Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Unajidanganya nafsi yako bure, huyu ndio Amiri jeshi mkuu na pia ndio mwenyekiti wa ccm.Huyu mama hatorudi madarakani 2025, CCM wachague muungano au huyu mama.
Mbona huyo chuma alikula hela za corona kwanini hakuzirudisha zilipotoka?Chuma alikuwa alambi miguu ya Wazungu,eti Tanzania tuna Corona tusaidiwe, wakati nchi hii haijawai kuwekwa lockdown watu walikuwa wakipiga kazi kipindi cha corona, ndio maana tuna chakula cha kutosha,hiyo corona anayoisema hata serikali yake haiamini ndio Maana usikii wakitoa takwimu ila wanataka msaada wa corona, chanjo milioni moja zimewadodea alafu anaomba nyingine sijui ataziweka wapi,tuna picha ya Rais sio Rais
Bora hujamsikilizaJF, mimi huwa ni mkweli kabisa kabisa ...na maisha yangu yanasimamia kwenye ukweli...
Sitamsikiliza huyu maza kabisa sababu ntakwazika saana ...ntaumia sabababu najua mambo mengi yatakuwa fix fix.
Kwani ni nchi gani ambayo haikuathirika uchumi Wake?hao hanaolilia ndio walipigika vibaya, wakati wao walikuwa wamejifungia Sisi huku tulikuwa tunachapa kazi, ndio wameanza kufufua uchumi wao eti anaomba msaada.Hakuna kitu unajua, kuhusu uchumi we ni taburarasa tu. Bora ukae kimya kulinda heshima yako jukwaani.
Aliwahutubia akina nani. Unaweza kutuonyesha picha za waliokuwa wanasikiliza hotuba hiyo?In concluding my remarks, I wish to echo my country’s commitment in pursuing the principles of multilateralism as enshrined in the Charter of the United Nations. I urge other nations to continue supporting this august institution. The onset of COVID-19 has given to all of us a lesson that we are deeply intertwined, and that unilateralism will not get us anywhere when it comes to challenges that transcends our national borders.
Kwani uliona anakwenda kupiga magoti kuziomba,yaani mtu ajipendekeze kuletea ela tena bila kuomba,alafu urudishe!utakuwa rofa,wao walijependekeza kwa chuma nae kawajengea watu Wake barabaraMbona huyo chuma alikula hela za corona kwanini hakuzirudisha zilipotoka?
'Telepromptor'Teknolojia imekupita mbali ndugu, anasoma hapo sema huwezi kuona. Wenzangu watakusaidia hicho kifaa kinaitwaje, mimi nimekisahau.
Kwani Samia alikuwa anaongea kizungu,au alikuwa anasoma hotuba ya kizunguDikteta alikuwa hajui kizungu,
Hapana.Naona viti vingi viko tupu! Au Ni COVID nini?
Una uhakika gani kwamba hakuomba?Au ulitaka akutangazie kuwa kaomba?Kwani uliona anakwenda kupiga magoti kuziomba,yaani mtu ajipendekeze kuletea ela tena bila kuomba,alafu urudishe!utakuwa rofa,wao walijependekeza kwa chuma nae kawajengea watu Wake barabara
wewe kweli ni taburarasa.Kwani uliona anakwenda kupiga magoti kuziomba,yaani mtu ajipendekeze kuletea ela tena bila kuomba,alafu urudishe!utakuwa rofa,wao walijependekeza kwa chuma nae kawajengea watu Wake barabara
zaidi ya kutumia hisia, huna pointi.Kwani ni nchi gani ambayo haikuathirika uchumi Wake?hao hanaolilia ndio walipigika vibaya, wakati wao walikuwa wamejifungia Sisi huku tulikuwa tunachapa kazi, ndio wameanza kufufua uchumi wao eti anaomba msaada...
"...kind attention"? How did she know her audience was listening with "kind' attention?I thank you all for your kind attention!
Amejitahidi, lakini siyo kweli kusema ni Kiingereza safi kabisa. Msikilize vizuri.Mbona kaongea kiingereza Safi kabisa! We shida yako nini?
Au ndo Team pingapinga Fc?
Katika kusoma tu, kuna makosa madogo madogo ya hapa na pale. Sehemu nyingine, ilikuwa plural lakini akasoma singular. Nina imani aliandikiwa vizuri ili kakosea kusoma.Bora umeongea mkuu maana wazee wa mapambio ni mapovu tu yanawatoka, hana fluency yoyote wala misamiati ambayo inaweza kuaminisha watu kwamba ana master hiyo lugha.......
Umepewa chanjo milioni 1 mpaka sasa waliochanjwa hawafiki hata laki 3. Alafu unaenda #UNGA kuiambia dunia unataka chanjo nyingine! Seriously!Wabongo mna jazba na mtimanyongo na mama, itabidi mzoee ngoma mpaka 3035 hiyo imeishaaa. Wajanja tushalipia kadi za ccm miaka 10. Tunazama kwenye ccmapp tu sass hivi kupata fursa.