Huu haukuwa muda muafaka wa Rais Samia kutembelea Marekani: Amejiweka kwenye Shinikizo la kulazimishwa kuilaani Urusi

Huu haukuwa muda muafaka wa Rais Samia kutembelea Marekani: Amejiweka kwenye Shinikizo la kulazimishwa kuilaani Urusi

Sipo kusapoti utegemez!! Napinga pale mtu anakuja na kualaum viongoz kwenda nje na kuomba msaada, kwasaab huu ni utegemez umewekewa mizizi tang enzi za mwalimu. Kama Taifa kwa watawala hawana dira ya Taifa kutuondoa taratibu kweny huu utegemez, so huez laumu wa sasa kwann aende nje kuomba msaada! Hata kipind cha Mwendazake staili ile ya kupiga vita wazungu haikupaswa. Ilitakiwa aweke misingi kimya kimya ya kuja kuondoa utegemez lkn haitakua haraka na rahisi tu, utawala tang enzi ulipaswa uweke misingi ya muda mref ya kujikwamua na utegemez.

Nakubaliana nawe kuwa UTEGEMEZI ni hulka ya viongozi wengi wa nchi maskini. Ni utegemezi ambao umeasisiwa na Wakoloni na unaendelezwa katika ukoloni mamboleo, kwa Sera za Biashara Huria na Utandawazi.

Sikubaliani na wewe kuhusu alichofanya Mwendazake kuwa ilitakiwa aweke misingi kimya kimya ya kuja kuondoa utegemezi. Miradi ya kimkakati na ujenzi wa miundombinu ya usafiri wa ardhini, maji na angani, aliyosimamia ni nguzo kuu ya kuchochea ukuaji wa uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa. Kwa mfano barabara bora na imara zinamwezesha mkulima, mvuvi, mwenye kiwanda na mfanya biashara kusafirisha mazao/bidhaa kwa haraka na gharama nafuu. Pia kuwepo kwa barabara bora na imara kunapanua soko la mazao/bidhaa. HUO NDIO MSINGI WA KUJITEGEMEA
 
Mkuu umeongea vizuri sana, hongera.Ila naomba niseme yafuatayo:
1.Samia waliompa ajira kabla hajaingia kwenye siasa ni akina Bill Gates a.k.a mabeberu.Leo atawezaje ku-stand against them,haiwezekani,ni lazima alipe fadhila.
2.Samia ni mwanamke,essentially she is a weaker sex compared to man,you know it, I know it,hata kama utakataa. Satan knows it too,na ndio maana he is forcing through his 50/50 agenda.Anajua Woman are easily manipulated than men and so he knows with Women in power his agenda will pass through.Having said that,I am sure the outcome of her Washington trip is obvious,and that is she will not be able to stand against the wishes of the American Government,which is infact Satans' right hand arm.

Finally,why make the trip at this very critical moment.Whether she has been invited by Washington or an in-house arrangement by the Tanzanian Goverment,whatever the case may be,this is a gross miscalculation on her part and the GoT.
She's the Radical Feminist Pundit infuenced by the American Radical Feminist Pundit from the start and she's is now applying the Platform of action and the Beijing Declaration of 1995. Alivunja hata mwiko kwa kumchagua mwanamke kuwa waziri wa ulinzi-maajabu haya. Huko nje wanamsifia sana huyu mama.
 
Nakubaliana nawe kuwa UTEGEMEZI ni hulka ya viongozi wengi wa nchi maskini. Ni utegemezi ambao umeasisiwa na Wakoloni na unaendelezwa katika ukoloni mamboleo, kwa Sera za Biashara Huria na Utandawazi.

Sikubaliani na wewe kuhusu alichofanya Mwendazake kuwa ilitakiwa aweke misingi kimya kimya ya kuja kuondoa utegemezi. Miradi ya kimkakati na ujenzi wa miundombinu ya usafiri wa ardhini, maji na angani, aliyosimamia ni nguzo kuu ya kuchochea ukuaji wa uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa. Kwa mfano barabara bora na imara zinamwezesha mkulima, mvuvi, mwenye kiwanda na mfanya biashara kusafirisha mazao/bidhaa kwa haraka na gharama nafuu. Pia kuwepo kwa barabara bora na imara kunapanua soko la mazao/bidhaa. HUO NDIO MSINGI WA KUJITEGEMEA
Naona ume mention vitu viingi ambavyo mimi sijapinga!! Mimi nimezungumzia namna ya kudil na wazungu kimya na sio kujitapa mara cjui mabeberu mara cjui wezi wa rasilimali. Hao jamaa ili ujipange sawa lazima uwe mnafiki kwao ili ukamilishe lengo lako. Lkn ukijifanya unashindana nao theoretically na practically watakumaliza.
 
Hii nchi imeanza kusaidiwa leo!? bongolala imesaidiwa miaka nenda rudi na nchi za ulaya ikiwemo nchi za scandnavia, ujerumani na uingereza, hapo hujaongelea marekani......ingekuwa ni nchi ya kuendelea isingekuwa hapa leo......ni kama watoa misaada walishajikatia tamaa, maana ni sawa na kuweka maji kwenye tenga.
Ndo maan nimemjibu jamaa haiwezekan tulete unafiki kweny mamb ya kwel kiuhalisia ili tu kujiridhisha tunaweza kujitegemea!! Ndo ile kauli ya Mwalimu Nyerere alisema... Hatuwez kutatua tatizo kwa kudhani halipo.
 
Kwani kama Tanzania ikiilaani Urusi, hiyo laana yake inaweza kusaidia nini
 
She's the Radical Feminist Pundit infuenced by the American Radical Feminist Pundit from the start and she's is now applying the Platform of action and the Beijing Declaration of 1995. Alivunja hata mwiko kwa kumchagua mwanamke kuwa waziri wa ulinzi-maajabu haya. Huko nje wanamsifia sana huyu mama.
Feminism is a disguised satanic agenda iliyojificha kwenye kinachoitwa haki na usawa......
 
Nasubiria Boko lingine la mama akiwa USA. Sijui safari hii atatoa Boko Gani Mungu wangu tusubirie
 
Wasaidizi wa Rais Samia Suluhu Hassan wametenda kosa kubwa sana kwa kutokumshauri Rais kuwa huu haukuwa muda muafaka wa yeye kutembelea Marekani.

Marekani Ina hasira na Nchi nyingi duniani kwa kutokuiunga mkono katika harakati zake za kuitenga Urusi katika jamii ya kimataifa. Tanzania tumeamua kuwa neutral/kutokuwa na upande katika mzozo wa Urusi na Ukraine.

Kwa Marekani ukiamua kutokuwa na upande unahesabika kuwa uko upande wa Urusi, na inafanya Kila jitihada kuyatisha mataifa yenye msimamo huo Ili yailaani Urusi! Kwa hiyo ukiandaa mazingira ya kukutana na Marekani kwa Sasa lazima ikushinikize kuilaani Urusi.

Sidhani Kama mama atakuwa na ubavu wa kuhimili shinikizo la Marekani katika jambo hili. Anaweza kujikuta amesema jambo ambalo hakutegemea akiwa chini ya shinikizo. Sidhani kama ataweza kuhimili Kama India na Afrika ya kusini zilivyoweza kuhimili.

Afrika hatuwezi kulaani Nchi ya Urusi iliyokuwa mstari wa mbele Sana kwenye harakati za upatikanaji wa uhuru kusini mwa afrika-(Zimbambwe, Msumbiji, Botswana, Angola, Namibia na Afrika ya kusini).

Wakati huo wapigania uhuru akiwemo Mandera walikuwa wanaitwa magaidi na Marekani!! Chonde chonde Samia Mungu akutie nguvu uwatolee nje mabeberu huko Marekani!
Russia ni yakulaaniwa kabisa!
 
sio rahisi Rais kutoka huku, akakutana na rais au m/rais wa marekani bila kuwa umekaribishwa, huyu anaenda kukata mitaa na kusafisha macho. I am sceptic hajakaribishwa kaenda to attend personal matters.
 
Siasa ya Mambo ya Nje ya Tanzania ktk migogoro ya Mataifa makubwa inajulikana; ni kutofungama na upande wowote. Ilikuwa hivi tangu enzi za Mwalimu akiwa Rais na hata mgogoro wa Urusi vs Ukraine, siasa ni hiyo (NaM) na msimamo ulishatolewa.

Mwalimu Nyerere alikuwa ni Mjamaa hasa na hata Vita Baridi ilipokuwa ktk pick bado alikuwa ni rafiki wa mabepari na wajamaa. Misaada ya SIDA, DANIDA, KONOIKE nk na bado alikuwa ni rafiki wa Kennedy.

Na alisafiri hadi Marekani akapewa heshima kubwa kitaifa na JF Kennedy! What's is the issue kwa Rais Samia? Pia, ziara ya Rais siamini kama inapangwa tu ghafla kama unavyoweza kutoka Msamvu, Moro kuja kwa ankali wako Tandale, Dar! Inawezekana ilipangwa hata kabla ya moto hapo Ukraine. #Tuamini nchi inaongozwa na system makini, Tanzania ni Taifa Imara na linalojua lilkotoka, lilipo na linakoelekea.🙏🙏🙏
 
Dunia kote kuna matatizo, is Biden really interested in meeting her? Where is the free money. Nchi haiendelei kwa mikopo na misaada, poor thinking.
Very poor and mediocre thinking indeed.Very typical of Tanzanians.
 
Kwani Mama atakutana na Babu Lao Biden mana lile Babu linalopoka chochote tu...
 
Hatufungamani na upande wowote Marekani ni mshirika wetu wa karibu na Urusi pia,ukizingatia katika kura za Umoja wa mataifa hatujamuangusha Urusi pia tunawatembelea Wamarekani kuonesha tuko na ushirikiano nao pia.
Ni ziara sahihi na wakati sahihi.
 
Mama amefanya sahihi. Once again mama amefanya the right choice.Hivi nani atakubali kumkumbatia war criminal, genocide suspect Putin. Kazi iendelee.
 
Halafu sijui huko atapokelewa na nani pale airport! Maana kiprotocol ni Rais hupokelewa na Rais!
Hizo itifaki zipo kwenu. Sina hakika kama atapata hata nafasi kuonana na Biden japo dakika 2.

Biden ana pressing issues hasa kipindi hiki cha vita na mfumko wa bei nchini kwake, apate muda wa kupoteza eti anampokea samia?!

Try to be serious.
 
Back
Top Bottom