunawasema waislamu hata kwa dhihaka kwamba ni kafiri
Sie uwa tuna shughulika na mambo yetu,ndio maana kama mnahisi tunapotea mtuache imani hailazimishwi endeleeni kuamini tutaangamia tu bila kutukwaza kwa namna yoyote tuishi hivyo tu
 
He who learns but does not think, is lost! He who thinks but does not learn is in great danger.
When a stupid person wears confidence he turns out to be a mediocre
Stupidity has no confidence

Quran is scam
 
🤣🤣 inatakiwa tu! Utumie akili ya kawaida kujua mti mwema ndio uwa unapigwa mawe

Lina umeisha wai kuskia ibada zetu tunawasema waislamu hata kwa dhihaka kwamba ni kafiri
Sie uwa tuna shughulika na mambo yetu,ndio maana kama mnahisi tunapotea mtuache imani hailazimishwi endeleeni kuamini tutaangamia tu bila kutukwaza kwa namna yoyote tuishi hivyo tu
Mkuu umeongea kwa hisia lakini neno kafiri sio tusi kama unahisi ni tusi basi pole sana mkuu, pia sisi hatuwasemi ktk ibada syo wakristo wala wayahudi, neno kafiri lina mtu asiyefuata uislamu na mafundisho yake kwa hiyo wewe kuitwa kafiri ni sahihi ila nyie mnapenda kubalisha topic hata kama siyo baya basi lionekane baya ili waislamu wapate sifa mbaya
 
Mimi ni mkristo na ninaamini Mungu yupo na anatenda. Ila kuna mambo ukisoma kwenye biblia lazima ujiulize maswali mengi sana yanayokosa majibu. Leo nitashea nanyi mambo ambayo naona kama yana ukakasi;

1. Kwenye Mwanzo 1:26 imeandikwa kuwa Mungu alisema tuumbe mtu kwa mfano wetu. Nimejiuliza ina maana uumbaji ulifanywa nae kwa kushirikiana na wengine? Hakuwa peke yake? Hao wengine kina nani?

2. Mwanzo 6 - 10 kuna stori maarufu ya Nuhu. Hii ni stori ina ukakasi zaidi. Nikiandika maswali yote niliyojiuliza uzi utakuwa mrefu. Ninashauri mkaisome ili tuifungulie uzi wake.

3. Kutoka 11:5-6 kuna maandiko yanayosema kuwa wazaliwa wa kwanza wote wa wamisri kwa upande wa binadamu hadi wanyama watauwawa na Mungu mwenyewe ili waisraeli wapewe ruhusa ya kwenda nchi ya ahadi. Kiukweli haya yalikuwa ni mauaji ya halaiki kwa wasio na hatia. Unaambiwa hadi mzaliwa wa kwanza wa mbuzi, kuku, ng'ombe, mbwa na farasi waliuwawa. Kwanini isingetumika njia nyingine hao waisraeli wakaondoka?

4. Kitabu kizima cha Joshua kimejaa stori za mauaji matupu. Ikumbukwe Joshua alichukua nafasi ya Musa kwenye kuwaingiza waisraeli nchi ya ahadi baada ya kifo cha Musa. Nchi waliyoahidiwa ilikuwa tayari ina wakazi wake ambao ilibidi wauwawe wote ili kuwapisha waisraeli. Hivi ilishindikana vipi kufanya kama alivyofanya Mama Samia kuwatoa wamasai Ngorongoro na kuwapeleka Msomera kwa amani kabisa bila kumwaga damu? Kama leo 2024 bado kuna maeneo duniani hayajakaliwa na binadamu ilikuwaje enzi za Joshua? Ukisoma kitabu cha Joshua utaona kila sehemu waliyopita walikuwa wakiua wenyeji watakaowakuta. Kulikuwa na sababu zipi za msingi za mauaji haya yote?

5. Ayubu 1:6-12 utaona stori ya shetani alipojiunga na wana wa Mungu kupita mbele ya Mungu kumwabudu hadi Mungu akashangaa imekuwaje shetani akawa eneo lile? Baada ya hapo Mungu na Shetani wakakubaliana kwenda kumjaribu Ayubu kwa sharti la kutogusa mwili wa ajabu (kumuua). Katika yale majaribu watoto wa Ayubu waliuwawa na shetani. Naweza kusema ni mauaji yaliyokuwa na approval toka juu. Ilikuwa kazi maalum. Je, sio kwamba wawili hawa hukutana na kukubaliana baadhi ya mambo? Sio kwamba kuna kazi za shetani zina kibali maalum?
Nambuer 5, ni maagizo kutoka juu
 
Mkuu umeongea kwa hisia lakini neno kafiri sio tusi kama unahisi ni tusi basi pole sana mkuu, pia sisi hatuwasemi ktk ibada syo wakristo wala wayahudi, neno kafiri lina mtu asiyefuata uislamu na mafundisho yake kwa hiyo wewe kuitwa kafiri ni sahihi ila nyie mnapenda kubalisha topic hata kama siyo baya basi lionekane baya ili waislamu wapate sifa mbaya
Sasa kufata uislamu ni lazima??....imani yenu inabagua sana wakati Mungu yeye habagui akishusha mvua inamwagia hadi mashamba ya wachawi,majambazi,wezi nk.
šŸ¤£šŸ˜‚ sasa nyie hata kuku tukichinja sie hamli eti haramu,wakati hospitali damu wanawaongezea hata damu zetu sisi tunao kula nguruwe
 
Kwa wabobevu wa theology, hapa kwenye uzi huu ndipo mahala sahihi pa ku apply zile concept 2 muhimu.
  • appologetics
  • polemics
 
Thubutu, nilidhani uta andika kwa fact according to bibilia lakini unatumia porojo zisizo kuwa na maana, kwa sababu mlilamika wenyewe baada ya kuwa ana post pesa zenu alizo walangua mkasema serikali iingilie Kati sio nyie?, au walikua jumuisha ya ma sheikh?, , a part from that nimeweka mfano 3:15 wagalatia. nilidhani una kuja kupinga na hoja kumbe sivo, skia nikwambie tukio la kubatizwa kwa yesu ni la kubuni, tukio la kufa kwa yesu nalo limejaa utata mtupu, tukio la kufufuka napo halieleweki, ukija ktk uungu wa yesu lime buniwa kweli kweli in fact yeye mwenyewe ana Kataa, na haya yote yapo according to bibilia, anaye pinga aje hapa tupeane elimu na siyo ubishani Lete andiko nami ni Lete andiko,

Note: hata tukio la kuzaliwa yesu 25 December ni la kubuni,
Sasa unapinga kwa hasira bila kufikiri?
Yesu ninyi mnaulmuita issa na quran imekuja miaka kibao baada ya biblia,jnataka kusema kwamba tuamini kitabu kilichoandikwa hiv karibuni na kukudharau kitabu kilichoandikwa miaka kibao wakati matukio yakitukia.
Kwanza hata quran inatambua kuwa Yesu alizaliwa na bikira

Al imran 3:47
Akasema: Ewe Mola wangu! Vipi nitapata mtoto na hali hajanigusa mwanaume yeyote? Akasema: Hivyo ndivyo Mwenyezi Mungu Huumba apendavyo; Anapohukumu jambo hulisema tu: 'Kuwa!' likawa

Sasa unaweza kutufafanulia kuwa alizaliwaje na bikira?
Kipi kigumu kufanyika kubatizwa au mtu kuzaliwa bila baba?
 
Mimi ni mkristo na ninaamini Mungu yupo na anatenda. Ila kuna mambo ukisoma kwenye biblia lazima ujiulize maswali mengi sana yanayokosa majibu. Leo nitashea nanyi mambo ambayo naona kama yana ukakasi;

1. Kwenye Mwanzo 1:26 imeandikwa kuwa Mungu alisema tuumbe mtu kwa mfano wetu. Nimejiuliza ina maana uumbaji ulifanywa nae kwa kushirikiana na wengine? Hakuwa peke yake? Hao wengine kina nani?

2. Mwanzo 6 - 10 kuna stori maarufu ya Nuhu. Hii ni stori ina ukakasi zaidi. Nikiandika maswali yote niliyojiuliza uzi utakuwa mrefu. Ninashauri mkaisome ili tuifungulie uzi wake.

3. Kutoka 11:5-6 kuna maandiko yanayosema kuwa wazaliwa wa kwanza wote wa wamisri kwa upande wa binadamu hadi wanyama watauwawa na Mungu mwenyewe ili waisraeli wapewe ruhusa ya kwenda nchi ya ahadi. Kiukweli haya yalikuwa ni mauaji ya halaiki kwa wasio na hatia. Unaambiwa hadi mzaliwa wa kwanza wa mbuzi, kuku, ng'ombe, mbwa na farasi waliuwawa. Kwanini isingetumika njia nyingine hao waisraeli wakaondoka?

4. Kitabu kizima cha Joshua kimejaa stori za mauaji matupu. Ikumbukwe Joshua alichukua nafasi ya Musa kwenye kuwaingiza waisraeli nchi ya ahadi baada ya kifo cha Musa. Nchi waliyoahidiwa ilikuwa tayari ina wakazi wake ambao ilibidi wauwawe wote ili kuwapisha waisraeli. Hivi ilishindikana vipi kufanya kama alivyofanya Mama Samia kuwatoa wamasai Ngorongoro na kuwapeleka Msomera kwa amani kabisa bila kumwaga damu? Kama leo 2024 bado kuna maeneo duniani hayajakaliwa na binadamu ilikuwaje enzi za Joshua? Ukisoma kitabu cha Joshua utaona kila sehemu waliyopita walikuwa wakiua wenyeji watakaowakuta. Kulikuwa na sababu zipi za msingi za mauaji haya yote?

5. Ayubu 1:6-12 utaona stori ya shetani alipojiunga na wana wa Mungu kupita mbele ya Mungu kumwabudu hadi Mungu akashangaa imekuwaje shetani akawa eneo lile? Baada ya hapo Mungu na Shetani wakakubaliana kwenda kumjaribu Ayubu kwa sharti la kutogusa mwili wa ajabu (kumuua). Katika yale majaribu watoto wa Ayubu waliuwawa na shetani. Naweza kusema ni mauaji yaliyokuwa na approval toka juu. Ilikuwa kazi maalum. Je, sio kwamba wawili hawa hukutana na kukubaliana baadhi ya mambo? Sio kwamba kuna kazi za shetani zina kibali maalum?
Kama wewe ni Mkristo utakuwa na mchungaji wako. Kwanini usimuulize? La pili ni kuwa Biblia ni Neno la Mungu la wakati wote. Ni neno la milele lakini pia Yesu Kristo ni Neno. Kwa hiyo kama wewe ni mkristo basi ni muhimu kufahamu kuwa Biblia haisomwi kama gazeti. Unapoifungua omba Mungu na unapokutana na maswali muulize Mungu maana hilo ni neno lake. Hayo maswali yako yote yana majibu lakini siwezi kuandika hapa maana sijajua kama kweli wewe una nia ya kujifunza au kukosoa Neno la Mungu.
 
Sikia mkuu, Quran kariim ipo clearly, haiitaji roho mtakatifu bali akili, ulichoweka hapo si ulicho kisema, alafu kila siku mna sahihishwa lakini wapi, hakuna swali ambalo Quran kariim haija jibu, Quran kariim ni maneno ya Allah, ipo wazi, jibril ni malaika wa ALLAH na Shetani ni adui wa wanaadamu, je Quran kariim haija sema hivo?, (ndio hoja yako ipo hapo?
Quruani mnasema imeshushwa. Sasa Mungu huwa hashushi maandiko maana sio dikteta. Anatumia watu kuandika. Hiyo qurani ni maandiko yaliyoandikwa na Lucifer akichukuwa maandiko ya Biblia na kuyageuzageuza ili afikie malengo yake. Lengo kuu ni kuzuia Injili. Lakini kama ambavyo siku zote Lucifer anashindwa hata hiyo ya quruani imeshindwa na Waislamu kwa mamilioni wanamgeukia Yesu Kristo.
 
Mimi ni mkristo na ninaamini Mungu yupo na anatenda. Ila kuna mambo ukisoma kwenye biblia lazima ujiulize maswali mengi sana yanayokosa majibu. Leo nitashea nanyi mambo ambayo naona kama yana ukakasi;

1. Kwenye Mwanzo 1:26 imeandikwa kuwa Mungu alisema tuumbe mtu kwa mfano wetu. Nimejiuliza ina maana uumbaji ulifanywa nae kwa kushirikiana na wengine? Hakuwa peke yake? Hao wengine kina nani?

2. Mwanzo 6 - 10 kuna stori maarufu ya Nuhu. Hii ni stori ina ukakasi zaidi. Nikiandika maswali yote niliyojiuliza uzi utakuwa mrefu. Ninashauri mkaisome ili tuifungulie uzi wake.

3. Kutoka 11:5-6 kuna maandiko yanayosema kuwa wazaliwa wa kwanza wote wa wamisri kwa upande wa binadamu hadi wanyama watauwawa na Mungu mwenyewe ili waisraeli wapewe ruhusa ya kwenda nchi ya ahadi. Kiukweli haya yalikuwa ni mauaji ya halaiki kwa wasio na hatia. Unaambiwa hadi mzaliwa wa kwanza wa mbuzi, kuku, ng'ombe, mbwa na farasi waliuwawa. Kwanini isingetumika njia nyingine hao waisraeli wakaondoka?

4. Kitabu kizima cha Joshua kimejaa stori za mauaji matupu. Ikumbukwe Joshua alichukua nafasi ya Musa kwenye kuwaingiza waisraeli nchi ya ahadi baada ya kifo cha Musa. Nchi waliyoahidiwa ilikuwa tayari ina wakazi wake ambao ilibidi wauwawe wote ili kuwapisha waisraeli. Hivi ilishindikana vipi kufanya kama alivyofanya Mama Samia kuwatoa wamasai Ngorongoro na kuwapeleka Msomera kwa amani kabisa bila kumwaga damu? Kama leo 2024 bado kuna maeneo duniani hayajakaliwa na binadamu ilikuwaje enzi za Joshua? Ukisoma kitabu cha Joshua utaona kila sehemu waliyopita walikuwa wakiua wenyeji watakaowakuta. Kulikuwa na sababu zipi za msingi za mauaji haya yote?

5. Ayubu 1:6-12 utaona stori ya shetani alipojiunga na wana wa Mungu kupita mbele ya Mungu kumwabudu hadi Mungu akashangaa imekuwaje shetani akawa eneo lile? Baada ya hapo Mungu na Shetani wakakubaliana kwenda kumjaribu Ayubu kwa sharti la kutogusa mwili wa ajabu (kumuua). Katika yale majaribu watoto wa Ayubu waliuwawa na shetani. Naweza kusema ni mauaji yaliyokuwa na approval toka juu. Ilikuwa kazi maalum. Je, sio kwamba wawili hawa hukutana na kukubaliana baadhi ya mambo? Sio kwamba kuna kazi za shetani zina kibali maalum,😳😳😳
 
Quruani mnasema imeshushwa. Sasa Mungu huwa hashushi maandiko maana sio dikteta. Anatumia watu kuandika. Hiyo qurani ni maandiko yaliyoandikwa na Lucifer akichukuwa maandiko ya Biblia na kuyageuzageuza ili afikie malengo yake. Lengo kuu ni kuzuia Injili. Lakini kama ambavyo siku zote Lucifer anashindwa hata hiyo ya quruani imeshindwa na Waislamu kwa mamilioni wanamgeukia Yesu Kristo.
Wewe huna akili kama wenzako, kwanza soma thread ujue ina husu nini kisha angalia unaye m quote kasema nini kisha kama huna hoja ya kueleweka toa hoja yako, yaani kumbe jf wakristo wake wengi hawajui bibilia, kazi ni kujificha ktk kivuli cha Quran, yaani hawataki kabisa kuisikia bibilia na hii ina prove kuwa bibilia ni kitabu cha uongo, sasa ngoja ni WALIPUE WASIO IJUA BIBILIA hao wakristo walio kalilishwa matango pori

1) bibilia siyo maneno ya Mungu bali ni maneno ya Paulo 3:15 wagalatia
2) kifo cha yesu hakiwezi kumuokoa mkristo 24:16 kumbukumbu ya torati, 6:5 wagalatia nk
3)yesu sio MUNGU, hapa aliopo ukana uungu 18:18 luka, 17:3 yohana, 14:28 yohana nk
4) sifa za Mungu ktk bibilia 33:17 kutoka,( Mungu haonekani), 6:16 Timotheo (Mungu haonekani wala hafi),
5:37 yohana (sauti ya Mungu haijasikika), 121: 1-4 Mungu halali usingizi),
1:17 yakobo (Mungu habadiliki)
5) yesu walimpachika uungu hapa
9:5 warumi, 3:6 Timotheo, 2:13 tito
UDHAIFU WA YESU KTK UUNGU
8:22-24 (matayo alilala usingizi )
20:20 matayo (yesu hana uwezo wa kumpa mtu uzima wa milele )
27:46 (yesu ana mlilia Mungu )
33:17 kutoka, 6:16 Timotheo (yesu alikua anaonekana)
Wakuu someni hizi kwanza, hizi hoja hakuna wa kubisha miongoni mwa wanaoijua bibilia, bibilia ni Fallacies tu, nime weka juu ushahidi kuwa YESU sio MUNGU tena kapinga wazi wazi
 
Wagalatia 3:13

Kristo ALITUKOMBOA katika laana ya torati........

neno ALITUKOMBOA linazungumzia wakati uliopita.

Hi ina maanisha kwamba maneno ya Biblia ( sehemu ya agano la kale ) yalikuwepo hata kabla ya Paulo kuzungumza na wagalatia.
 
Wagalatia 3:13

Kristo ALITUKOMBOA katika laana ya torati........

neno ALITUKOMBOA linazungumzia wakati uliopita.

Hi ina maanisha kwamba maneno ya Biblia ( sehemu ya agano la kale ) yalikuwepo hata kabla ya Paulo kuzungumza na wagalatia.
Una maana gani?, maana YESU hawezi ku mkomboa mtu kwa kufa kwake, maana kila mtu ata beba furushi lake mwenyewe, pia huo wakati aliouzungumza ni upi?, note nimetoa maandiko mengi ktk bibilia kuthibitisha huyo YESU sio MUNGU au niendelee kushusha mvua za aya ktk bibilia zinazo kataa UUNGU wa YESU, sio moja na sema zimejaa,

1:17 yakobo (Mungu habadiliki), YESU huo uungu una husika vipi kama syo mchongo wa Paulo?, Eti Mungu sijui baba,sijui mwana aloo nyie acheni fiksi,

kisha hapa YESU sio KRISTO, ndio sijakosea alikataa mwenyewe kuitwa kristo, sasa wewe nani mpaka umwite kristo kasome
hapa 16:20 matayo , 9:18-21 luka

Na nyie mnaosema Eti YESU ni MWANA WA MUNGU , bibilia imekataa kata kata tena Mungu wa bibilia ana wauliza nyinyi kupitia kinywa cha nabii Isaya 50:1 (kwamba ipo wapi talaka ya mama yenu ambayo kwayo niliachana naye?), huna jipya wewe
 
Una maana gani?, maana YESU hawezi ku mkomboa mtu kwa kufa kwake, maana kila mtu ata beba furushi lake mwenyewe, pia huo wakati aliouzungumza ni upi?, note nimetoa maandiko mengi ktk bibilia kuthibitisha huyo YESU sio MUNGU au niendelee kushusha mvua za aya ktk bibilia zinazo kataa UUNGU wa YESU, sio moja na sema zimejaa,

1:17 yakobo (Mungu habadiliki), YESU huo uungu una husika vipi kama syo mchongo wa Paulo?, Eti Mungu sijui baba,sijui mwana aloo nyie acheni fiksi,

kisha hapa YESU sio KRISTO, ndio sijakosea alikataa mwenyewe kuitwa kristo, sasa wewe nani mpaka umwite kristo kasome
hapa 16:20 matayo , 9:18-21 luka

Na nyie mnaosema Eti YESU ni MWANA WA MUNGU , bibilia imekataa kata kata tena Mungu wa bibilia ana wauliza nyinyi kupitia kinywa cha nabii Isaya 50:1 (kwamba ipo wapi talaka ya mama yenu ambayo kwayo niliachana naye?), huna jipya wewe
Sasa Kama umeshindwa kunielewa hapo hatuwezi kuendelea mbele, Hicho kitabu chenyewe cha wagalatia hata hujakielewa.

Kiufupi wewe unachukua aya ya kitabu bila kusoma kitabu chote.

Sasa utaielewaje Biblia.
 
Mnabishana na mtabishana sana hapa.
Ila TAFAKARI haya ya chini.

Uislam ulianzishwa miaka 600 baada ya Ukristo.
Ni muongozo wa Dini ya Kiyahudi + Kikristo.
(Wakaunda Dini yao based na fauntation hizo )
Na wakaandika kitabu chao, hakijashushwa wala nn[emoji23][emoji23][emoji23].

Data za 2022 zinasema (google) duniani kuwa 32% ni wakristo
25% ni waislam
Zinazobaki ni dini nyingne.

Nashauri Tuamini tulichoachiwa.

Ila Mungu yupo.
 
Back
Top Bottom