Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana


Mkuu usihangaike sana mengine ni ya kwenda kumwuliza mwenyewe huko.

Hapo unatembea kwa amani.

Au nasema uongo ndugu yàngu?
 
Obviously hujui wahyi ni nini
Don't be a moron nani aliyekuwa anaandika mazungumzo ya Mungu,Adam,Eve,na Nyoka muongeaji au nani alishuhudia Mosses akipiga story na Yehova?
 
Wee ni mpumbafuu
 
Wee ni mjing sana sasa utata upi kifo cha Yesu kwani hakufa au
 
Obviously hujui wahyi ni nini
Don't be a moron nani aliyekuwa anaandika mazungumzo ya Mungu,Adam,Eve,na Nyoka muongeaji au nani alishuhudia Mosses akipiga story na Yehova?
Kwaio Muhammad ndio alikua anashuhudia hayo majibizano?
 
Umeanza kujitambua hongera,wafia dini aka makondoo unapohoji mambo kama haya wanakuona wewe ni mvuta bangi wakati kiuhalisia biblia na quran zina contradiction za kutosha
 

Bibie FaizaFoxy tunaomba utufafanulie huu mstari
 
Bibie FaizaFoxy tunaomba utufafanulie huu mstari
Bibie FaizaFoxy tunaomba utufafanulie huu mstari
Wala si mimi wa kufafanuwa, soma watafsiri wanasema nini halafu useme umeelewa au haukuelewa?:

قُلْ مَن كَانَ عَدُوًّۭا لِّجِبْرِيلَ فَإِنَّهُۥ نَزَّلَهُۥ عَلَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ ٱللَّهِ مُصَدِّقًۭا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًۭى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ ٩٧

Say: Whoever is an enemy to Gabriel-for he brings down the (revelation) to thy heart by Allah's will, a confirmation of what went before, and guidance and glad tidings for those who believe,-
— A. Yusuf Ali
Sema, ewe Mtume, kuwaambia Mayahudi waliposema, “Jibrili ni adui yetu miongoni mwa Malaika.”: “Mwenye kuwa ni adui wa Jibrili, basi ajue kuwa yeye ameiteremsha Qur’ani na kuitia ndani ya moyo wako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, ikiwa ni yenye kuvisadikisha vitabu vya Mwenyezi Mungu vilivyoitangulia, yenye kuongoza kwenye njia ya haki na yenye kuwapa wenye kuamini bishara ya kila wema wa dunia na Akhera.”
— Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis

Source: Surah Al-Baqarah - 1-286 - Quran.com

Sifahamu nini msichokielewa hapo?
 
Ona u
Ona ulivyo ndezi kulikua na haja gan ya Mungu kuufanya moyo wa farao kuwa mgumu,
Una uhakika gani hayo ni maneno ya Mungu?,hebu jaribuni kufiki nje ya box
 
Wewe ni mtumwa wa fikra,unatumia nguvu kubwa sana kumtetea huyo Mungu why asijitetee mwenyewe?
 
Una uhakika gani hayo ni maneno ya Mungu?,hebu jaribuni kufiki nje ya box
أَمْ يَقُولُونَ ٱفْتَرَىٰهُ ۖ قُلْ فَأْتُوا۟ بِسُورَةٍۢ مِّثْلِهِۦ وَٱدْعُوا۟ مَنِ ٱسْتَطَعْتُم مِّن دُونِ ٱللَّهِ إِن كُنتُمْ صَـٰدِقِينَ ٣٨

Or do they say, "He forged it"? say: "Bring then a Sura like unto it, and call (to your aid) anyone you can besides Allah, if it be ye speak the truth!"
— A. Yusuf Ali
Au kwani wao wanasema kwamba Muhammad ameizua hii Qur’ani yeye mwenyewe? Wao wanajua kwamba yeye ni mwanadamu kama wao. Waambie, «Basi leteni sura moja inayofanana na hii Qur’ani katika mpango wake na uongozi wake, na takeni usaidizi wa kufanya hilo kwa mnayemuweza, badala ya Mwenyezi Mungu, miongoni mwa majini na binadamu, iwapo nyinyi ni wakweli katika madai yenu.»
— Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
 
Huyu Mungu wa kwenye vitabu vya dini biblia na quruan ni dhaifu sana,aliwezaje kuumba kiumbe dhaifu ilhali anajua kitamkosea?,isitoshe kusema sifa mnayompa ya kusema anajua yajayo na anajua mpaka mawazo yetu hastahili hiyo sifa kabisa,
 
Hakika
 
Huyu Mungu wa kwenye vitabu vya dini biblia na quruan ni dhaifu sana,aliwezaje kuumba kiumbe dhaifu ilhali anajua kitamkosea?,isitoshe kusema sifa mnayompa ya kusema anajua yajayo na anajua mpaka mawazo yetu hastahili hiyo sifa kabisa,
Biblia siyo kitabu cha dini, usilinganishe na Qur'an.

Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vya watu.
 
Kwa ushauri wangu jitahidini kutumia hizo akili vizur,msiwe watu wa kumezeshwa kila kitu,nilitegemea utatumia ufahamu wako kujibu matokeo yake umerejea kwenye mistari ya quruan,na waandishi wa hivi vitabu waliwapa ukomo wa kufikir walijua mkihoji tuu basi mtauujua uongo wao
 

Attachments

  • IMG-20240521-WA0060(2).jpg
    61.9 KB · Views: 3
Umeelewa nini kilichondikwa kwenye hiyo aya?

Au ulitaka kujuwa nini zaidi?
 
Biblia siyo kitabu cha dini, usilinganishe na Qur'an.

Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vya watu.
Uislam umewakaririsha vibaya sana kwamba
Mussa
Daudi
Yesu
Na baadae Muhammad
Walikuja na vitabu vyao, kinyume na mafundisho Ya kikristo ila kwakua wewe toka unakua unaelewa hivyo ni ngumu kubadilisha unachokiamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…