Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

Yaani ma CCM bwana, ameanza kwa kupongeza kama kawaida. Alafu kaenda kwenye mada ya covid, eti anaongea on behalf of the world na akitoka hapo aende akawaambie maofisa wa wizara ya afya ya USA kwamba hatuna chanjo.
 
JF, mimi huwa ni mkweli kabisa kabisa ...na maisha yangu yanasimamia kwenye ukweli...

Sitamsikiliza huyu maza kabisa sababu ntakwazika saana ...ntaumia sabababu najua mambo mengi yatakuwa fix fix.
Ok ,kesho Wai chato kafagilie kaburi, hizo chuki zako kwa Rais zitamaliza afya yako tu
 
Mama rudi haraka kwenu...njoo upambane na mfumuko wa bei...

Nchi inaenda shimoni hii..
 
niko home. namsikia eti ana advocate multilateralism, haelewi hiyo kitu na democracy ni pacha?
Kwa Kuna shida gani?

Hujasikia Pia kaongelea nchi masikini kuruhusiwa kutengeneza chanjo zao? Hujasikia kaongelea kukuza uchumi na utalii na kuweka mazingira mazuri kwa uwekezaji?

Chuki zitakuua
 
Kwa Kuna shida gani?

Hujasikia Pia kaongelea nchi masikini kuruhusiwa kutengeneza chanjo zao? Hujasikia kaongelea kukuza uchumi na utalii na kuweka mazingira mazuri kwa uwekezaji?

Chuki zitakuua
yamesikiliza hotuba huku yana chuki moyoni wakati hata lugha hayajui, yanadokoa dokoa tu visentensi.
 
hizi ndio aibu zenyewe hizi, IMF wamemuambia atoe takwimu za covid wampe msaada wa kukabiliana na covid, yeye anaenda kuomba msaada kwenye hotuba.
 
yamesikiliza hotuba huku yana chuki moyoni wakati hata lugha hayajui, yanadokoa dokoa tu visentensi.
Kama mwenyekiti wao gaidi alipa zero na wako bize kumsapoti inategemea nn

USSR
 
hizi vitu anaongea IMF, WHO, WB wanavijua, sasa anaongelea nini?
 
mama anatumia muda mwingi kuzungumzia covid, si ndo aibu zenyewe hizi.
Mwl wako wa civics alikuwa na kazi mno.
kwani hujui hilo janga limeharibu mfumo mzima wa maisha kiuchumi, kijamii na kiutamaduni? Unaachaje kutumia muda mwingi kuliongelea.
 
Huyu boya wenu anahubiri Corona wakati anajua haipo Tanzania, mwambieni aache uhuni.
Hujui lolote wewe, kwahiyo Covid haijaleta impacts kwenye uchumi wetu, very pathetic.

Mnawaza ushuzi tuu na chama chenu cha activism.

#Mama 2025
 
nimemsikia amesema neno JUSTICE. Leo ndio nimetoa kabisa huyu mama, yaani anafikiri hotuba ni kuongea ongea.
 
Back
Top Bottom