Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Mbn mnaisema sana tandale yangu... Mtogole tanesco shule ..... Maeneo ya kujidai hayo 👊👊Fika Mtogole ulizia Msikiti wa Bi Mtumwa ukifika pale Msikitini ulizia Loliondo Hotel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbn mnaisema sana tandale yangu... Mtogole tanesco shule ..... Maeneo ya kujidai hayo 👊👊Fika Mtogole ulizia Msikiti wa Bi Mtumwa ukifika pale Msikitini ulizia Loliondo Hotel
Hii nchi kuna watu wana marundo asee halafu hawanaga keleleWanapaita half London. Ni hatari sana
Unataka kufananisha kibada na mbweni mkuu????Umeshafika Kigamboni Kibada?
Tatizo la huko ni Barabara za mitaa. Huko mbweni wamejenga kweli Barabara za mitaa na ni quality kuliko baadhi ya highways hapa Tanzania
Masaki and obay pamekua maeneo ya maofisi na syo ilvokua zaman......wengi wanaokaa mbweni walkaa huko zamanSema mwanangu zamani watu walikuwa wanapasifu obey, Masaki lakini sahv kuna hizi sehemu Tatu mbeleni, Goba, bonyokwa, Kigamboni kibada babu huku kuna Watu wananyanyua mijengo mzee siku s nyingi Masaki na obey patakuwa si dil tena
Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poaHuku kuna mijumba ya hela nyingi sana.
Hawa wamiliki ni Wabongo wenzetu? Hizi hela wanapata wapi?
Kunaa gari niliwahi kuliona nyuma limeandikwa “Popote Ulaya tatizo Pesa”
Visit Mbweni
Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poaTangu nianze kusikia mbweni sijawahi ona hata picha
Hivi mandhani kila mtu amefika mbweni
Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poaUmeshafika Kigamboni Kibada?
Upite na huku kwetu Manzese kwa Mfuga MbwaKweli tembea uone, itabidi niwe natoka huku kimbangulile niwe natembea tembea kidogo kusafisha macho alooo
🤣Obhebhe manyanza otena masala manzese ya hale gheteUpite na huku kwetu Manzese kwa Mfuga Mbwa
Nsughi o nvaaaa🤣Obhebhe manyanza otena masala manzese ya hale ghete
Hajafeli huyo mitaji yao mikubwa sio kama waha.Yeah, wako wengi sana... Ina na ingaunga mwana pia wapo. Kuna siku niligongewa mlango kutoka nakuta mhindi anauza vyombo na kukopesha kama waha wafanyanyo. Kimoyomoyo nikawa najiuliza huyu kanjibai yeye alifeli wapi?
Hii kinyerezi kama unaitafuta ulongoni A dah Kule ni ushuani kabisa😃😃😃
Kuna Kinyerezi mahali fulani jina limenitoka aisee, yaani kule Masaki/Oystebay ni uswazi tu
Sio mmoja tu!!!!!Nasikia mama nae ana mjengo wake hapo.
Watakuwa wabongo wenzetu, ila ni wezi tu hao.Huku kuna mijumba ya hela nyingi sana.
Hawa wamiliki ni Wabongo wenzetu? Hizi hela wanapata wapi?
Kunaa gari niliwahi kuliona nyuma limeandikwa “Popote Ulaya tatizo Pesa”
Visit Mbweni
Mmejilimbikizia mali sana huko mbweni ,mama kizimkazi naye kajenga ikulu huko mbweni ,jumba lake lipo kona ,serikali imepiga lami hadi mlangoni kwakwe ,hakai mtu lakini ulinzi wa hatari ,misuse of resources za umma maana wanaolinda pale ni wafanyakazi wa umma...Wamejenga lami kuanzia barabara ya kwanza hadi ya 6 maeneo ambayo bado hayajajengwa ,viwanja tengefu.Tatizo nini?
Duuh huo mjengo upo Gezaulole?Karibu pia Kigamboni Gezaulole na Kimbiji baharini huku kama alivyosema Mshana Jr hapo juu. Tanzania watu wanajenga nyumba nzuri sana siku hizi.
View attachment 3152485
View attachment 3152486
View attachment 3152487
Hizo sehemu ulizotaja sehemu kubwa hazijapiwa ,mbweni % kubwa imepimwa na huko kuna wanasiasa ,wafanyabiasha wakubwa na dayaspora wana mizigo ya hatari.Sema mwanangu zamani watu walikuwa wanapasifu obey, Masaki lakini sahv kuna hizi sehemu Tatu mbeleni, Goba, bonyokwa, Kigamboni kibada babu huku kuna Watu wananyanyua mijengo mzee siku s nyingi Masaki na obey patakuwa si dil tena