Hotuba za Tundu Lissu zinadhihirisha usomi wake. Kamuibua Amilcar Cabral. Wenyeviti wangapi wa vyama vya siasa wanamjua?

Lissu anafaa hata kua Rais wa Nchi ni Mtu muungwana sana
 
Kama siyo mbabaishaji (chawa bila maarifa), unayependa haki, ukweli na uwazi, huwezi kumchukia mtu kama TAL. Ni mtu anayejitoa sana kuielimisha, kuitetea na kuipigania haki ya jamii nzima ya watanzania. Ni mtu mkweli, yupo huru sana kifikra na mitazamo ya kidunia
 
Uko sawa kwa zaidi ya 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…