The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Hata mimi nawashangaa watu ambao wanaona Kinana kajibu hoja.Kinana hajajibu chochote ni brainwasher, alichokisema hakina mashiko ni kama ametupa wanachama lambalamba siku ipite, personally sijaona hoja
Wakati wenzake amehoji ratio ya Wapiga kura na Majimbo yeye wanazungumzia idadi ya majimbo/wawakilishi.
Pia, Kile anachojaribu kuwatuhumu CDM kuwa wanachokita wao ndiyo kiwe ndicho hicho hicho wanachokifanya wao CCM.