Ujamaa wa bashiru ndio umepigwa stop pale mshauri wa uchumi wa rais ni mwanamama anayekubalika na world bank [ tafiti walizokuwa wanafanya kwenye taasisi aliyotoka zilikuwa zinafadhiliwa na taasisi zenye mrengo wa world bank!!] hivyo tutegee sera zetu za uchumi kuwa world bank influenced.