Hizi Taarifa za Makahaba wengi Dar zinatuchosha mnataka Waondolewe hivi kwa Kero za Wake zetu tutakuwa tunajipoza wapi?

Hizi Taarifa za Makahaba wengi Dar zinatuchosha mnataka Waondolewe hivi kwa Kero za Wake zetu tutakuwa tunajipoza wapi?

Ungetuzingua kutulipa pesa yetu tungekufanyia kitu mbaya sn usingesahau maishani mwako na usifikiri tumefata Hii pesa sababu tuna njaa nayo Sana, Bali tulitaka tukufundishe adabu kuheshimu makubaliano tuliyokubaliana.
Vitisho vyoote kumbe hewa tu...
 
Kuna jamaa yangu aliwekewa dawa hio japo hata Mimi siijui kwenye redbull na mzigo akala fresh kisha akalala mpk saa tano ulikuwa weekend demu kasema na simu na card za bank katoa hela karibia mikoa minne M 10
sasa hiyo inatolewa heka mpka milioni 10 yeye alishndwa vip kui block hyo card
 
Ila hapo Moja kwa moja mnyakyusa akahitimisha kua wale mabinti wote lao ni Moja,Ni wezi na pia huenda na yeye angepigwa tukio maana walipofika alikabidhi pesa zote nilizompa mil.2 5 pale counter,akabakiwa na pesa zake elfu 80 tu na kisha walipoingia TU chumbani, akafunga mlango na kuweka funguo mfukoni, binti akataka mnyakyusa ndie akatangulie yeye kuoga. Wakabishana kdg,ila binti ndo akatangulia kuoga.

Binti Alivoingia tu kuoga, mnyakyusa akasogeza kitanda hadi mlangoni,akaitoa funguo ya mlango mfukoni na kuibana na biggy G vizur nyuma ya kioo Cha Cha kujitizama cha plastic kilichoning'inizwa kwny msumari jiran na meza walikoweka vitu vyao.

Kisha binti alipomaliza kuoga,karudi katahamaki kitanda kilivokaa, mnyakyusa akamwambia kitanda akiache hivo hivo kilivyo,kaoga kamaliza, wamefanya Yao wamelala mpk asbh binti ndo anamwamsha kua kushakucha, apewe ujira wake anahitaj kuondoka. Wamelipana vzur kamfungulia binti kaondoka zake.

Mnyakyusa kamaliza kunisimulia hayo,mhaya nae ndo anatoka kuandika maelezo,namuuliza vipi, mhaya kawa mpole Hana hata Cha kusema,nkaona Bora nisimsemeshe.
Ngoja tuache polisi Kwanza wafanye kazi yao.

SEMA WAKUU,
Baada ya hiki kisa Naomba mnijuze,
hivi Hawa Makahaba wengine huwa Ni walozi, washirikina sana au vipi ?

Au Kuna vitu huwa wanawachanganyia kwenye vilevi mpk mtu anazima na kupoteza kumbukumbu KABISA anaibiwa?

Yaan yule binti namkumbuka KABISA,ukimuangalia mwonekano wake,ana aibu na sio mwongeaji huwez mdhania KABISA km anaweza fanya kitendo kile [emoji848]

Nawasilisha wakuu[emoji1431]
Narudi hivi punde...
 
Alitakiwa aisolve vipi mkuu, toa tips Nini kifanyike maana kesi bado mbichi hii na Dom hajarudi
kesi yake ni nyepesi mno sababu polisi hapo wana source ya intel za kutosha hasa kupitia namba za simu kwani wanatafuta watu 2 wenye kesi ya mtu mmoja na ote wameacha lead ya pakuanzia

Hivyo hata kama simu zimezimwa zote 2 lakini kupitia hizo line police lazma watrack location zao wanazokaa mda mrefu plus picha zao lazma ziwepo so ni simple tu ni swala la kwenda kuwabeba kama kondooo

pia wanaweza dakwa watu wao wa karibu mfano unaambiwa mama yako amedakwa yuko central haachiwi mpka uje,mwenyewe utajipeleka tu au awalete mpaka ulipo

muhimu watangaze dau kwa wazee ili kazi yao ifanyike haraka hata leo wanadakwa.
 
Kumbe na viongozi wa dini nao ukutwa madhira Kama yetu raia waovu [emoji1787][emoji1787]

Sipati picha hayo manung'uniko na majuto Yake,uskute zlkua Ni sadaka za waumini[emoji38]
🤣🤣🤣, padri alikuwa mgeni angekuwa mwenyewe asingepigwa kizembe hivyo na mtoto wa singida, ila huyo dada alijua kuzichezea hizo hela jamani after 1yr analia njaa akauza kila kitu akatokomea sijui oman
 
One on two....

Nanukuu,

"Punde SI punde marafiki zake binti wakafika, Basi ikawa Ni wanaume 3 na wanawake 3, mezani kumebalance. Basi Pombe zikaongezwa na nyama zikawa Ni mwendo wa bandika bandua mpk MDA flani nimeimaliza bapa ya 2,nmeianza bapa ya 3 nainuka Kwenda chooni haja ndogo, nikaanza kujihisi Kama network kichwani hazisomi vizur, najhs kizunguzungu."

Siku nikifanya hayo mliyo yafanya wewe, muhaya na mnyakyusa ntajiona na mdhambi zaidi ya shetani.....😀😀😀😀

Siku Moja nilipatwa na tukio sijawai kusimulia mtu mfukoni nilikua na kama laki 5,

Nikawa na appointment na rafik angu let say y nikiwa ma msubir mida ya saa Moja na nusu kuelekea mbili usiku lile eneo nilikua stranger....
Nikatafuta kijieneo nikae walau nisogeze muda wa kumsubir rafik angu y
Nikaona sehemu ya wazi wameweka viti na watu wanapata kinywaji so nikajongea Nika agiza flying fish Moja nikaanza kuinywa......
Yule mdada akaona Nina mapene mfukoni so akaja akawa ananisemesha na kunizoea am 4 real nipo cool na sinaga shobo na mazoea....
Nikamaliza flying fish Moja nikamwambia aniongeze ingine kumbuka jamaa y still hajafika....................
Nilipo kua naendelea kuburudika flying fish ya pili...
Wakawa wanapita jamaa watatu wanaonyesha wamelewa sana gafla mmoja wao alipo fika kwenye MEZA Kwa bahati mbaya akaigonga grass yangu ikadondoka chini....
Jamaa wakaniomba radhi muhudumu akaja akanibadilishia grass ikiwa na unyevu unyevu.....

Nikamimina kinywaji chote kwenye grass na kukinywa na kukimaliza....Nikapata wazo fasta ninyanyuke niende nyumbani nikanyanyuka nikaenda kupanda bajaji......

Nikafk mitaa ya karibu na home najulikana pale Huwa naendaga several times nikaenda sehemu wanauzaga chips mishikaki na kuku
Nika agiza waniandalie nikatafuta position ya pembeni kwenye kiti nikakaa....
Lahaula!! Nilikuja kuamka saa 8 usiku nikashituka nilileta tahamaki nyumbani kwetu...Kwa wife missed call kama 100 maana haikua kawaida 🤓😊
Kujisachi Kila kitu changu kipo sawa na kumbukumbu zangu hazina twakwimu ndipo nikaenda kwangu nili tafakar sana hiki kitendo....wale watu waliniwekea madawa SEMA Mwenyezi MUNGU alikua upande wangu....
 
One on two....

Nanukuu,

"Punde SI punde marafiki zake binti wakafika, Basi ikawa Ni wanaume 3 na wanawake 3, mezani kumebalance. Basi Pombe zikaongezwa na nyama zikawa Ni mwendo wa bandika bandua mpk MDA flani nimeimaliza bapa ya 2,nmeianza bapa ya 3 nainuka Kwenda chooni haja ndogo, nikaanza kujihisi Kama network kichwani hazisomi vizur, najhs kizunguzungu."

Siku nikifanya hayo mliyo yafanya wewe, muhaya na mnyakyusa ntajiona na mdhambi zaidi ya shetani.....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Siku Moja nilipatwa na tukio sijawai kusimulia mtu mfukoni nilikua na kama laki 5,

Nikawa na appointment na rafik angu let say y nikiwa ma msubir mida ya saa Moja na nusu kuelekea mbili usiku lile eneo nilikua stranger....
Nikatafuta kijieneo nikae walau nisogeze muda wa kumsubir rafik angu y
Nikaona sehemu ya wazi wameweka viti na watu wanapata kinywaji so nikajongea Nika agiza flying fish Moja nikaanza kuinywa......
Yule mdada akaona Nina mapene mfukoni so akaja akawa ananisemesha na kunizoea am 4 real nipo cool na sinaga shobo na mazoea....
Nikamaliza flying fish Moja nikamwambia aniongeze ingine kumbuka jamaa y still hajafika....................
Nilipo kua naendelea kuburudika flying fish ya pili...
Wakawa wanapita jamaa watatu wanaonyesha wamelewa sana gafla mmoja wao alipo fika kwenye MEZA Kwa bahati mbaya akaigonga grass yangu ikadondoka chini....
Jamaa wakaniomba radhi muhudumu akaja akanibadilishia grass ikiwa na unyevu unyevu.....

Nikamimina kinywaji chote kwenye grass na kukinywa na kukimaliza....Nikapata wazo fasta ninyanyuke niende nyumbani nikanyanyuka nikaenda kupanda bajaji......

Nikafk mitaa ya karibu na home najulikana pale Huwa naendaga several times nikaenda sehemu wanauzaga chips mishikaki na kuku
Nika agiza waniandalie nikatafuta position ya pembeni kwenye kiti nikakaa....
Lahaula!! Nilikuja kuamka saa 8 usiku nikashituka nilileta tahamaki nyumbani kwetu...Kwa wife missed call kama 100 maana haikua kawaida [emoji851][emoji4]
Kujisachi Kila kitu changu kipo sawa na kumbukumbu zangu hazina twakwimu ndipo nikaenda kwangu nili tafakar sana hiki kitendo....wale watu waliniwekea madawa SEMA Mwenyezi MUNGU alikua upande wangu....

Ha ha ha......dhambi iko wapi? Mbona kawaida kiongozi,Mambo ya ulevi Yana mengi sana[emoji4]
 
One on two....

Nanukuu,

"Punde SI punde marafiki zake binti wakafika, Basi ikawa Ni wanaume 3 na wanawake 3, mezani kumebalance. Basi Pombe zikaongezwa na nyama zikawa Ni mwendo wa bandika bandua mpk MDA flani nimeimaliza bapa ya 2,nmeianza bapa ya 3 nainuka Kwenda chooni haja ndogo, nikaanza kujihisi Kama network kichwani hazisomi vizur, najhs kizunguzungu."

Siku nikifanya hayo mliyo yafanya wewe, muhaya na mnyakyusa ntajiona na mdhambi zaidi ya shetani.....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Siku Moja nilipatwa na tukio sijawai kusimulia mtu mfukoni nilikua na kama laki 5,

Nikawa na appointment na rafik angu let say y nikiwa ma msubir mida ya saa Moja na nusu kuelekea mbili usiku lile eneo nilikua stranger....
Nikatafuta kijieneo nikae walau nisogeze muda wa kumsubir rafik angu y
Nikaona sehemu ya wazi wameweka viti na watu wanapata kinywaji so nikajongea Nika agiza flying fish Moja nikaanza kuinywa......
Yule mdada akaona Nina mapene mfukoni so akaja akawa ananisemesha na kunizoea am 4 real nipo cool na sinaga shobo na mazoea....
Nikamaliza flying fish Moja nikamwambia aniongeze ingine kumbuka jamaa y still hajafika....................
Nilipo kua naendelea kuburudika flying fish ya pili...
Wakawa wanapita jamaa watatu wanaonyesha wamelewa sana gafla mmoja wao alipo fika kwenye MEZA Kwa bahati mbaya akaigonga grass yangu ikadondoka chini....
Jamaa wakaniomba radhi muhudumu akaja akanibadilishia grass ikiwa na unyevu unyevu.....

Nikamimina kinywaji chote kwenye grass na kukinywa na kukimaliza....Nikapata wazo fasta ninyanyuke niende nyumbani nikanyanyuka nikaenda kupanda bajaji......

Nikafk mitaa ya karibu na home najulikana pale Huwa naendaga several times nikaenda sehemu wanauzaga chips mishikaki na kuku
Nika agiza waniandalie nikatafuta position ya pembeni kwenye kiti nikakaa....
Lahaula!! Nilikuja kuamka saa 8 usiku nikashituka nilileta tahamaki nyumbani kwetu...Kwa wife missed call kama 100 maana haikua kawaida [emoji851][emoji4]
Kujisachi Kila kitu changu kipo sawa na kumbukumbu zangu hazina twakwimu ndipo nikaenda kwangu nili tafakar sana hiki kitendo....wale watu waliniwekea madawa SEMA Mwenyezi MUNGU alikua upande wangu....
Inaonekana mhudumu uyo nae anahusika kwny huo mchezo, kvp analeta glass yenye unyevu,pia hao jamaa hawakujua ungeondoka fasta
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787], padri alikuwa mgeni angekuwa mwenyewe asingepigwa kizembe hivyo na mtoto wa singida, ila huyo dada alijua kuzichezea hizo hela jamani after 1yr analia njaa akauza kila kitu akatokomea sijui oman
Apo padri aliziombea albadiri ya kikatolic[emoji4]
 
Wapiga maji tunasafari ndefu,zimenikuta mara mbili issue kama izo.Uveteran unanisaidia nashtuka asubuhi nipo guest niliyochukua nmefunga mlango ila nmeshndwa kupanda kitandani mbu zimenipiga kinoma.

Muhimu sehemu ngeni tujitahidi kutafuta machimbo yaliyotulia(ya wastaatabu)mara ya tatu Mpanda nilipigwa kisenge sana niliuza mechi na kuchapwa 50k sema nashkuru aliniachia pochi ATM card na vitambulisho vyote muhimu.
Ten yrs now nmekuw matured siwezi ishi life kama hilo coz majukum ya kifamilia na kiutafutaji yanatubadilisha

Mungu mkubwa tunaishi
 
Sio vichwa vinatofautiana jamani??. anyway wakazi wa huu mji sio wa kuwatetea ni vibaka na wakora Sana....hapo jamaa kanyweshwa valium bila kupenda
Siku zote ukiwa kwenye motion kilevi hakiwezi kikuchukua.....

Kuhusu valium Kuna jamaa walikua wanachanganya vidonge 10 kwenye kiroba (pombekali) na still wanapata normal vibe....
 
Back
Top Bottom