Hongera Kinana kwa kumjibu Tundu Lissu ila kazi bado ipo

Hongera Kinana kwa kumjibu Tundu Lissu ila kazi bado ipo

Haya Nina ushahidi nayo. Sasa hayo ya kwako sijui 40 hadi 20 ndio bure?

Sasa kama tayari elimu ilikuwa ni bure, hiyo 2015 ccm waliposema elimu itakuwa bure walimaanisha nini, wakati tayari ilikuwa bure?
Kaka, ndio maana nikasema hiz zilikua ni stages katika ku achieve program, huwez futa ghafla bila kuwa na mbadala.
Ndio maana primary ikafutwa,

Baada ya muda sekondar ikapunguzwa

Baada ya muda sekondari ikafutwa.

Mbona ni hatua za kawaida kabisa na zina make sense.

Walisema haiwezekani kwakua wao walikua na utaratibu wao wa utekelezaji, haukua unawezekana kulingana na matakwa ya wapinzani wengine waljvyotaka mpango utekelezwe
 
Kila mtu ana kwao Jumbe kwao ni mji mwema , Mwinyi kwao ni Mkuranga, Magufuli kwao Chato , Idrissa Wakil kwao Makunduchi, Seif Shariff Kwao ni Mtambwe, Nyerere kwao ni Butiama, , Salmini kwao ni Kidongo vipi uwape watu wote wa Zanzibar sehemu Za bara kuwa ndio kwao ??? hiyo ndiyo elimu ya CCM na kanisa kutaka kuvimeza visiwa. Hiyo Tanganyika ina laana kwa kuivamia Zanzibar na haiwezi kufanya lolote la maana mpaka iombe radhi kwa Zanzibar kwa kumwaga damu Za watu kwa maelfu au karma itawashika tu . Mliowavamia hawana nguvu wanamuelekea Mungu. Dua ya mnyonge hairudi
Bara peke yake ina mita za mraba zaidi ya laki tisa na nusu. Jaribu kusafiri na basi siku moja uangalie maeneo mengi ya nchi hii ambayo bado ni mapori tu hayajaguswa hata kidogo labda itakusaidia kufunguka na kuwa na mitazamo tofauti na hii uliyonayo hivi sasa.

Hakuna cha dua, Tanzania ipo kule kwa sababu ya maslahi mapana ya umoja wa kitaifa, kwa sababu za kiulinzi na wepesi wa kuichukua Zanzibar uliokuwepo miaka ya sitini mpaka hivi sasa upo bado.
 
Kaka, ndio maana nikasema hiz zilikua ni stages katika ku achieve program, huwez futa ghafla bila kuwa na mbadala.
Ndio maana primary ikafutwa,

Baada ya muda sekondar ikapunguzwa

Baada ya muda sekondari ikafutwa.

Mbona ni hatua za kawaida kabisa na zina make sense.

Walisema haiwezekani kwakua wao walikua na utaratibu wao wa utekelezaji, haukua unawezekana kulingana na matakwa ya wapinzani wengine waljvyotaka mpango utekelezwe
Acha kucheza na maneno, wangesema wameanza utekelezaji kidogo kidogo, kuelekea huko. Lakini kilichotokea kampeni za ccm za 2015 ni kupora ajenda baada ya kuona hamasa ya ajenda hiyo kwenye kampeni za 2010. Hakuna popote walipoweka hilo kwenye kampeni za uchaguzi za 2010, zaidi ya kujaza makada kwenye vyombo vya habari kusema wasemacho cdm kuhusu elimu bure hakiwezekani. Huna haja ya kutumia nguvu kubwa kulazimisha. usemamcho.
 
Bara peke yake ina mita za mraba zaidi ya laki tisa na nusu. Jaribu kusafiri na basi siku moja uangalie maeneo mengi ya nchi hii ambayo bado ni mapori tu hayajaguswa hata kidogo labda itakusaidia kufunguka na kuwa na mitazamo tofauti na hii uliyonayo hivi sasa.

Hakuna cha dua, Tanzania ipo kule kwa sababu ya maslahi mapana ya umoja wa kitaifa, kwa sababu za kiulinzi na wepesi wa kuichukua Zanzibar uliokuwepo miaka ya sitini mpaka hivi sasa upo bado.
Kama pori na ardhi mnayo ya kutosha inakuwaje mnalalamika kuwa hamwezi kununua ardhi Zanzibar? Inakuwaje mumejazana huku Kama ngumbi kutafuta ajira?
Yote ni laana ya kumwaga damu ya wanyonge , Karma inawatandika hata hamwoni mbele. Nchi iliyojaa dhahabu na almasi Kama Botswana lakini iangalie Tanganyika ilivyooza kwa Roho zenu mbovu. Wacha karma iwatandike
 
Kama pori na ardhi mnayo ya kutosha inakuwaje mnalalamika kuwa hamwezi kununua ardhi Zanzibar? Inakuwaje mumejazana huku Kama ngumbi kutafuta ajira?
Yote ni laana ya kumwaga damu ya wanyonge , Karma inawatandika hata hamwoni mbele. Nchi iliyojaa dhahabu na almasi Kama Botswana lakini iangalie Tanganyika ilivyooza kwa Roho zenu mbovu. Wacha karma iwatandike
Muungano tumezaliwa tumeukuta na tutakufa tutauacha. 2008 lilipotokea tatizo la umeme huku bara mwezi May kule Zanzibar waliteseka mwezi mzima.

Tuna undugu wa damu, tuna DNA za aina moja wa huku bara na wa huko visiwani. Haya mengine yanatatulika na yanaongeleka kwa kirefu tu.
 
Muungano tumezaliwa tumeukuta na tutakufa tutauacha. 2008 lilipotokea tatizo la umeme huku bara mwezi May kule Zanzibar waliteseka mwezi mzima.

Tuna undugu wa damu, tuna DNA za aina moja wa huku bara na wa huko visiwani. Haya mengine yanatatulika na yanaongeleka kwa kirefu tu.

Aliyezaliwa na muungano ni wewe ,sisi mavamizi tumeyakuta na wazee wetu waliuliwa kwa maelfu , nchi yote imeoza . Imerudi nyuma miaka 400 . Humjui mwenye elimu na asiye na elimu , Leo eti akina Kinana ndio viongozi na kina Lema na Sugu , huu ni msiba mkubwa.

kabla ya huo uvamizi hakukuwa na shida ya maji wala umeme.
hiyo DNA labda wamekupa CCM na babu yako Nyerere.

kama huelewi miaka ya 1950s Zanzibar kulikuwa hakuna jela kwa vile kulikuwa hakuna crime.

mpaka uvamizi wa Nyerere mtu alikuwa hafungi duka lake. leo mumekuja nyinyi wenye ile DNA ya Laanatullahi Nyerere mnatoa watu roho kwa shilingi elfu kumi tu.

Uvamizi unakaribia ukingoni kufariki kifo cha mende , utakuja kuniambia
 
Aliyezaliwa na muungano ni wewe ,sisi mavamizi tumeyakuta na wazee wetu waliuliwa kwa maelfu , nchi yote imeoza . Imerudi nyuma miaka 400 . Humjui mwenye elimu na asiye na elimu , Leo eti akina Kinana ndio viongozi na kina Lema na Sugu , huu ni msiba mkubwa.

kabla ya huo uvamizi hakukuwa na shida ya maji wala umeme.
hiyo DNA labda wamekupa CCM na babu yako Nyerere.

kama huelewi miaka ya 1950s Zanzibar kulikuwa hakuna jela kwa vile kulikuwa hakuna crime.

mpaka uvamizi wa Nyerere mtu alikuwa hafungi duka lake. leo mumekuja nyinyi wenye ile DNA ya Laanatullahi Nyerere mnatoa watu roho kwa shilingi elfu kumi tu.

Uvamizi unakaribia ukingoni kufariki kifo cha mende , utakuja kuniambia
Ningekuwa na uwezo ningevisogeza mbali visiwa hivi - Julius Nyerere.

Hakuna mwenye akili timamu kutoka huku bara mwenye hilo wazo la kuja kuvamia huko visiwani. Unguja na Pemba jumla ina watu milioni mbili na hapo nimeongeza sana idadi halisi, huku Dar hapa Kinondoni kuna watu milioni mbili sawa na idadi yote ya huko visiwani.
 
Ningekuwa na uwezo ningevisogeza mbali visiwa hivi - Julius Nyerere.

Hakuna mwenye akili timamu kutoka huku bara mwenye hilo wazo la kuja kuvamia huko visiwani. Unguja na Pemba jumla ina watu milioni mbili na hapo nimeongeza sana idadi halisi, huku Dar hapa Kinondoni kuna watu milioni mbili sawa na idadi yote ya huko visiwani.

Kwa hivyo huyo aliyevamia akili zake siyo timamu ?? Hapo nakuamini kabisa 💪💪💪
 
Kuhusu uuzwaji wa Bandari aliweza kujibu na hata mimi nilimuelewa. Alijibu vizuri kilichofanyika na kinachofanyika Bandarini ni uwekezaji na sio uuzwaji. Akatoa mfano ilivyofanyika TBL na NMB.

Alitoa pia mfano namna Maraisi mbalimbali wakiwemo wa Tanganyika walivyotekeleza sera ya uwekezaji curia kuanzia Mwinyi, Mkapa, Kikwete hadi Magufuli.

Kuhusu Uzanzibar wake alijibu vizuri na akatoa mifano ya kikatiba

Ukiweka ushabiki pembeni kuna maswali alijibu vizuri na kwa utulivu mkubwa sana

Sehemu pekee aliposhindwa kujibu ni maswali kuhusu Muungano na issue ya Katiba Mpya. Pale kusema kweli tutakuwa tunamuonea tu maana kwa CCM hakuna anayeweza kutoa majibu logic na yakaeleweka na kukubaliwa.
Unakubali majibu yake kwa sababu wewe IGA hujaisoma. Uwekezaji suiyokuwa na ukomo si ndiyo uuzwaji.

Au basi wamepewa bure bila kulipa kwa sababu ukiuziwa kitu lazima ulipe bei yake.
 
Ndo mana hata Karume alitaka Nchi 1 na Serikali 1 maana ukisikiliza zinazoitwa kero za Muungano zote suluhisho lake la kweli ni Nchi 1 na Serikali 1.

Ukishaanza kutizama resources sijui basi hapo hakuna Muungano kuna mmoja anayemlalia mwenzie
Hili la Karume kutaka nchi moja unalithibitisha wapi, maana maana inademwa kuwa Nyerere ndiye alitaka nchi moja Karume akakataa ndipo walipopeana muda wa kuandaa huo Muungano kwa matazamio ya kuwa nchi moja ambapo baadae ilikuja kushindikana
 
Unakubali majibu yake kwa sababu wewe IGA hujaisoma. Uwekezaji suiyokuwa na ukomo si ndiyo uuzwaji.

Au basi wamepewa bure bila kulipa kwa sababu ukiuziwa kitu lazima ulipe bei yake.
Nimeisoma IGA na nimeielewa vizuri sana. Kwenye kuuzwa kwa Bandari Lissu aliongopa na Kinana kamjibu vizuri sana
 
Hata mimi nawashangaa watu ambao wanaona Kinana kajibu hoja.

Pia, Kile anachojaribu kuwatuhumu CDM kuwa wanachokita wao ndiyo kiwe ndicho hicho hicho wanachokifanya wao CCM.
Wenye akili watakuelewa
 
😂😂😂

Unadhani kwanini Nyerere na Karume walikuja na Muungano wa Serikali mbili na siyo moja?

Ukinijibu kwa mfumo wa Hesabu za Seti Darasa la Pili nitakuelewa Vizuri
Nyoko wewe..!

A is a subset of B .

All A is B but not all B is A.

Ha ha ha haaaa
 
Kinana hajajibu hoja yoyote. Hoja alizotoa Lissu kule Babati ni mbili kama ifuatavyo:
1. Rais Samia ni mZanzibar - Kinana Kajibu nini? Kwamba ni kweli mZanzibar. Hiyo ni hoja ya kujibu??!!??
2. Rais wa serikali ya muungano MZanzibar amepata madaraka ya kuuza Bandari zote za Tanganyika kwa waarabu na kuziacha za Zanzibar kwa sababu ya mfumo wa Muungano ulivyo sasa. Pia Rais wa wa serikali ya Muungano mZanzibar amepata madaraka ya kufukuza watanganyika kwenye ardhi zoa za asili kwa sababu ya mfumo wa Muungano ulivyo hivi sasa. Ardhi na Bandari siyo mambo ya Muungano. Kinana amejibu hii hoja?
Lissu mpumbavu tu sawa na wengine wengi tu huku mitaani. Bandari kutafutiwa wawekezaji ni sera imeandikwa kwenye ilani ya uchaguzi Samia hafanyi hivyo kwa utashi wake.

Kuleta wawekezaji wapya ni kuimarisha ufanisi wa sekta nzima ya bandari ili pato la taifa liongezeke, huyo Lissu anaongea ujinga ili apate kupendwa na wasikilizaji lakini mtu makini atamsikiliza na kumpuuza tu.
 
Back
Top Bottom