Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Sina haja ya kuonyesha ubora wangu kwako, sishindani na wewe. Nataka niwe Bora kuliko nilivyokuwa Jana. Ushindani wangu ni kati ya Mimi wa Jana na Mimi wa keshoUnajikuta motivation speaker sio? Katatue baa la njaa huko kwenu ndiyo nikuone we ni bora
Ndio mkuuKweli inaweza kuwa ametumia tu picha za wengine kuonesha msisitizo
HIZo ni picha za mcheza basketballKweli inaweza kuwa ametumia tu picha za wengine kuonesha msisitizo
Hahaha hana lolote, alivyo hana aibu ana reply tena badala ya kuvunga.Kweli inaweza kuwa ametumia tu picha za wengine kuonesha msisitizo
Kweli kabisa watu wasicheke sana atatupia picha yuko bahamas honeymoon 😄Ndio mkuu
Ukizingatia hapa ni JamiiForums,nani atapenda kujipost?
Weka akiba ya maneno atatupia za kweli yupo downtowm manhattan sijui utajifichia wapi 😁Hahaha hana lolote, alivyo hana aibu ana reply tena badala ya kuvunga.
Siongei chochote sasahivi hadi kwapa limetakata.Jitahidi maana nitakuwa wakwanza kukusema.[emoji3]
Are u mentally sick ?vile watu wa kamati ya roho mbaya wanavyojipa kazi ya kum-google "Adelina Jackson Kimambo".
Hizo picha nimeziweSema mleta mada hajasema kama picha alizoambatanisha na uzi ni yeye
Katatue njaa huko kijiji kwenuSina haja ya kuonyesha ubora wangu kwako, sishindani na wewe. Nataka niwe Bora kuliko nilivyokuwa Jana. Ushindani wangu ni kati ya Mimi wa Jana na Mimi wa kesho
Andika kwa kiingereza nikujibuThe
Then nini shida? Wewe member wa zamani umeisaidia nini jamii yenu ikaondoka na baa la njaa?
Naunga mkono hoja dhahiri shairiAsipewe mwaliko huyu asije kumchakata bibi harusi haaminiki huyu
Sawa. Naenda kutatua njaa. Njaa ikitatuka itakuwa inafananaje sasa?Hizo picha nimeziwe
Katatue njaa huko kijiji kwenu
Hii ndio JF ninayeishi bongo inawezekana nikawa peke yangu wengine wote mliobaki makazi yenu ni manhattan na beverly hills[emoji23][emoji23][emoji23]Kwema?
Jamani hatimaye leo nimefunga ndoa na aliyekuwa mpenzi wangu wa zamani Adelina Jackson Kimambo pale kanisa la St. Joseph misouri Lutheran church.
Namshukuru jalali kiukweli ndugu sijaamini kabisa kumuoa hii pili kali kwanza yeye ni msomi na mtoto wa kitajiri wa kichaga wa familia ya mzee Kimambo pale Moshi mjini karibu na stendi kuu.
Ndoa yangu ilihudhuriwa na watu wachache sana kutokana na hofu ya ugonjwa wa korona.
Ndoa yangu ilihushuriwa pia na meya wa wa huu mji ninaoshi mie wa Missouri anayeutwa Josh Hawley, governor Mime Parson na attorney General Eric Shimitt na watu kemkem wa serikali ya state ya Missouri pamoja na waafrika wenzangu kama Ibrahim Onami wa minessora pia alikuja mr. Makulilo wa EBM.
Ndugu zangu nimeacha ubachela wewewe. Namshukuru mungu kwa hii hatua
Kesho tunaelekea Qatar kwa ajili ya ffungate na kuangalia mechi za world Cup angalia moja mbili tatu then we will came USA.
View attachment 2421169View attachment 2421171