Hongera Kinana kwa kumjibu Tundu Lissu ila kazi bado ipo

Hongera Kinana kwa kumjibu Tundu Lissu ila kazi bado ipo

05 May 2024

Abdulrahman Kinana Amvaa Tundu Lissu Suala la Rais Mzanzibari, "Nani Amekataa?
".


View: https://m.youtube.com/watch?v=zFJ1jRSRBXs
Leo Mei 5,2024, Makamu Mwenyekiti wa CCM anazungumza na waandishi wa habari na wanaCCM katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma. Anategemewa kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo kujibu shutuma mbalimbali zilizoibuliwa na upinzani ambazo CCM wameziita ni za kibaguzi dhidi ya Muungano.

Truth is only threat to those who benefit from lies
 
Hata mimi nawashangaa watu ambao wanaona Kinana kajibu hoja.

Wakati wenzake amehoji ratio ya Wapiga kura na Majimbo yeye wanazungumzia idadi ya majimbo/wawakilishi.

Pia, Kile anachojaribu kuwatuhumu CDM kuwa wanachokita wao ndiyo kiwe ndicho hicho hicho wanachokifanya wao CCM.
Kinana amekuj na yeye aonekane yumo
 
Hakuna haki miliki ya hoja, kumbuka elimu bure ilikuwa ajenda ya cdm ccm wakarukia. Ama hujui unaoongea Nini dogo?
Waliivaa kama ilivyo bila kuwa na strategies wakaangukia pua
 
Sasa kinana anaanza kujibishana na watoto wadogo akina lissu, makalla yuko wapi kufanya hiyo kazi, mie naona mama amrudishe sophia mjema
 
Sera ya muungano ilikuwa hoja ya act wazakendo, sera ya muungano ilikuwa sera ya DP sasa hawa washenzi washaacha sera zao za kupambana na ufisadi na kupigania utalawala wa majimbo sasa wamerukia sera zingine kabisa yaani wanayumba ka ngama ya wakara
Tazama HILI KOBE LA ZAMBARAU! Jingaaa Nini weye kwahiyo nyie mna hati miliki ya hoja za nchi hii? Upuuzi kama huu peleka MWANDIGA huko nyambafu.
 
Sasa kinana anaanza kujibishana na watoto wadogo akina lissu, makalla yuko wapi kufanya hiyo kazi, mie naona mama amrudishe sophia mjema
Inamaana hamjui kama hilo nalo ni BUMUNDA jipya? Mtu kanene Hadi mate ataongea Nini? HAPA ccm mmeweka galasa, LISSU anajipigia tu atakavyo yaani ni mwendo wa kuwabinua tu na hakuna mwenye hoja mbele ya Lissu
 
Wawekewe mijadala basi kwenye tv kama kinana anaweza kujibu hoja za lisu...
 
Katika CCM ya sasa watu pekee ambao naweza kusema wana maarifa na uwezo wa kuweza kujibu hoja nzito za wapinzani na Watanzania ni Makamu Mwenyekiti wa chama Ndug. Abdulrahman Kinana na Katibu Mkuu Ndug. Emmanuel Nchimbi.

Kitendo cha Kinana leo kutoka na kumjibu Lissu kimeonesha kuwa japo huyu mtu sasa anazeeka ila bado ana uwezo mkubwa sana wa kujibu hoja za Wapinzania na angalau akaeleweka kwa Jamii ya watu wasomi wanaofikiri vizuri.

Pamoja na kuweza kuzijibu hoja za Tundu Lissu japo si kwa kiwango ambacho wengi walitegemea hasa kwenye maswali magumu ya Katiba yetu na masuala ya Muungano naweza kusema huko mbeleni suala la Katiba na Muungano zinaweza kuwa hoja ngumu sana kwa CCM

Maswali ya Lissu kuhusu wazanzibari kushika nafasi Tanzania Bara ambazo hazihusiani na masuala ya Muungano, pamoja na Katiba yetu kuwapa nguvu wanasiasa zaidi ya wataalam na kutoweka mazingira ya kuwawajibisha wanasiasa ni hoja nzito sana ambazo nina uhakika kwa kadri siku zinavyokwenda zitawapa wana CCM wakati mgumu sana katika kuzijibu.

Mimi ni CCM ila napenda kukiri kati ya Mambo ambayo ni lazima yafanyiwe kazi sasa ni:

1. Kukubaliana na Mawazo ya Marehemu Rais Karume kwa kuufanya Muungano wetu kuwa wa Nchi Moja na Serikali Moja

2. Kurekebisha Katiba iliyopo au kuja na Katiba mpya ambayo itaweka iwajibikaji wa Wanasiasa na Viongozi kwa Wananchi kiasi ambacho itamlazimu Kiongozi kuiheshimu na kuilinda katiba ambayo itambana kutofanya jambo lolote kinyume na Katiba.
Mwenezi wa CCM YUKO WAPI
 
Kwenye Katiba na Muungano tutamuonea tu Kinana. Lile ni fupa gumu ambalo hakuna anayeweza kutoa majibu akaelewa awe ndani ya CCM au hata atoke mbinguni.

Kati ya vitu ambavyo CCM tunatakiwa kurekebisha haraka ni kuunda muungano wa Serikali 1 na nchi moja na kuweka Katiba Mpya.

Watu wakizidi kuamka kwenye haya huko mbeleni tutagawana mbao

ukweli ni kuwa Zanzibar ilivamiwa na Laanatullahi Nyerere 1964 , alimkamata Waziri Mkluu Shamte mpemba wa Ole na kumwweka jela pamoja na baraza lake la mawaziri kwa zaidi ya miaka 10.

Dua ya mwenye kudhulumiwa hairudi. Shamte alimwachia Mungu ahukumu na tumeona na tunaona matokeo yake . Nchi zote Tanganyika na Zanzibar zimeoza na zinaendelelea kudidimia.
Pakizibwa kiraka huku kunatoboka huku.

karma inapiga kila mahali.

la kufanywa ni Tanganyika iiombe radhi Zanzibar na iiwachie iwe huru , bila hivyo tutaendelea kuziba viraka na mwisho nguo kuchanika kabisa
 
Mfumo huu wa Muungano ni wazo la Nyerere na wala halikuwa pendekezo la Karume.

Kwa hali ilivyo na tunavyoelekea huko mbele itakuwa shida sana kuutetea huu muungano hasa watanganyika wakiona kuna watu wananufaika zaidi na what is called Muungano kuliko wao.

Hata zinazosemwa kero za Muungano ukiangalia kwa undani suluhisho lake sio Serikali 2 au 3 bali ni Serikali 1

Kuna mambo kama tunaipenda lweli nchi yetu ni lazima tuyafanyie maamuzi sasa.
Nyerere alifanya vile wakati wa dunia ya nchi zisizofungamana na upande wowote wakati wa dunia ya vita baridi.

Hakutaka Zanzibar iwe ni mlango wa kuivuruga Tanzania katika masuala ya kiulinzi wakati ule wa Urusi na Marekani kuwa katika vita za chini kwa chini zisizokwisha.

Naamini ulinzi wa huku bara bado ni kipaumbele hata katika hii dunia yenye muelekeo tofauti wa kisiasa na miaka ile ya wakati wa uhuru.

Pia wazenji wengi wanadanganywa na waarabu wanaoishi nao huko visiwani. Asili yao ni huku bara na hilo wangelitambua kwa kina kabla ya kujiona 'Baab Kubwa'.
 
Nyerere alifanya vile wakati wa dunia ya nchi zisizofungamana na upande wowote wakati wa dunia ya vita baridi.

Hakutaka Zanzibar iwe ni mlango wa kuivuruga Tanzania katika masuala ya kiulinzi wakati ule wa Urusi na Marekani kuwa katika vita za chini kwa chini zisizokwisha.

Naamini ulinzi wa huku bara bado ni kipaumbele hata katika hii dunia yenye muelekeo tofauti wa kisiasa na miaka ile ya wakati wa uhuru.

Pia wazenji wengi wanadanganywa na waarabu wanaoishi nao huko visiwani. Asili yao ni huku bara na hilo wangelitambua kwa kina kabla ya kujiona 'Baab Kubwa'.
Kila mtu ana kwao Jumbe kwao ni mji mwema , Mwinyi kwao ni Mkuranga, Magufuli kwao Chato , Idrissa Wakil kwao Makunduchi, Seif Shariff Kwao ni Mtambwe, Nyerere kwao ni Butiama, , Salmini kwao ni Kidongo vipi uwape watu wote wa Zanzibar sehemu Za bara kuwa ndio kwao ??? hiyo ndiyo elimu ya CCM na kanisa kutaka kuvimeza visiwa. Hiyo Tanganyika ina laana kwa kuivamia Zanzibar na haiwezi kufanya lolote la maana mpaka iombe radhi kwa Zanzibar kwa kumwaga damu Za watu kwa maelfu au karma itawashika tu . Mliowavamia hawana nguvu wanamuelekea Mungu. Dua ya mnyonge hairudi
 
Mfumo huu wa Muungano ni wazo la Nyerere na wala halikuwa pendekezo la Karume.

Kwa hali ilivyo na tunavyoelekea huko mbele itakuwa shida sana kuutetea huu muungano hasa watanganyika wakiona kuna watu wananufaika zaidi na what is called Muungano kuliko wao.

Hata zinazosemwa kero za Muungano ukiangalia kwa undani suluhisho lake sio Serikali 2 au 3 bali ni Serikali 1

Kuna mambo kama tunaipenda lweli nchi yetu ni lazima tuyafanyie maamuzi sasa.
Upotoshaji mkubwa, toa reference wapi imeandikwa Nyerere alimfuata Karume kutaka Muungano? Nyie mmekuwa chawa sana sasa.

Baada ya Mapinduzi ya Zanzibar Karume ndiyo alimtafuta Nyerere kuomba Muungano. Na Karume alitaka Zanzibar uwe mkoa Nyerere alikataa. Sasa nyie waongo chawa mnatoka wapi na story ati Nyerere alitaka Muungano. Nyerere vile vile alifuatwa na Kenyatta na Obote waungane lakini Nyerere alikataa kuwa kinara.

Vitabu vipo kwa nini hamsomi
 
Mfumo huu wa Muungano ni wazo la Nyerere na wala halikuwa pendekezo la Karume.

Kwa hali ilivyo na tunavyoelekea huko mbele itakuwa shida sana kuutetea huu muungano hasa watanganyika wakiona kuna watu wananufaika zaidi na what is called Muungano kuliko wao.

Hata zinazosemwa kero za Muungano ukiangalia kwa undani suluhisho lake sio Serikali 2 au 3 bali ni Serikali 1

Kuna mambo kama tunaipenda lweli nchi yetu ni lazima tuyafanyie maamuzi sasa.
Mambo madogo sana haya. Watanzania tuko 61 Million na ardhi yetu ina 945,000 Sqaure kilometres za ukubwa.

Zanzibar wako 1.2 Million na ukubwa wa 2,460 Square kilometres.

Ni aibu leo watu 61 Million kuanza kugombea ki-ardhi kidogo namna hiyo wakati huku kumejaa mapori makubwa ya kutisha.

Hizo fursa za kazi unazozitaka ZNZ ziko wapi? Kama elimu yako na uwezo wako hauwezi kukupatia ajira hapa Bara penye uchumi wa GDP ya USD 85 Billion ndiyo ukabamane na GDP ya ZNZ ambayo USD 3.75??

Tunahitaji kubadilisha mtazamo tu. Tatizo letu kubwa ni umaskini. Zanzibar ingekuwa tajiri kama Qatar, mengi ya yanayosemwa wala isingekuwa issue. Kama sikosei, Area Commissioners from Zanzibar au positions nyingine zimepewa Watu wa upande mwingine wa Mwungano toka enzi za Mwalimu.

Na hizi feelings zikipewa nafasi, zinaweza hata kuleta issues kati ya movements za watu mikoani. Kuna watu, suddenly, watadai wakuu wa mikoa, wilaya, watoke katika mkoa huo huo.

Mikoa kama ya Mbeya, Mwanza, Kilimanjaro, Arusha ina mchango mkubwa kiuchumi kuliko mikoa mingine kama Tabora, Singida, Kigoma, Mtwara. What if hao wenye uchumi mkubwa wakaona wanannyonywa au kutawaliwa na watu wa mikoa maskini?
 
Upotoshaji mkubwa, toa reference wapi imeandikwa Nyerere alimfuata Karume kutaka Muungano? Nyie mmekuwa chawa sana sasa.

Baada ya Mapinduzi ya Zanzibar Karume ndiyo alimtafuta Nyerere kuomba Muungano. Na Karume alitaka Zanzibar uwe mkoa Nyerere alikataa. Sasa nyie waongo chawa mnatoka wapi na story ati Nyerere alitaka Muungano. Nyerere vile vile alifuatwa na Kenyatta na Obote waungane lakini Nyerere alikataa kuwa kinara.

Vitabu vipo kwa nini hamsomi
Sasa shida ipo wapi?

Kwani watu wanabishana kuhusu nani alimfuata mwenzake au muundo wa Muungano unaosababisha watu wengine kujiona hawana nafasi sawa na wenzao?
 
Sasa shida ipo wapi?

Kwani watu wanabishana kuhusu nani alimfuata mwenzake au muundo wa Muungano unaosababisha watu wengine kujiona hawana nafasi sawa na wenzao?
Kuna ushahidi upi wa Karume kumfuata Nyerere hayo ni maneno ya Nyerere hatujamsikiapo Karume kutamka hivyo. Hata hivyo kuna ushahidi wa Nyerere zamani kabla uhuru wa kuvichukia hivi visiwa na pia wa kuleta jeshi kuipindua na kuliweka jeshi lake kabla Huo uvamizi kupewa jina la muungano
 
Back
Top Bottom