Bila kumsahau na yule aliyepewa ukatibu mkuu kiongozi kwa mwezi mmoja akafurushwaHuyu ndiye alikua anaamua nani awe mbunge, kule kwetu japo mbunge wa Chadema alikua na nafasi kubwa lakini yule wa CCM aliyeshinda kura za maoni pia aliondolewa wakatuletea mbongo fleva.
Laana ndiyo sasa inawatafuna hawajui waongee kitu gani zaidi ya kuwa kama vichaa tuBaada ya uchaguzi kila alipopita kukiimarisha chama madiwani na wabunge waliunga mkono juhudi.
Imbomboo jhi ngafuuMambo ni mazito na kazi ni ngumu.
Hivi huyu ni yupi maana naona picha kama ime faint
Anaweza kwenda cufACT walikwenda na Membe. Umoja Party kauli mbiu "Hapa Kazi Tu."
Options zipo nyingi kuna TLP na kina Cheyo huko.
Ngoja tuone.
Nyie kila kitu mlionya mbona hamkumuonya mbowe na genge lake?Mzee wa Mavieite , tulimuonya sana kuhusu uharamia wa awamu ya 5 lakini akatupuuza
Kwa Humprey Polepole fanya kati ya haya yafuatayo ili uendelee kuheshimikaAngekuwa timamu angewachokoa Hadi wamvue uanachama Kama tu alivyoingia CCM Kwa kuletwa, angevizia wamfukuze...ingejenga heshima yake na kuonyesha yupo loyal....hivi anavyohangaika, tunamuona ni Kama mtu aliyedata baada ya maslahi yake kukatishwa.
Nani atamuamini tena mtu anayeweka mbele maslahi binafsi?
Polepole ni Mjane wa MaitiKwa taarifa yako Polepole ndio mpinzani pekee kuliko CDM
Naye anyamaze sasa tunafungua nchiHakusema wanyamaze milele, kumbuka hakuna kitu cha kudumu chini ya jua, kila kitu hubadilika
Kabla ya kuanzia pale aliposema wanyamaze nenda nyuma zaidi ukamjue Polepole vizuri
Fisadi mkubwa alipiga hela kwenye manunuzi ya wapinzani uchwara. Hapo alipo ni bilionea ndiyo maana haogopi hata kufukuzwa CCM. Ni mnafiki mbinafsi wa kiwango cha juu,hizo kelele zote ni kwa vile ameondolewa kwenye mfumo wa utawala.Kwa taarifa yako Polepole ndio mpinzani pekee kuliko CDM
RubbishNyie kila kitu mlionya mbona hamkumuonya mbowe na genge lake?
Yaani wewe akili zako buana.... umekariri demokrasia ni kitu kimoja tu[emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo kujiunga au kujiondoa kwenye chama sio demokrasia[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbowe hawezi kuonywa bali yeye ndiye anaye waonya viongozi wabovu waliotufikisha hapa tulipo kama nchi.Nyie kila kitu mlionya mbona hamkumuonya mbowe na genge lake?
Kinacho mtesa Polepole ni sumu ya maneno aliyopewa na jiwe kuwa kundi lao halina mtu wa kulipinga wala kulihoji.Kwa Humprey Polepole fanya kati ya haya yafuatayo ili uendelee kuheshimika
1. Rudi kwenye civil organizations as activist wa mambo ya utawala bora, na demokrasia
2. Baki kwenye CCM kama underground usiendelee kuwa vocal, ni wazi kuwa the current political regime utaisha na anaweza kuja kiongozi mwingine anamfikiria
3. Aende opposition physically and emotionally na wala asiende kwa kutega kama Lowasa, Sumaye wala Membe. Uzuri wa Humprey ana viakili kidogo
4. Aaachane na yote aende kwenye dini awe mchungaji
Hakusema wanyamaze milele, kumbuka hakuna kitu cha kudumu chini ya jua, kila kitu hubadilika
Kabla ya kuanzia pale aliposema wanyamaze nenda nyuma zaidi ukamjue Polepole vizuri
Itakua ni chawa alieshindwa kufa kwa sabuni..teh😅polepole ndio nani?
Tutafika tu, lakini tutakua tumechoka sana....Mambo ni mazito na kazi ni ngumu.