SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,338
- 4,676
Kwa hiyo hapo mama kaongea Kiingereza au kasoma Maandishi ya Kiingereza? Hivi kuna Siku mama alishawahi kuongea Kiingereza? Nakumbuka kuna Siku kumuita Raisi Biden "Honorable President Biden" badala ya "His Excelence, President Biden". Raisi wa Nchi hapewi Salutation ya " Honorable".Niongee wapi sasa! Kajifunze kiingereza! Ndo mana mlikuwa mnakimbia mikutano ya kimataifa eti kubana matumizi wakati kumbe hamjui kiingereza! Washamba nyie
tafuta mawasiliano ya Rasi Simba wewe, hakuna kitu unajua.kijambo si kijambo sustenable sustenable sustenable kila dakika nadhan alikremu maneno tena akijipa mazoez ya kuongea kabla
Weka ushahidi akimuita HonorableKwa hiyo hapo mama kaongea Kiingereza au kasoma Maandishi ya Kiingereza? Hivi kuna Siku mama alishawahi kuongea Kiingereza? Nakumbuka kuna Siku kumuita Raisi Biden "Honorable President Biden" badala ya "His Excelence, President Biden". Raisi wa Nchi hapewi Salutation ya " Honorable".
Skijui ila siwezi kuhutubia kama yeye. Amekosa mstari hata Mmoja wa kwake wa kuchomokea? Hata Utangulizi nao kasoma? Sasa Inaonekana hata Mange Kimambi au Steve Nyerere angeweza kwenda kusoma hiyo hotuba na bado ujumbe ukafika.Unaelewa kiingereza kwanza? Tuanzie hapo?π
tunajipanga, mziki wetu ni mnene.Mnaompigia chapuo Mama Royal Tour mmepoa sana. Sio kama enzi zetu sisi "Sukuma Gang" ( Ingawaje mi Mhaya), MATAGA na Buku Saba!
Mbona Magufuli hakuweza?? Kiingereza sio kwenda chooni weweMimi
Skijui ila siwezi kuhutubia kama yeye. Amekosa mstari hata Mmoja wa kwake wa kuchomokea? Hata Utangulizi nao kasoma? Sasa Inaonekana hata Mange Kimambi au Steve Nyerere angeweza kwenda kusoma hiyo hotuba na bado ujumbe ukafika.
Sasa kama hukijui kaa kimya! Tunaokijua tunasema Mama ametema yai safiMimi
Skijui ila siwezi kuhutubia kama yeye. Amekosa mstari hata Mmoja wa kwake wa kuchomokea? Hata Utangulizi nao kasoma? Sasa Inaonekana hata Mange Kimambi au Steve Nyerere angeweza kwenda kusoma hiyo hotuba na bado ujumbe ukafika.
Unaweza kukuta walisema anayependa kuhutubia live aende ukumbini sisi wengine tutakuwa room hotel kufuatilia kupitia video call kuweka social distancing!.Naona viti vingi viko tupu! Au Ni COVID nini?
unaijua viete weweSasa maneno ya Pole pole yametimia yaani kuna mtu mwingine anayeendesha nchi na sio yeye.
All the best! Tukutane Agosti - Oktoba 2025!tunajipanga, mziki wetu ni mnene.
Nikiiweka utasemaje? Nimekuonyesha kuwa Nje ya Maandishi ya kufuatisha matumizi ya Misamiati Ni Shida. Katafute maongezi Yake ya Simu na Waziri wa mambo ya Nje ya Marekani Mwaka huu kupitia SimuWeka ushahidi akimuita Honorable
Kuna shida gani ukiweka?Nikiiweka utasemaje? Nimekuonyesha kuwa Nje ya Maandishi ya kufuatisha matumizi ya Misamiati Ni Shida. Katafute maongezi Yake ya Simu na Waziri wa mambo ya Nje ya Marekani Mwaka huu kupitia Simu
Mama hajaenda na airbys kaenda na emiratesMange Anarudi Home Na Mama Ndani Ya Airbus
Ni maandalizi gani alihitaji? Halafu mbona unapingana naye maana yeye kasema ameshapata uzoefu baada ya kujifunza kwa miezi Sita.Wabongo hamna dogo! Kumbukeni huyu ni Rais mwana mama, halafu hakujiandaa kua Rais, yeye alikua kiutendaji zaidi.
Kwa mtazamo wangu, kajitahidi kuwapa mabeberu wanachotaka kusikia Ili kufunika kombe mwanaharamu apite.