Hotuba ya Rais Samia Bungeni: Kuboresha Kilimo na Uvuvi, Kukutana na Wanasiasa, Awaonya wanaopotosha Mitandaoni, ATCL kulindwa, Wanawake kuzingatiwa

Angeyasema hayati tungesema anajisifia, pengine huyu watamuamini , sio 80% ni 100% , kinywa cha samia mwenye Mirada yote na ufanisi tumefanikiwa kutoka awamu ya tano, huyu mzee alilitendea haki taifa hili.
Nakubaliana na wewe chief.
 
ndo kamaliza?

so what the fate of those 19?
 
Mkusanya kodi ndo anaepanga matumizi usimpangie.kwani shinngapi!?
 
Oya mbona sielewi elewi, yani wale mamluki 19 wameachwa? au kuna hotuba part 2?
 
Mwishoni ameharibu...(1) Alipoongelea sababu za kifo... eti sumu ...(rahisi hatakiwi kutolea maelezo nyepesi nyepesi...).(2) Raisi mwanamke hawezi kutekeleza ilani.....
Imekwishaaa
 
🎢🎢🎢🎢

Anaweza...... πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½

Wanaolia walie..

Kazi inaendelea....
 
Unaona ulivyo mjinga?

Acha nikuache tu.
 
Speech ya mama ina 80% ya yale aliyoyaacha Hayati. Keep on resting in peace Master Mind.
Hivi Kama Mama ataendelea kujenga zahanati bila kuua mtu, kuteka, kutesa na kuvunja sheria za nchi kwani kutakuwa na ubaya gani?!!! Mwendasake tulichomchukia nacho zaidi Ni Ile kuwafanyia watu ukatili, kuvunja sheria za nchi, kuteka watu, kuonea wanasiasa, wafanyabiashara, wakulima nk kwa kisingizio kuwa Kuna watu wanamzuia kujenga madaraja!!!
 
Nyinyi nyumbu simlisema miradi iliyo anzishwa na Magu haina tija, wevipi? Ama hampo organized.
 
Kmmae zenu tanesco hotuba inaisha ndio mwarudisha umeme,
Mama nae ni famba, Hata kugusia swala la ajira mpya imekuwa shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…