Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hotuba yake sijaielewa hata kidogo anataja maneno tu tuHamna namna
Wabongo mna jazba na mtimanyongo na mama, itabidi mzoee ngoma mpaka 3035 hiyo imeishaaa. Wajanja tushalipia kadi za ccm miaka 10. Tunazama kwenye ccmapp tu sass hivi kupata fursa.Utakuwa na mtindio wa ubongo
Mimi hotuba yake sijaielewa hata kidogo anataja maneno tu tu
Na wasiwasi sana
Huku alituambia uchumi wetu unakua kwa asilimia 4 . Plus huko marekani anawambia uchumi wetu unakua kwa asilimia 5.4 mimi sijaamini bado
Kila mtu na nchi yake ulitaka gaidi aongeeeti Biden anaongea, Xi anaongea na huyu mama nae anaongea hahahahahahaha wakati juzi alikuwa anazunguka na mpiga picha kutafuta hela za bajeti ya serikali hahahaha.
aisee
Neno Pandemic limetajwa more than quatro times. Was all about Covid effects to the economy.Mimi hotuba yake sijaielewa hata kidogo anataja maneno tu tu
Na wasiwasi sana
Huku alituambia uchumi wetu unakua kwa asilimia 4 . Plus huko marekani anawambia uchumi wetu unakua kwa asilimia 5.4 mimi sijaamini bado
Wewe ni kiazi, kwamba huoni anasoma?Mama anaongea muda huu live anavunja yai zuri sana. Kongole mheshimiwa hata hasomi mahali.
ExactlyYai la Madam lipo vyema..
Ingekuwa kura yako ndio unachagua Rais usingeruhusiwa kupiga. Ila kwakuwa haina maana basi unapiga upoteze muda wakohuyu mama hatorudi madarakani 2025, ccm wachague muungano au huyu mama.
Teleprompter...Teknolojia imekupita mbali ndugu, anasoma hapo sema huwezi kuona. Wenzangu watakusaidia hicho kifaa kinaitwaje, mimi nimekisahau.
Fanya tafiti uchumí unakuaje ndo uaminiMimi hotuba yake sijaielewa hata kidogo anataja maneno tu tu
Na wasiwasi sana
Huku alituambia uchumi wetu unakua kwa asilimia 4 . Plus huko marekani anawambia uchumi wetu unakua kwa asilimia 5.4 mimi sijaamini bado