Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Uislam ulikuja ili kuleta ubabaishaji uchwara kwenye Ukristo.

Kwanza Mtume Mohammed hakutabiriwa na Manabii wa Agano la kale na hata hiyo Quran pia haijatabiriwa.

Mimi huwa napuuza midahalo na waislam.
 
Mimi ni mkristo na ninaamini Mungu yupo na anatenda. Ila kuna mambo ukisoma kwenye biblia lazima ujiulize maswali mengi sana yanayokosa majibu. Leo nitashea nanyi mambo ambayo naona kama yana ukakasi;

1. Kwenye Mwanzo 1:26 imeandikwa kuwa Mungu alisema tuumbe mtu kwa mfano wetu. Nimejiuliza ina maana uumbaji ulifanywa nae kwa kushirikiana na wengine? Hakuwa peke yake? Hao wengine kina nani?

2. Mwanzo 6 - 10 kuna stori maarufu ya Nuhu. Hii ni stori ina ukakasi zaidi. Nikiandika maswali yote niliyojiuliza uzi utakuwa mrefu. Ninashauri mkaisome ili tuifungulie uzi wake.

3. Kutoka 11:5-6 kuna maandiko yanayosema kuwa wazaliwa wa kwanza wote wa wamisri kwa upande wa binadamu hadi wanyama watauwawa na Mungu mwenyewe ili waisraeli wapewe ruhusa ya kwenda nchi ya ahadi. Kiukweli haya yalikuwa ni mauaji ya halaiki kwa wasio na hatia. Unaambiwa hadi mzaliwa wa kwanza wa mbuzi, kuku, ng'ombe, mbwa na farasi waliuwawa. Kwanini isingetumika njia nyingine hao waisraeli wakaondoka?

4. Kitabu kizima cha Joshua kimejaa stori za mauaji matupu. Ikumbukwe Joshua alichukua nafasi ya Musa kwenye kuwaingiza waisraeli nchi ya ahadi baada ya kifo cha Musa. Nchi waliyoahidiwa ilikuwa tayari ina wakazi wake ambao ilibidi wauwawe wote ili kuwapisha waisraeli. Hivi ilishindikana vipi kufanya kama alivyofanya Mama Samia kuwatoa wamasai Ngorongoro na kuwapeleka Msomera kwa amani kabisa bila kumwaga damu? Kama leo 2024 bado kuna maeneo duniani hayajakaliwa na binadamu ilikuwaje enzi za Joshua? Ukisoma kitabu cha Joshua utaona kila sehemu waliyopita walikuwa wakiua wenyeji watakaowakuta. Kulikuwa na sababu zipi za msingi za mauaji haya yote?

5. Ayubu 1:6-12 utaona stori ya shetani alipojiunga na wana wa Mungu kupita mbele ya Mungu kumwabudu hadi Mungu akashangaa imekuwaje shetani akawa eneo lile? Baada ya hapo Mungu na Shetani wakakubaliana kwenda kumjaribu Ayubu kwa sharti la kutogusa mwili wa ajabu (kumuua). Katika yale majaribu watoto wa Ayubu waliuwawa na shetani. Naweza kusema ni mauaji yaliyokuwa na approval toka juu. Ilikuwa kazi maalum. Je, sio kwamba wawili hawa hukutana na kukubaliana baadhi ya mambo? Sio kwamba kuna kazi za shetani zina kibali maalum?
Utashangaa mpaka leo bado kuna wajinga wanaamini story za Biblia, kwa kweli tumepigwa changa la macho hapa. Quran nayo hivyo hivyo, shetani hajakiacha mbali kitabu cha Quran hata kidogo.
 
Mnabishana na mtabishana sana hapa.
Ila TAFAKARI haya ya chini.

Uislam ulianzishwa miaka 600 baada ya Ukristo.
Ni muongozo wa Dini ya Kiyahudi + Kikristo.
(Wakaunda Dini yao based na fauntation hizo )
Na wakaandika kitabu chao, hakijashushwa wala nn[emoji23][emoji23][emoji23].

Data za 2022 zinasema (google) duniani kuwa 32% ni wakristo
25% ni waislam
Zinazobaki ni dini nyingne.

Nashauri Tuamini tulichoachiwa.

Ila Mungu yupo.
Quran ni kitabu cha shetani alichompa Muddy kutangaza kanuni zake.
 
Na
Sasa Kama umeshindwa kunielewa hapo hatuwezi kuendelea mbele, Hicho kitabu chenyewe cha wagalatia hata hujakielewa.

Kiufupi wewe unachukua aya ya kitabu bila kusoma kitabu chote.

Sasa utaielewaje Biblia.
Ndio maana nili kuuliza una maana gani?, si ungejibu, alafu sisi wengine wapenda ukweli hatupendi kona kona, na ndio maana nikatoa hoja nyingi na Utetezi wake kutoka ktk bibilia ila najua siku zote bibilia huwezi kuitetea maana kimejaa madhaifu
Kila page, huna hoja na huwezi kupinga hoja zangu kwa points
 
Utashangaa mpaka leo bado kuna wajinga wanaamini story za Biblia, kwa kweli tumepigwa changa la macho hapa. Quran nayo hivyo hivyo, shetani hajakiacha mbali kitabu cha Quran hata kidogo.
Don't mess with quraan
 
Na

Ndio maana nili kuuliza una maana gani?, si ungejibu, alafu sisi wengine wapenda ukweli hatupendi kona kona, na ndio maana nikatoa hoja nyingi na Utetezi wake kutoka ktk bibilia ila najua siku zote bibilia huwezi kuitetea maana kimejaa madhaifu
Kila page, huna hoja na huwezi kupinga hoja zangu kwa points
Maana yangu ipo kwenye maneno niliyo yaandika, Sasa Kama hujayaelewa nitakusaidiaje ?

Labda nikuulize wewe ambaye umesoma kitabu cha wagalatia kwamba unaielewaje aya ya 13 kabla ya kwenda kwenye aya ya 15 ?

Maana Kama hujaelewa kilichopita pia huwezi kuelewa kinachokuja.

Hapa nazungumzia Wagalatia Sura ya 3.
 
Na

Ndio maana nili kuuliza una maana gani?, si ungejibu, alafu sisi wengine wapenda ukweli hatupendi kona kona, na ndio maana nikatoa hoja nyingi na Utetezi wake kutoka ktk bibilia ila najua siku zote bibilia huwezi kuitetea maana kimejaa madhaifu
Kila page, huna hoja na huwezi kupinga hoja zangu kwa points
Alafu usidhani Mimi sijaziona hizo Aya zako zingine.

Mimi nipo kwenye hiyo sehemu ya Kwanza unayosema kwamba maneno ya Biblia yametoka kwa Paulo.
 
Alafu usidhani Mimi sijaziona hizo Aya zako zingine.

Mimi nipo kwenye hiyo sehemu ya Kwanza unayosema kwamba maneno ya Biblia yametoka kwa Paulo.
Okay mkuu nisha Kupata, lakini pia kuna ushahidi mkubwa kuwa Paulo ndio muenezaji wa ukristo, pia hilo jina la kristo mwenyewe YESU hakuta kuitwa kristo ila Paulo aka kaidi, pia wana theologia wana tambua uwepo wa vitabu ktk bibilia ambavyo hawajui nani kaviandika, hv ni dhahiri kusema kuwa wakristo wasoma kitu kisicho julikana na ni chakubuni, pili bibllia ni kitabu ukikisoma kwa akili timamu utagundua kuna ukweli una pindishwa, hebu jiulize kitu
Ikiwa YESU ka sali ktk SINAGOGI ni kwa nini wakristo wana sali ktk KANISA ?,
Na nina aliye waambia wakristo wa sali ktk KANISA?,
Ikiwa YESU alitaka waumini wake wa sali ktk KANISA ni kwa nini yeye hakuwaambia wanafunzi wake wayajenge ili wafanyie ibada ?,
in short hili neno KANISA halikutumika hapo kabla,
na neno KANISA maana yake ni mkusanyiko na siyo nyumba ya ibada au sehemu ya ibada.
na hapo mkuu ndipo tunapo rudi pale pale Paulo kafanya mengi sana ktk bibilia na ndio ka u shape huu ukristo, Kwa mantiki hiyo hii aya 3:15 wagalatia, ina maana kubwa sana, Paulo alihubiri ukristo antiokia na mfalme Agripa aka kataa,.
 
Maana yangu ipo kwenye maneno niliyo yaandika, Sasa Kama hujayaelewa nitakusaidiaje ?

Labda nikuulize wewe ambaye umesoma kitabu cha wagalatia kwamba unaielewaje aya ya 13 kabla ya kwenda kwenye aya ya 15 ?

Maana Kama hujaelewa kilichopita pia huwezi kuelewa kinachokuja.

Hapa nazungumzia Wagalatia Sura ya 3.
Maana yangu ipo kwenye maneno niliyo yaandika, Sasa Kama hujayaelewa nitakusaidiaje ?

Labda nikuulize wewe ambaye umesoma kitabu cha wagalatia kwamba unaielewaje aya ya 13 kabla ya kwenda kwenye aya ya 15 ?

Maana Kama hujaelewa kilichopita pia huwezi kuelewa kinachokuja.

Hapa nazungumzia Wagalatia Sura ya 3.
Mkuu huwezi kumtenganisha Paulo na bibilia (ukristo), Paulo ndio alioueneza ukristo, Paulo ndio aliye anzisha jina la kristo ili hali yeye mwenyewe YESU hakutaka, na ukristo ni mafundisho ya Paulo sasa sujui una kataa nini,

Je unataka kusema bibilia haina maneno ya Paulo?, hebu ni jibu kwanza, ili nije na maneno ya Paulo
 
Naungana nawe ndugu yangu, ikizingatiwa pia vitabu hivi mpaka kutufikia kwa lugha mama yetu kuna lugha nyingi , kiebrania ,kiyunani, kilatini, kiingereza , kiswahili, kiswahili cha kisasa, lazima kuwe na makosa na sintofahamu nyingi.

Pia hivyo vitabu vimeakwa kwa mfumo wa usimuliaji, na mapokezano ya masimulizi kisha kuandikwa.
Mimi naungana na wewe pia kwa sababu kwa uelewa wangu mdogo vitabu vilivyoingizwa kwenye bibilia ni vyingi kuliko vile vilivyoachwa hii inadhihirishwa na idadi ya vitabu vilivyomo kwenye bibilia ya katoliki na vile vipatikanavyo katika bibilia za madhehebu mengine(bibilia ya RC ina vitabu 72 huku Iie ya madhehebu mengine ikiwa na vitabu 66). Yawezekana wakatoliki nao walipunguza idadi ya vitabu toka mamia hadi 72, madhebu mengine 72 hadi 66 kulingana na contents walizozitaka.
Swali langu ni kwamba kama vile vitabu viliandikwa na watu walioongozwa na roho mtakatifu iweje vitabu vingine vipuuzwe na madhebu mengine kwa kisingizio cha kutokukidhi mahitaji yao? Nauliza hili swali nikiwa na akili timamu na majibu nayataka!

Hivyo!
 
Mimi naungana na wewe pia kwa sababu kwa uelewa wangu mdogo vitabu vilivyoingizwa kwenye bibilia ni vyingi kuliko vile vilivyoachwa hii inadhihirishwa na idadi ya vitabu vilivyomo kwenye bibilia ya katoliki na vile vipatikanavyo katika bibilia za madhehebu mengine(bibilia ya RC ina vitabu 72 huku Iie ya madhehebu mengine ikiwa na vitabu 66). Yawezekana wakatoliki nao walipunguza idadi ya vitabu toka mamia hadi 72, madhebu mengine 72 hadi 66 kulingana na contents walizozitaka.
Swali langu ni kwamba kama vile vitabu viliandikwa na watu walioongozwa na roho mtakatifu iweje vitabu vingine vipuuzwe na madhebu mengine kwa kisingizio cha kutokukidhi mahitaji yao? Nauliza hili swali nikiwa na akili timamu na majibu nayataka!

Hivyo!
Afadhali mkuu umenisaidia kuweka na mifano iliyowazi, hii ni kwa wakristo na wasomaji wa ukristo, ukweli ni vyema usemwe hata kama ni mchungu, haya wana theologia na wakristo wa timamu, mu mjibu mkuu hapo tena Kwa hoja sasa na mifano sahihi pia
 
Ni kweli kuna vitabu vimeandikwa na Paulo.

Miongoni mwa vitabu hivyo ni Warumi,Wakorinto, Waefeso, Wagalatia, Wafilipi,Wathesalonike n.k
Na vyote vipo kwenye Agano jipya.

Hakuna ubaya wowote wa uwepo wa hivi vitabu kwenye Biblia kwa sababu kwa sehemu kubwa vinamuelezea Yesu Kristo.

Wakati Yesu anaishi duniani hakuitwa Kristo, watu wengi walimwita Yesu mwana wa yusufu na wengine walipendelea kumwita Yesu wa Nazareth. Hili jina la Kristo limekuja kutumika sana baada ya kusulubishwa msalabani na kufufuka katika wafu.Tunamuita Kristo kwa sababu yeye ni wa kipekee (chosen). Alikuja ulimwenguni na kufa kwa ajili ya dhambi zetu ili sisi tuokolewe.

Ni kweli kuna baadhi ya vitabu kwenye Biblia ambavyo mwandishi wake hajulikani mfano haijulikani aliye andika kitabu cha Joshua.

Mimi naona ili mtu uwe Mkristo au Muislam unapaswa kuwa na Imani pia. Kwa sababu hata kwenye Quran mambo ni Yale Yale tu mfano wewe ukitaka kumshawishi mtu awe Muislam utamwaminishaje kwamba Quran ilishushwa na Mwenyezi Mungu ? Na pia mtu anaweza akakwambia kwamba ata amini vipi kuwa Mtume Mohammed aliishi duniani ?

Kuhusu sinagogi huo ni utamaduni wa watu. Yesu alikuwa akisali kwenye Sinagogi kwa sababu alizaliwa na kuishi kwenye Uyahudi. Wayahudi walikuwa wakienda kwenye Masinagogi kufanya ibada zao (hasa siku za Sabbath).

Watu watahukumiwa kwa Matendo yao na sio kuangalia walikuwa wakisali kwenye Jengo la Muundo upi. Mimi naamini kuna Wayahudi watakaotupwa motoni japokuwa wanasali kwenye Sinagogi.

Kwenye Wagalatia 3:15 hapo Paulo alikuwa akiongelea sana kuhusu vitabu alivyoandika (ikiwemo wagalatia yenyewe ) na sio Biblia yote kwa ujumla.
Okay mkuu nisha Kupata, lakini pia kuna ushahidi mkubwa kuwa Paulo ndio muenezaji wa ukristo, pia hilo jina la kristo mwenyewe YESU hakuta kuitwa kristo ila Paulo aka kaidi, pia wana theologia wana tambua uwepo wa vitabu ktk bibilia ambavyo hawajui nani kaviandika, hv ni dhahiri kusema kuwa wakristo wasoma kitu kisicho julikana na ni chakubuni, pili bibllia ni kitabu ukikisoma kwa akili timamu utagundua kuna ukweli una pindishwa, hebu jiulize kitu
Ikiwa YESU ka sali ktk SINAGOGI ni kwa nini wakristo wana sali ktk KANISA ?,
Na nina aliye waambia wakristo wa sali ktk KANISA?,
Ikiwa YESU alitaka waumini wake wa sali ktk KANISA ni kwa nini yeye hakuwaambia wanafunzi wake wayajenge ili wafanyie ibada ?,
in short hili neno KANISA halikutumika hapo kabla,
na neno KANISA maana yake ni mkusanyiko na siyo nyumba ya ibada au sehemu ya ibada.
na hapo mkuu ndipo tunapo rudi pale pale Paulo kafanya mengi sana ktk bibilia na ndio ka u shape huu ukristo, Kwa mantiki hiyo hii aya 3:15 wagalatia, ina maana kubwa sana, Paulo alihubiri ukristo antiokia na mfalme Agripa aka kataa,.

Okay mkuu nisha Kupata, lakini pia kuna ushahidi mkubwa kuwa Paulo ndio muenezaji wa ukristo, pia hilo jina la kristo mwenyewe YESU hakuta kuitwa kristo ila Paulo aka kaidi, pia wana theologia wana tambua uwepo wa vitabu ktk bibilia ambavyo hawajui nani kaviandika, hv ni dhahiri kusema kuwa wakristo wasoma kitu kisicho julikana na ni chakubuni, pili bibllia ni kitabu ukikisoma kwa akili timamu utagundua kuna ukweli una pindishwa, hebu jiulize kitu
Ikiwa YESU ka sali ktk SINAGOGI ni kwa nini wakristo wana sali ktk KANISA ?,
Na nina aliye waambia wakristo wa sali ktk KANISA?,
Ikiwa YESU alitaka waumini wake wa sali ktk KANISA ni kwa nini yeye hakuwaambia wanafunzi wake wayajenge ili wafanyie ibada ?,
in short hili neno KANISA halikutumika hapo kabla,
na neno KANISA maana yake ni mkusanyiko na siyo nyumba ya ibada au sehemu ya ibada.
na hapo mkuu ndipo tunapo rudi pale pale Paulo kafanya mengi sana ktk bibilia na ndio ka u shape huu ukristo, Kwa mantiki hiyo hii aya 3:15 wagalatia, ina maana kubwa sana, Paulo alihubiri ukristo antiokia na mfalme Agripa aka kataa,.
 
Vingewekwa tu kwenye Biblia zote.

Mfano sura ya 19:1 - 3 ya Yoshua bin sira inatoa mafunzo mazuri kwa watu wenye utani na Bondia Maisha.
 
Mimi ni mkristo na ninaamini Mungu yupo na anatenda. Ila kuna mambo ukisoma kwenye biblia lazima ujiulize maswali mengi sana yanayokosa majibu. Leo nitashea nanyi mambo ambayo naona kama yana ukakasi;

1. Kwenye Mwanzo 1:26 imeandikwa kuwa Mungu alisema tuumbe mtu kwa mfano wetu. Nimejiuliza ina maana uumbaji ulifanywa nae kwa kushirikiana na wengine? Hakuwa peke yake? Hao wengine kina nani?

2. Mwanzo 6 - 10 kuna stori maarufu ya Nuhu. Hii ni stori ina ukakasi zaidi. Nikiandika maswali yote niliyojiuliza uzi utakuwa mrefu. Ninashauri mkaisome ili tuifungulie uzi wake.

3. Kutoka 11:5-6 kuna maandiko yanayosema kuwa wazaliwa wa kwanza wote wa wamisri kwa upande wa binadamu hadi wanyama watauwawa na Mungu mwenyewe ili waisraeli wapewe ruhusa ya kwenda nchi ya ahadi. Kiukweli haya yalikuwa ni mauaji ya halaiki kwa wasio na hatia. Unaambiwa hadi mzaliwa wa kwanza wa mbuzi, kuku, ng'ombe, mbwa na farasi waliuwawa. Kwanini isingetumika njia nyingine hao waisraeli wakaondoka?

4. Kitabu kizima cha Joshua kimejaa stori za mauaji matupu. Ikumbukwe Joshua alichukua nafasi ya Musa kwenye kuwaingiza waisraeli nchi ya ahadi baada ya kifo cha Musa. Nchi waliyoahidiwa ilikuwa tayari ina wakazi wake ambao ilibidi wauwawe wote ili kuwapisha waisraeli. Hivi ilishindikana vipi kufanya kama alivyofanya Mama Samia kuwatoa wamasai Ngorongoro na kuwapeleka Msomera kwa amani kabisa bila kumwaga damu? Kama leo 2024 bado kuna maeneo duniani hayajakaliwa na binadamu ilikuwaje enzi za Joshua? Ukisoma kitabu cha Joshua utaona kila sehemu waliyopita walikuwa wakiua wenyeji watakaowakuta. Kulikuwa na sababu zipi za msingi za mauaji haya yote?

5. Ayubu 1:6-12 utaona stori ya shetani alipojiunga na wana wa Mungu kupita mbele ya Mungu kumwabudu hadi Mungu akashangaa imekuwaje shetani akawa eneo lile? Baada ya hapo Mungu na Shetani wakakubaliana kwenda kumjaribu Ayubu kwa sharti la kutogusa mwili wa ajabu (kumuua). Katika yale majaribu watoto wa Ayubu waliuwawa na shetani. Naweza kusema ni mauaji yaliyokuwa na approval toka juu. Ilikuwa kazi maalum. Je, sio kwamba wawili hawa hukutana na kukubaliana baadhi ya mambo? Sio kwamba kuna kazi za shetani zina kibali maalum?
 

Attachments

  • Screenshot_20241004-194827.jpg
    Screenshot_20241004-194827.jpg
    408.7 KB · Views: 2
Sikia mkuu, Quran kariim ipo clearly, haiitaji roho mtakatifu bali akili, ulichoweka hapo si ulicho kisema, alafu kila siku mna sahihishwa lakini wapi, hakuna swali ambalo Quran kariim haija jibu, Quran kariim ni maneno ya Allah, ipo wazi, jibril ni malaika wa ALLAH na Shetani ni adui wa wanaadamu, je Quran kariim haija sema hivo?, (ndio hoja yako ipo hapo?
Acheni masihara kurani yenyewe ni tupu ogopa haijiwezi kabisa na ndio maana inasaidiwa na hadithi njoo ueongo njoo tamu kolea,

Kurani bila hadithi ni nyeupe kabisaa, utaishia kukariri tu maneno maana mafundisho mengi yapo kwenye hadhithi

Na hadithi ni hadithi tu, uongo ni mwingi

Haiwezekani huyo huyo mtume kashushiwa Kuruani, akaandika ila hauambiwi hadithi kashushiwa na nani, kwa hiyo hadithi ni stori zake za kutunga maana hakushushiwa popote
 
Kwenye Mwanzo 1:26 imeandikwa kuwa Mungu alisema tuumbe mtu kwa mfano wetu. Nimejiuliza ina maana uumbaji ulifanywa nae kwa kushirikiana na wengine? Hakuwa peke yake? Hao wengine kina nani?
Maswali yako yote Yana majibu Sema umeamua kusoma bila kuelewa
 
Acheni masihara kurani yenyewe ni tupu ogopa haijiwezi kabisa na ndio maana inasaidiwa na hadithi njoo ueongo njoo tamu kolea,

Kurani bila hadithi ni nyeupe kabisaa, utaishia kukariri tu maneno maana mafundisho mengi yapo kwenye hadhithi

Na hadithi ni hadithi tu, uongo ni mwingi

Haiwezekani huyo huyo mtume kashushiwa Kuruani, akaandika ila hauambiwi hadithi kashushiwa na nani, kwa hiyo hadithi ni stori zake za kutunga maana hakushushiwa popote
Ndio maana nasema kila siku wakristo hamuwezi itetea bibilia kwa sababu bibilia haitetewi in nature lazima utaangukia pua, hiyo quraan haiwezi kuwa ngao yako hata siku moja maana Quran ipo well clearly,
Waumini wa kiislamu wamepewa Quran kwao ni katiba na muongozo pia tuna Sunnah na hadithi ktk kuelezea mafundisho ya uislamu ( ingiza ktk akili yako hii kuwa Muhammad (s.w) ni kiigizo chetu na kila anacho Fanya hafanyi kwa mapenzi yake bali ni wahyi),
Note: ikiwa Quran hujailewa ilicho sema, ama umeelewa kwa uchache, na unataka kuongoza maana zaidi basi angalia Sunnah na hadithi, why?, mtume Muhammad (s.w) ndio mfasiri wa Quran kwa umma, pia ni kiigizo chetu na kama hiyo hatoshi, walio kuwa wana tafsiriwa Quran ni maswahaba ambao ALLAH kawaridhia na kawabashiria pepo ingali wapo duniani na hao ndio wasimuliaji wa hizo hadithi na Sunnah

Wewe huna hoja mpumbavu tu, tena usini quote kabisa ktk huu uzi huna hoja
 
Back
Top Bottom