Salma Rushidie alitolewa Fatwa kwa kuandika kitabu kujadili hilo ulilosemaAngalau kwa biblia ila Kuna kitabu hiko Kuna Aya hadi leo inanifikirisha sana na sielewi kwanini wafuasi wake wanakaza shingo kukiamini
Qu'ran 2:97
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
Nani ni adui wa Jibril? Jibu ni shetani
Kwanini shetani ateremshe Quran na tunaambiwa kuran ni tukufu?
Hili swali haitatakea nikapata jibu la kuridhika
Usinilazimishe niamini, umburula wako. Hakuna kitu ndani ya Biblia kisicho na majibu. Ila kama huamini,, hata ukielezwa hutakubal, chochote. Maana tayari umejenga mashtaka na kukataa.Watu wajinga kama wewe huwa hampendi kutumia akili kabisa. Kila kitu mnaona ni kashfa. Ukiulizwa mama Safina ilitua juu ya Mlima Ararat je Kangaroo alifikaje Australia utajibuje?
Mada ni biblia, kuanza kulinganisha na Qaran ni kufilisika kihojaAngalau kwa biblia ila Kuna kitabu hiko Kuna Aya hadi leo inanifikirisha sana na sielewi kwanini wafuasi wake wanakaza shingo kukiamini
Qu'ran 2:97
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
Nani ni adui wa Jibril? Jibu ni shetani
Kwanini shetani ateremshe Quran na tunaambiwa kuran ni tukufu?
Hili swali haitatakea nikapata jibu la kuridhika
Wewe ni msomaji mzuri wa biblia,ukitaka kuifaidi biblia isome kwa kujiuliza maswali,utafaidiwenye Mwanzo 1:26 imeandikwa kuwa Mungu alisema tuumbe mtu kwa mfano wetu. Nimejiuliza ina maana uumbaji ulifanywa nae kwa kushirikiana na wengine? Hakuwa peke yake? Hao wengine kina nani?
Mungu hajawahi kuandika wala kuwaelekeza watu kuandika hiyo Biblia. Ni kitabu kilichojaa masimulizi yanayohusu mahusiano ya hao watu na huyo waliyekuwa wakimuamini kama Mungu wao (Agano la kale).Kumbe Biblia si maneno ya Mungu?, mbona watumishi wakinukuu Biblia husema ni neno la Mungu?
Huyo adui wa Jibril ni nani ?Sikia mkuu, Quran kariim ipo clearly, haiitaji roho mtakatifu bali akili, ulichoweka hapo si ulicho kisema, alafu kila siku mna sahihishwa lakini wapi, hakuna swali ambalo Quran kariim haija jibu, Quran kariim ni maneno ya Allah, ipo wazi, jibril ni malaika wa ALLAH na Shetani ni adui wa wanaadamu, je Quran kariim haija sema hivo?, (ndio hoja yako ipo hapo?
Acha hizo lugha za kitoto. Uzilazimishe watu kuamini uwepo wa Mungu. Jenga hoja na weka ushahidi. Kama kweli Mungu aliandika Biblia, basi akili, uelewa na upeo wake vilikuwa chini sana kuihusu dunia aliyoiumba.Kama Mungu hayupo basi ka lale na mamayo, vinginevyo Mungu yupo, hiyo sayansi haijui lolote kuhusu mwamke ispokua ni mzalishaji, sasa kamzalishe mama yako, Mark My words, only Mungu tu kamzungumzia mama kwa hadhi ya juu siyo hyo sayansi yako ya kijinga
Kwa hiyo bila Quran wewe ungemla mama yako?, utakuwa na akili kama za nguruwe.Wewe vipi si una elimu?, ma degree kibao lakini empty, nakuthibitishia mkuu, Mungu yupo through books (Quran kariim), mama ametukuzwa sna, that why she is special, lakini ukija ktk sayansi yako mama ni sehemu ya kuzalisha (kama sayansi haisemi hivi basi nawe toa hoja) sasa swali lipo hapa , je unaweza kula papuchi ya mama yako?, kama huwezi na fikiri huna hoja ya kumkataa Allah pamoja na usomi wako, note Wanyama hakuna mama, baba, wao, kiranga huna hoja
Biblia ni hadithi za kimapokeo. Uongo mwingi na kinaonyesha waandishi wake wengi walikuwa na upeo mdogo wa dunia yetu.Mtoa mada sio mkristo. Biblia sio hadithi au tungo.
Wewe endelea tu kushabikia CCM...!Acha upuuzi wewe. Ulitaka nitumie akili gani?
Endelea kuamini uonavyo inafaa, ila baadae itajulikana kama hicho ulichoandika ni kweli au laa.
Kwani Wanyama wana Fanya vipi?,Kwa hiyo bila Quran wewe ungemla mama yako?, utakuwa na akili kama za nguruwe.
3:15 wagalatiaMtoa mada sio mkristo. Biblia sio hadithi au tungo.
Baadae ipi?Endelea kuamini uonavyo inafaa, ila baadae itajulikana kama hicho ulichoandika ni kweli au laa.
Anayenisaidia kuelewa Mambo ya Kiroho ni Roho Mtakatifu....!Hiyo akili yako ya kuelewa mambo ya kiroho umeitoa wapi tofauti na huyu anaetumia akili ya kibinadamu?