Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Hivi na wewe unaamini anachokifanya huyu Jamaa. Hivi uliamini kuhusu Membe na ACT, Hivi uliamini kuhusu Nyalandu. Kinachotengenezwa hapo ni kuonekane kuna mgogoro kati yake na chama halafu baadae atoke mumpokee huko kama shujaa. 2025 sio mbali.
Sasa nani akipokee kingedere hicho!
 
We kiroboto kaa KWA kutulia nyie mliua watu, militia watu vilema, mlifunga watu, mlipora uchaguzi leo unataka kutuambia nini we kiroboto
 
We jinga kwelikweli karne hii unamtambia nani juu ya elimu,elimu tanzania?kuna watu wana elimu kubwa kuliko huyo kiroboto wako na wapowapo tu kitaa,ashukuru tu huo upepo wa chama chakavu mafi ww
 
Sasa ni zamu ya polepole [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Fitna mbaya sana, hili genge la wahuni litakuja pasuka vipande vipande yani kila mtu atakaposikia masikio yake yatawasha.
 
"TCRA wanasema wamenipa leseni kwa ajili ya maudhui ya kipindi cha Papo kwa Hapo, wanahoji kwa nini ninafanya Shule ya Uongozi... hivi mimi nimekulipa milioni ile halafu unanipangia cha kuzungumza? naweza kuposti familia yangu au mbwa wangu, utaniuliza?" - Humphrey Polepole.

.…............
Chidi Benzi aliwahi kuwaasa viongozi kuwa waboreshe magereza maana hawajui kesho watakuwa wapi.
 
Polepole anawashwa sana,,,, watampoteza taratibu.

Au labda ni mkakati ili waje walete chama kingine
 
Huyo mbwa koko wakati wao alijiona kama dunia yote ni mali yao lakini toka alipofiwa na bwana ake amevurugwa.
 
Nimekuwa specific kwa ZZK, mara ngapi kazungumza hadharani na kukosoa uongozi wa awamu ya 5 na hakuwahi kutekwa au kuuwawa?

Na tukibaki kwenye muktadha wa Humphrey kukosoa mambo yasiyo sawa, kosa lake liko wapi?

Julius Nyerere alimkosoa mzee Ruksa mara kwa mara baada ya kustaafu. Nape akiwa katibu wa Itikadi na Unenezi amekuwa akisisitiza kuwa CCM kwa culture yao, kujikosoa ndio msingi na nguvu yao ndani ya CCM.

Awamu ya nne kulikuwa na kukosoana sana kati ya Spika Sitta dhidi ya watendaji wa serikali na chama. Na ikafikia wakati mmoja Spika Sitta akawa hapikiki chungu kimoja na Katibu Mkuu CCM- Mzee Makamba.

Humphrey bado hajafikia hata robo ya mtifuano wa hoja kati ya akina Sitta na ile kambi ya wapigaji enzi hizo, mpaka ikifikia Rostam kuachana na Ubunge na kujizuru kwa mfumo kama huu huu wa kukosoana. Labda umesahau hili na tukumbushane.
 
Ana mtaji wa watu, akianzisha chama wasanii wote maarufu na wasio maarufu kumfuata, Yanga yote kumfuata, Wasukuma wote 16% ya watu wote wa nchi kumfuata, vyama vidogovidogo kumfuata, kitabaki nini hapo?
 
Atajibiwa na CCM wenzie, Sisi tupo humu kumpaka Kama yeye alivyotusaliti na kuhamia huko kwenye karamu kisha kuanza kuturingishia viete....Kwa ufupi tunafurahia shida zake.
Posho na mshahara wa ubunge na kiinua mgongo cha baada ya miaka 5 kweli huyu mtu ana shida? Au sijaelewa ulitaka kusema shida aina gani. Ongeza na pesa walizopiga kwenye awamu ya tano!
 
Hukohuko ccm ndio aliondoka Lyatonga, akaondoka Maalim Seif, akaondoka Lowasa, Sumaye, akaondoka membe.....

Na kazi ikaendelea
EeeenHeeee!
Hivi hao waliondoka, au walichukua 'franchise' ya CCM na kuisambazanchi nzima.

Huoni wanaokataa kuwa kitawi cha CCM wanavyohangaishwa?
 
Posho na mshahara wa ubunge na kiinua mgongo cha baada ya miaka 5 kweli huyu mtu ana shida? Au sijaelewa ulitaka kusema shida aina gani. Ongeza na pesa walizopiga kwenye awamu ya tano!
Wee unaujua utamu wa cheo wewe? Kila unapopita watu wanakupapatikia, ubunge gani mbunge Hana hata Jimbo? Jimbo lake ni press conference kweli?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Halafu pesa pekee haitoshi Kwa mtu aliyekuwa na madaraka makubwa ya kuwatetemesha Hadi mawaziri.
 
Ujumbe nzuri siku zote huwa Nipo pamoja na watu wenye msimamo sichanjwa

Hawa TCRA wanatatizo gani kutaka kulazimisha kampeni za Chanjo.
 
Ila suala la Covid ni suala la majabali ya dunia, anatakiwa akokotoe hesabu zake vizuri vinginevyo watamshughulikia wenyewe kwa mbinu zao wazijuazo ikiwemo kupigwa marufuku kwenda nchi za majabali given kwamba hata yeye hajachanja.

Yeye saizi yake ni watu wa ndani ya nchi, kule nje siyo saizi yake. Watu wametoa ela zao zikatujengea shule na vituo vya afya nchi nzima ili wafanye biashara ya chanjo, barakoa na kits alafu utie mchanga kitumbua chao?? weweee..!! Jipange....

Tozo za miamala kwa ajili ya kujengea shule, vituo vya afya na maji zilikuwa zimetufarakanisha na serikali, wao wakatoa fungu kufanya kazi hizo alafu uwe na msimamo tofauti na wao....
 
Mkuu 'Freddie Matoja', sina hoja kinzani juu ya hao akina Zitto na wengine kuruhusiwa kufanya wanayofanya; ila nielewavyo mimi, Popole ni tofauti sana na hao wengine.
Kumbuka CCM wanavyojinadi kuwa na njia zao za kumaliza mambo ndani ya chama chao bila ya kuyapeleka nje ya chama. Popole bila shaka wanataka akazungumzie ndani ya chama ili waweze kummaliza kimya kimya huko huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…