Niamini Mimi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2023
- 270
- 412
Astaghfirullah mi
Quran na Hadith za mtumie ni vitu constant,havibadiliki kulingana na mazingira,na jamaa katumia neno Mungu humo kuonesha ni msimamo wa aina Gani,nadhani Yuko sahihi,tofauti na hapo atakua kama nabii Tito huku bongo.Muktadha, muktadha, muktadha
Hiyo kauli ilisemwa na nani, wapi na kwanini?
Usikute ni muislamu wa Iran huyo, waislamu wa huko wanawatafsiri wanawake kitofauti, sasa utawapakazia waislamu wote