Hongera Kinana kwa kumjibu Tundu Lissu ila kazi bado ipo

Hongera Kinana kwa kumjibu Tundu Lissu ila kazi bado ipo

Kila mtu ana kwao Jumbe kwao ni mji mwema , Mwinyi kwao ni Mkuranga, Magufuli kwao Chato , Idrissa Wakil kwao Makunduchi, Seif Shariff Kwao ni Mtambwe, Nyerere kwao ni Butiama, , Salmini kwao ni Kidongo vipi uwape watu wote wa Zanzibar sehemu Za bara kuwa ndio kwao ??? hiyo ndiyo elimu ya CCM na kanisa kutaka kuvimeza visiwa. Hiyo Tanganyika ina laana kwa kuivamia Zanzibar na haiwezi kufanya lolote la maana mpaka iombe radhi kwa Zanzibar kwa kumwaga damu Za watu kwa maelfu au karma itawashika tu . Mliowavamia hawana nguvu wanamuelekea Mungu. Dua ya mnyonge hairudi
Kwa akil hiz bila shaka wewe ni masikini wa kutupwa kifikra
 
Ni Mwanasiasa mahiri zaidi kuwahi kutokea katika karne hii kwa Chama cha Mapinduzi. Ndo mana aliaminiwa kuwa campaing manager na Mkapa then Kikwete na akaongoza Jahazi kuongoza kampeni za Magufuli 2015.

Hofu yangu ni kama akiondoka CCM watapata wapi mtu wa haiba na uwezo wake? Maana hawa waliopo sasa na tunaowaona wote ni weupe kupindukia, wanaweza siasa za kiki tu na sio hoja!
Kinana hajajibu hoja yoyote. Hoja alizotoa Lissu kule Babati ni mbili kama ifuatavyo:
1. Rais Samia ni mZanzibar - Kinana Kajibu nini? Kwamba ni kweli mZanzibar. Hiyo ni hoja ya kujibu??!!??
2. Rais wa serikali ya muungano MZanzibar amepata madaraka ya kuuza Bandari zote za Tanganyika kwa waarabu na kuziacha za Zanzibar kwa sababu ya mfumo wa Muungano ulivyo sasa. Pia Rais wa wa serikali ya Muungano mZanzibar amepata madaraka ya kufukuza watanganyika kwenye ardhi zoa za asili kwa sababu ya mfumo wa Muungano ulivyo hivi sasa. Ardhi na Bandari siyo mambo ya Muungano. Kinana amejibu hii hoja?
 
Kinana hajajibu hoja yoyote. Hoja alizotoa Lissu kule Babati ni mbili kama ifuatavyo:
1. Rais Samia ni mZanzibar - Kinana Kajibu nini? Kwamba ni kweli mZanzibar. Hiyo ni hoja ya kujibu??!!??
2. Rais wa serikali ya muungano MZanzibar amepata madaraka ya kuuza Bandari zote za Tanganyika kwa waarabu na kuziacha za Zanzibar kwa sababu ya mfumo wa Muungano ulivyo sasa. Pia Rais wa wa serikali ya Muungano mZanzibar amepata madaraka ya kufukuza watanganyika kwenye ardhi zoa za asili kwa sababu ya mfumo wa Muungano ulivyo hivi sasa. Ardhi na Bandari siyo mambo ya Muungano. Kinana amejibu hii hoja?
Kuhusu uuzwaji wa Bandari aliweza kujibu na hata mimi nilimuelewa. Alijibu vizuri kilichofanyika na kinachofanyika Bandarini ni uwekezaji na sio uuzwaji. Akatoa mfano ilivyofanyika TBL na NMB.

Alitoa pia mfano namna Maraisi mbalimbali wakiwemo wa Tanganyika walivyotekeleza sera ya uwekezaji curia kuanzia Mwinyi, Mkapa, Kikwete hadi Magufuli.

Kuhusu Uzanzibar wake alijibu vizuri na akatoa mifano ya kikatiba

Ukiweka ushabiki pembeni kuna maswali alijibu vizuri na kwa utulivu mkubwa sana

Sehemu pekee aliposhindwa kujibu ni maswali kuhusu Muungano na issue ya Katiba Mpya. Pale kusema kweli tutakuwa tunamuonea tu maana kwa CCM hakuna anayeweza kutoa majibu logic na yakaeleweka na kukubaliwa.
 
Hata mimi nawashangaa watu ambao wanaona Kinana kajibu hoja.

Wakati wenzake amehoji ratio ya Wapiga kura na Majimbo yeye wanazungumzia idadi ya majimbo/wawakilishi.

Pia, Kile anachojaribu kuwatuhumu CDM kuwa wanachokita wao ndiyo kiwe ndicho hicho hicho wanachokifanya wao CCM.
Abdu Kindovu kitembo tutakudai tembo wetu hadi uende kabirini
 
Ilianza kutekelezwa baada ya msukumo wa cdm kwenye kampeni za 2010, ilipofika 2015 ccm wakawa hawana jinsi zaidi ya kuibeba.
Mkuu ilianza kutekelezwa kabla hata ya mwaka 2003 kwa ngazi ya shule za msingi karo kwa shule za msingi zikafutwa
 
Mkuu ilianza kutekelezwa kabla hata ya mwaka 2003 kwa ngazi ya shule za msingi karo kwa shule za msingi zikafutwa
Wapi huko? Cdm walipodai mbona ccm hawakusema utekelezaji umeshaanza?
 
Kuna uhusiano gani na hoja iliyopo, au umeishiwa na hoja?
Sijaishiwa hoja kamanda maana that period mimi ndio nilikua nakaribia kuhitim shule ya msingi na karo za shule zilikua zimeshafutwa.
Mwaka 2005 ikafuata sekondari ada za shule zikapunguzwa toka 40k to 20k nilikua kidato cha pili.

Sasa mbona unataka kubisha vitu huku huna evidence mkuu??.hiv karibu Magu akafuta kabisa kulipa ada sekondari ndio maana nakuambia hii ni hoja ccm ilianza kuitekelezwa before 2003 na hoja hii Lipumba ndio alikua kinara wa kuiuza upande wa upinzani na wala sio chadema mkuu.

Cdm wamekuja kuiongelea na kuidandia ishu hii ikiwa tayar katika program ya utekelezaji.
 
Sijaishiwa hoja kamanda maana that period mimi ndio nilikua nakaribia kuhitim shule ya msingi na karo za shule zilikua zimeshafutwa.
Mwaka 2005 ikafuata sekondari ada za shule zikapunguzwa toka 40k to 20k nilikua kidato cha pili.

Sasa mbona unataka kubisha vitu huku huna evidence mkuu??.hiv karibu Magu akafuta kabisa kulipa ada sekondari ndio maana nakuambia hii ni hoja ccm ilianza kuitekelezwa before 2003 na hoja hii Lipumba ndio alikua kinara wa kuiuza upande wa upinzani na wala sio chadema mkuu.

Cdm wamekuja kuiongelea na kuidandia ishu hii ikiwa tayar katika program ya utekelezaji.
Tafuta kwenye vipindi vya kuelekea uchaguzi wa 2010 vya ITV, wanaccm walikuwa wanaingia kwenye mijadala kusema kuwa elimu bure haiwezekani. Na mmoja wapo wa aliyekuwa kwenye vipindi hivyo ni Mzee Makamba na Mzee Wassira. Hili sio jambo la kuhadithiwa bali nimesikia kwa masikio yangu. Kuna wakati Mbunge wa Moshi mjini mzee Ndesamburo alitaka manispaa hiyo aianze kutoa elimu bure, mkurugenzi wa manispaa hiyo alikataa kupitia vikao rasmi vya halmashauri kwa kusema kuwa hiyo sio sera ya ccm. Haya Nina ushahidi nayo. Sasa hayo ya kwako sijui 40 hadi 20 ndio bure?

Sasa kama tayari elimu ilikuwa ni bure, hiyo 2015 ccm waliposema elimu itakuwa bure walimaanisha nini, wakati tayari ilikuwa bure?
 
Back
Top Bottom