Hotuba ya Waziri wa Ulinzi wa Israel Yoav Gallant. Dalili za kwanza za kukubali kushindwa vita

Hotuba ya Waziri wa Ulinzi wa Israel Yoav Gallant. Dalili za kwanza za kukubali kushindwa vita

Hapo Israel kaona maji shingoni Askari wake wanakufa sana Lebanon kitakachofuatia ni kusema vita vimefanikiwa kwa hivyo tusimamishe mapigano.

Kama kuna kitu ambacho Israel hawezi kuvumilia ni vifo vingi vya watu wao hapo lazima waufyate tu. Kila muisrael anapenda kuishi miaka 1000
 
Wanamgambo wa Hezbullah wamepenyeza kwenye makazi ya Givat Assaf. Sa waisrael wameambiwa waingie ndani ya nyumba zao wajifungie milango na wakisikia sauti wasitoke 😄

Vyombo vya habari vya Israel
Hahaha kwa hivyo zamu yao kuishi mashimoni sasa

Ila Israel inatia aibu sana yani. Pamoja na mabilioni ya misaada na masilaha mazito wanayopewa lakini wapi wanapigwa na mgambo..
 
Ndio Bikira 72 ni wachache sana, tuliona hapa Dunian mfalme Selemani alikuwa na wanawake 700, na aliishi nao , sasa iweje 72 iwe uongo? ebu acha wivu wewe muimba kwaya
Wa Israel mpaa leo wanaitafuta
Solomon's Temple wao wanammuita King Solomon. Wameisha mulika kwa tochi mpaa chini ya Masjid Al Aqsa hawajapata hio Salomon's Temple. Sababu hakuwahi kujenga Temple ali rudia ku ujenga Masjid Al Aqsa. Hawa Wayahudi vichaa kweli kama hawa tulionao hapa wayahudi weusi. Wanatulazimisha watupe bikra 72 za kutoka kanisani 😄
 
Screenshot_2024-10-24-21-30-27-414_org.mozilla.firefox~2.jpg
Screenshot_2024-10-23-23-07-52-155_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2024-10-23-14-48-25-101_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
Screenshot_2024-10-21-22-20-55-853_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-19-10-14-17-919_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2024-10-18-16-31-27-978_com.twitter.android~2.jpg
 
Wa Israel mpaa leo wanaitafuta
Solomon's Temple wao wanammuita King Solomon. Wameisha mulika kwa tochi mpaa chini ya Masjid Al Aqsa hawajapata hio Salomon's Temple. Sababu hakuwahi kujenga Temple ali rudia ku ujenga Masjid Al Aqsa. Hawa Wayahudi vichaa kweli kama hawa tulionao hapa wayahudi weusi. Wanatulazimisha watupe bikra 72 za kutoka kanisani 😄
Ndio Bikira 72 ni wachache sana, tuliona hapa Dunian mfalme Selemani alikuwa na wanawake 700, na aliishi nao , sasa iweje 72 iwe uongo? ebu acha wivu wewe muimba kwaya
Screenshot_2024-10-21-22-20-55-853_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-21-22-29-59-585_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2024-10-19-10-14-17-919_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2024-10-18-16-31-27-978_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-20-10-31-39-548_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-18-16-13-35-244_org.mozilla.firefox~2.jpg
Screenshot_2024-10-17-22-30-46-094_com.instagram.android~2.jpg
 
🇺🇸🇮🇱❌🇱🇧 — Channel 12 Hebrew:
Israel proposes not expanding its ground operation in Lebanon in exchange for an American land, air and water blockade that prevents Hezbollah from rebuilding its capabilities.
Mtoto pendwa anampa fupa babake
 
Back
Top Bottom