Shida kubwa ya Afrika ni kutopenda watu wenye uwezo mkubwa kuwa viongozi,bali viongozi wanapenda watu wa ndio bwana mkubwa hata kama kaongea pumba.
Lissu ni hadhina ya taifa hili ni vile taifa limekumbatia ujinga na upumbavu,hivyo kushindwa kutumia rasilimali watu kama Lissu kwa manufaa ya umma.