Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Inasemekana aliingia dosari wakati wa matembezi ya mshikamano kujenga jengo la chama Dodoma, kuna truck ya serikali ilionekana na building materials nyingi zikipelekwa alikozaliwa2) Rashid Kawawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana aliingia dosari wakati wa matembezi ya mshikamano kujenga jengo la chama Dodoma, kuna truck ya serikali ilionekana na building materials nyingi zikipelekwa alikozaliwa2) Rashid Kawawa
Inasemekana aliingia dosari wakati wa matembezi ya mshikamano kujenga jengo la chama Dodoma, kuna truck ya serikali ilionekana na building materials nyingi zikipelekwa alikozaliwa
Huyu hapaLakini mimi natazama hii kitu katika macho ya utofauti:
1. Polepole siyo muumini wa chanjo, ukifuatilia sheria za Malawi ili uweze kuingia ndani ya nchi hiyo kama ni mgeni unatakiwa uwe umechanjwa ndani ya saa 72 kabla ya kuingia nchini humo.
Unatakiwa kuwasilisha vielelezo vya majibu yako ya njia ya electronic, pia ukifika nao watatakiwa kukuchanja, lakini kama hutakuwa muumini wa kuchanja, unatakiwa kukaa karantini kwa muda wa siku 10 kabla ya kuruhusiwa kuingia na kuendelea na shughuli zao.
Swali, Polepole atakubali kuchanja na kubadili ule msimamo wake kwa kuwa tu amekuwa balozi? Au mimi sijui kuwa ukishakuwa balizi hadi kwenye ishu za afya unapewa kipaumbele cha kutokaguliwa kama umechanja au la?
2. Kwa kuwa alikuwa ameshaanza katabia ka kuwa mpinzani ndani ya mfumo, ni kama wamemuweka mbali ili wamfunge mdomo, kwani kwa levo ya ubalozi huwezi kumsikia akianza mambo yake yale ya WAHUNI au kuipinga Serikali ambayo imemteua.
3. Wanamseti, aende akawe balozi ili apotee kwenye siasa za Tanzania, kisha akiwa huko jamii ya Watanzania itapoteza kumbukumbu dhidi yake na baada ya muda anapigwa chini, kazi kwisha!
dalil za mgomo izoRais Samia Hassan Suluhu amewaapisha viongozi aliowateua jana Machi 14, 2022 akiwemo Humphrey Polepole, lakini wapo Ikulu na watu asilimia 99.9 wamevaa barakoa, isipokuwa Polepole.
Hii inamaanisha nini kwa Polepole kutovaa barakoa wakati watu wengine wote kwenye chumba cha Ikulu wamevaa? Ameshikilia msimamo wake wa kuwa haamini katika barakoa? Ikulu nayo imemuacha tu hivyohivyo? Unakaa karibu na Rais tena Ikulu hauvai barakoa?
Mama Samia kazungumza kwa ufupi lakini katika tukio hilo haya yeye amevaa barakoa lakini kasoro Polepole tu, hii inamaanisha nini wadau?
Uvaaji wa barakoa umepungua duniani kote. Chief Hangaya na wenzake wamekumbuka shuka kumekucha!Rais Samia Hassan Suluhu amewaapisha viongozi aliowateua jana Machi 14, 2022 akiwemo Humphrey Polepole, lakini wapo Ikulu na watu asilimia 99.9 wamevaa barakoa, isipokuwa Polepole.
Hii inamaanisha nini kwa Polepole kutovaa barakoa wakati watu wengine wote kwenye chumba cha Ikulu wamevaa? Ameshikilia msimamo wake wa kuwa haamini katika barakoa? Ikulu nayo imemuacha tu hivyohivyo? Unakaa karibu na Rais tena Ikulu hauvai barakoa?
Mama Samia kazungumza kwa ufupi lakini katika tukio hilo haya yeye amevaa barakoa lakini kasoro Polepole tu, hii inamaanisha nini wadau?
Jana tu ilikua kuvaa barakoa ni dhambi, leo ionekane nongwa kutovaa jamani?????Rais Samia Hassan Suluhu amewaapisha viongozi aliowateua jana Machi 14, 2022 akiwemo Humphrey Polepole, lakini wapo Ikulu na watu asilimia 99.9 wamevaa barakoa, isipokuwa Polepole.
Hii inamaanisha nini kwa Polepole kutovaa barakoa wakati watu wengine wote kwenye chumba cha Ikulu wamevaa? Ameshikilia msimamo wake wa kuwa haamini katika barakoa? Ikulu nayo imemuacha tu hivyohivyo? Unakaa karibu na Rais tena Ikulu hauvai barakoa?
Mama Samia kazungumza kwa ufupi lakini katika tukio hilo haya yeye amevaa barakoa lakini kasoro Polepole tu, hii inamaanisha nini wadau?
Na kuambukiza wengine UVIKO ni uhaini.Kuvaa barakoa ni hiari
dalil za mgomo izo
Ni moja wapo ya masharti ya mkopo wa Corona, kuitaja Corona popote unapopata nafasi za kuongea.Uvaaji wa barakoa umepungua duniani kote. Chief Hangaya na wenzake wamekumbuka shuka kumekucha!
Kwa nini mkuu?Kuvaa barakoa ni uwendawazimu.
Polepole ni samaki mbichi .... wasipomkunja mapema hatakunjika.Rais Samia Hassan Suluhu amewaapisha viongozi aliowateua jana Machi 14, 2022 akiwemo Humphrey Polepole, lakini wapo Ikulu na watu asilimia 99.9 wamevaa barakoa, isipokuwa Polepole.
Hii inamaanisha nini kwa Polepole kutovaa barakoa wakati watu wengine wote kwenye chumba cha Ikulu wamevaa? Ameshikilia msimamo wake wa kuwa haamini katika barakoa? Ikulu nayo imemuacha tu hivyohivyo? Unakaa karibu na Rais tena Ikulu hauvai barakoa?
Mama Samia kazungumza kwa ufupi lakini katika tukio hilo haya yeye amevaa barakoa lakini kasoro Polepole tu, hii inamaanisha nini wadau?
Anaimanisha msimamo wake kwamba Corona ni ugonjwa wa kawaida kama magonjwa mengine. Kwa hiyo hakuhitaji nguvu kubwa ya kuuhami ugonjwa huo. Kwani Mama Samia enzi za JPM akiwa makamu wa Rais alikuwa akivaa barokoa katika shughuli kama hizo za Ikulu? Kuna jambo hapo naweka na alama ya kushangaa !!!Rais Samia Hassan Suluhu amewaapisha viongozi aliowateua jana Machi 14, 2022 akiwemo Humphrey Polepole, lakini wapo Ikulu na watu asilimia 99.9 wamevaa barakoa, isipokuwa Polepole.
Hii inamaanisha nini kwa Polepole kutovaa barakoa wakati watu wengine wote kwenye chumba cha Ikulu wamevaa? Ameshikilia msimamo wake wa kuwa haamini katika barakoa? Ikulu nayo imemuacha tu hivyohivyo? Unakaa karibu na Rais tena Ikulu hauvai barakoa?
Mama Samia kazungumza kwa ufupi lakini katika tukio hilo haya yeye amevaa barakoa lakini kasoro Polepole tu, hii inamaanisha nini wadau?
Ana ujasiri. Unajua ana maana gani. Wacha stori za kuchagizana.Rais Samia Hassan Suluhu amewaapisha viongozi aliowateua jana Machi 14, 2022 akiwemo Humphrey Polepole, lakini wapo Ikulu na watu asilimia 99.9 wamevaa barakoa, isipokuwa Polepole.
Hii inamaanisha nini kwa Polepole kutovaa barakoa wakati watu wengine wote kwenye chumba cha Ikulu wamevaa? Ameshikilia msimamo wake wa kuwa haamini katika barakoa? Ikulu nayo imemuacha tu hivyohivyo? Unakaa karibu na Rais tena Ikulu hauvai barakoa?
Mama Samia kazungumza kwa ufupi lakini katika tukio hilo haya yeye amevaa barakoa lakini kasoro Polepole tu, hii inamaanisha nini wadau?