Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

hivi huko shuleni mlienda kusomea ujinga ee?

Kwahiyo wewe ni mpaka vitabu na mitume waiambie akili yako kuwa kumla mama yako sio matendo mema na ya kiutu ndo uelewe?
Mbona ni mambo ya kawaida yanayoeleweka ambayo sio lazima kufundishwa au kuambiwa ndo uyajue!
 
Nikipata nafasi nitakujibu.
 
Hujathibitisha Mungu yupo, unaleta stories za imani tu.
Wewe vipi si una elimu?, ma degree kibao lakini empty, nakuthibitishia mkuu, Mungu yupo through books (Quran kariim), mama ametukuzwa sna, that why she is special, lakini ukija ktk sayansi yako mama ni sehemu ya kuzalisha (kama sayansi haisemi hivi basi nawe toa hoja) sasa swali lipo hapa , je unaweza kula papuchi ya mama yako?, kama huwezi na fikiri huna hoja ya kumkataa Allah pamoja na usomi wako, note Wanyama hakuna mama, baba, wao, kiranga huna hoja
 
Hujathibitisha Mungu yupo, unaleta stories za imani tu.

Quran ina contradictions kibao, tatizo hujui hata contradiction ni nini.
 
Nilisoma kitabu cha wafalme farasi walikuwa wamebeba sanduku la agano kwa toroli la kukokota.
Sasa likawa linakaribia kuanguka jamaa mmoja akawahi kulizuia lisianguke.
Aliadhibiwa vikali sana na Mungu kwa kifo.🤣🤣
 
Hujathibitisha Mungu yupo, unaleta stories za imani tu.

Quran ina contradictions kibao, tatizo hujui hata contradiction ni nini.
Leo ndio naamini kuwa wewe ni mpumbavu, Quran kariim must accept it, huna elimu kichwani zaid ya ujinga
 
Biblia,nikama computer ,
Ina matumizi mengi na kuimaliza huwezi ,maana Kila mstari kwenye biblia unaweza kuwa namaana karibu 200, ndomaana utakuta mstari huohuo mchungaji huyu anaugundisha hv mwingine anaugundisha vile ,na unaeleweka Bible nikitabu chakusha ngaza kidogo..ukisoma unatakiwa uombe mungu kwanza akujaze roho wakukusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…