Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

naona anamalizia tena na mambo ya multilateralism HIVI ANAELEWA HILI NENO
 
Kiukweli sjaona kilichompeleka zaidi ya kuongea mambo ya corona mbna shda za watazania n nyingi mno
 
Unataka watoto wa kike waige kutoza tozo kubwa kubwa watanzania ?
Ushazoea negativity sasa positivity utaziona saa ngapi? Chademaaa yenu bado sana inahitaji karne 10 sawa na 1 millennium kujifunza kuwa chama cha siasa sio uharakati.

#Mama 2025
 
aisee, hadi natamani nijifiche. eti anaanza kuelezea oooh uchumi wetu tumeadjust growth forecast from 5.4 to 4.6% PALE UN.
Yaani hajui wapi na wakati gani na kwa watu gani aseme nini.
 
Ushazoea negativity sasa positivity utaziona saa ngapi? Chademaaa yenu bado sana inahitaji karne 10 sawa na 1 millennium kujifunza kuwa chama cha siasa sio uharakati.

#Mama 2025
Umeshindwa kujibu hoja yangu.

Kwani umeulizwa na CHADEMA?
 
Hakuadaliwa vizuri alikuwa hajiamini nadhani mabango nayo yamechangia kumtoa kwenye reli. Hongera wana diaspora.
 
Kiswahili kimekuwa kigumu sana siku hizi, misamiati mipya inachipua kila uchao. Je "Hitiba" ndo nini? Na hiyo "Hitiba" ina upuuzi upi?
 
mi sjaelewa kwa hiyo ndio kilichompeleka huko kulilia chanjo za kolona
 
Back
Top Bottom