Hongera sana mchungaji Dkt. Kimaro kwa kufahamu ukweli

🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu ukweli hata uwe mchungu vp we upokee
Uzuri wa imani, kila mmoja anajiona mkweli. Kunipa ukweli wako kwa kutumia imani unayoiamini wewe ni ujinga tu. Ni sawa na mimi leo aje muislamu aniambie kula kitimoto ni dhambi kisa kwenye uislamu wanaamini hivyo, ni ujinga tu. SIKU ZOTE, MABISHANO YA KIIMANI YATAISHA PALE TU MMOJA ATAKAPOHAMIA KWA MWINGINE. ILA KAMA KILA MMOJA ATABAKI KWAKE UBISHI NI HADI KIFO KIWATENGANISHE
 
Leta takwimu hapa za ukweli nikupe epsa achana na porojo za kijinga ..nyie wezi matapeli, wazinzi ,

Hao labda waislamu jina sio waumini..
 
Pamoja na hoja zako nzuri sana, ukweli sisi wakristo sio waaminifu, kimavazi, kimaongezi, kiimani..amenena vizuri. Sisi sio waaminifu.
Pia ni wavivu tunasubiri kupoke tu.I receive.Kiamaro yuko sahihi kwa Mimi ninaesali kwa Katunzi.
 
Nenda bar kahesabu katika waumini wa kikristo na waislamu ...Ninaposema waumini ni wle dini sana wanaenda kanisani na msikitini sio majina ..Then njoo uniambia Nan ni wengi?
 
Hii kauli ya kwamba walio magerezani wengi ni waislamu aliitoa Mwinyi alipokuwa madarakani
 
Kwani Africa Kabla ya Dini walikuwa wanaishi vipi? C tulikuwa na imani zetu na utamaduni wetu?
Hizi dini mlizoletewa na mungu wenu wa uongo mbona zinataka kuwachanganya akili? ukiwa mkristo au muislam halafu ukafata mafundisho ya kwenye bible au Quran totally unakuwa hauna akili ubongo wako unakuwa hauna tofauti na mavi
 
Exactly. I so agree. Unakuta mtu mweusi mpumbavu sana anakaa kujifanya yeye muislamu safi. WTF
 
Uaminifu hauwi kwa watu wa imani ya dini fulani, ni tabia ya mtu binafsi awe mkristo, mwislamu au wa dini yoyote ile, na hata asiye na dini. Wapo wakristo wasio waaminifu na walio waaminifu. Wengi tu! Iko vivyo hivyo kwa waislamu na hata wasio na dini yoyote ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…