Hakuna haja ya kuwaelewesha , ukiweza kujenga uchumi wako kwa watu walioamua kuwa wapumbavu jenga tu mkuu , kuna rafiki yangu mmoja nae anayabamiza kweli kweli .Makofi ya upako watayapokea tu kwani shillings ngapi na watayalipia hata akisema shillings ngapi
Na hapo wamesafiri toka pande zote za nchi, ila kwenye msafara wa mamba na mijusi wamo
Anayapiga haswa yanajileta yenyewe yeye anayabamiza na kuyapigizaHakuna haja ya kuwaelewesha , ukiweza kujenga uchumi wako kwa watu walioamua kuwa wapumbavu jenga tu mkuu , kuna rafiki yangu mmoja nae anayabamiza kweli kweli .
Ngoma hii hii Ngoma km Ngoma Grid ya Taifa au Ngoma ya Sikio?Amesema adi ngoma watu wanapona kwa kula keki ya upako
Ndio waonyeshwe sasa Hawa waelewe Nini maana yake kwamba hakuna miujiza fanya kaziChina mfano mzur sana, wanapiga kazi sana sana mtu kama anataka kusali anaingia zake mwenyewe kwenye temple anaomba, anatoka hakuna sjui mkusamyiko, sjui mafuta,
Yan ikibidi yauzie mpka mkojo , bamiza kisawasawa yaachie tu uhai ili kesho uyabamize tena .Anayapiga haswa yanajileta yenyewe yeye anayabamiza na kuyapigiza
Kuamini kwako kuna Mungu wala hakuthibitishi uwepo wa huyo Mungu.Mkuu kwa point yako unataka kupinga kuwa hakuna Mungu? by the way bado nitaendelea kusimama na point yangu ikiwa utaamin yote yanawezekana kwa Mungu ata hao uliosema wanaweza ponywa pia
Sio Mchezo 😂Yan ikibidi yauzie mpka mkojo , bamiza kisasawa yaachie tu uhai ili kesho uyabamize tena .
Au Mungu anawasaidia?Upo sahihi sana.
Japan, China, Korea hawana dini na wapo mbali sana kimaendeleo, Kisayansi na Kiteknolojia
Mkuu utatumia energy yako bure , ni bora tuunde genge la kuwabamiza mpaka akili ziwakae sawa.Kuamini kwako kuna Mungu wala hakuthibitishi uwepo wa huyo Mungu.
Ni imani yako tu, Na msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.
Hukatazwi kuwa na imani yako ila Ukianza kudai imani yako ina ukweli lazima uthibitishe hilo.
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Utasikia full houseKwenye derby ya kariakoo hutasikia wakilalamika watu kujaa.
Hatuthibitishi kama Mungu yupo kwako aya fanya unalotaka kufanyaKuamini kwako kuna Mungu wala hakuthibitishi uwepo wa huyo Mungu.
Ni imani yako tu, Na msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.
Hukatazwi kuwa na imani yako ila Ukianza kudai imani yako ina ukweli lazima uthibitishe hilo.
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Basi huyo Mungu ni mjinga sana na mkatili.Wengine wamefanywa wawe hivyo ili utukufu wa Mungu udhihirike,
Kuna walemavu na wagonjwa wengi sana wenye imani kubwa sana na huyo Mungu na bado wamebaki na ulemavu wao.wengine ni kwa sababu ya ukosefu wa Imani kwani ukimuacha Mungu nae anakuacha.
Nakwambia hivi, Huyo Mungu hajawahi kuwepo hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.Bila Imani hakuna uponyaji.
Imani ni ufunguo wa nafsi kwa kuiruhusu nguvu ya Mungu ilete matokeo ndani mwako.
Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe.Hatuthibitishi kama Mungu yupo kwako aya fanya unalotaka kufanya
Kiwango cha matatizo na kutokuwa na elimu ya utatuzi ndio chanzo cha watu kwenda kutafuta usaidizi nje kwa waganga, mitume na manabii wa uongo,kwa mwenye maarifa na ufahamu hakuna tatizo jipya chini ya juaKuna binamu wangu fulani
Niliwahi kumwambia hayo mambo ya mwaposa mbona kama ni ujinga ujinga ila alichonijibu nikaona bora ninyamaze maana
Alisema hivi
""Binamu hayajakukuta kuna mda yakikukuta unaona kabisa no matter what mungu ni mmoja tuu ujari kama ww ni islam au nani unajikuta unaenda tu kutokana na mambo kua different ""
Ila nikaja notice wadada wana shida tuu natural mi sijawahi elewa haya mambo
Hata nikipata demu akiwa na chembe chembe za mwamposa huwa namkacha mapema..
Mana kuna mmoja huyo an ilikua mda wote arise and shine hakuna channel nyingine.
Plas kumwaga mwaga maji ndani mara mafuta mara chumvi...
Kweli mkuu ujinga na umaskini ni adui mkubwa sana
Mbona watu wanajaa viwanjani karibia kila weekend, wanajaa kwenye nyumba za starehe, kwenye concert venue mbona huwaga hamlalamikiChina mfano mzur sana, wanapiga kazi sana sana mtu kama anataka kusali anaingia zake mwenyewe kwenye temple anaomba, anatoka hakuna sjui mkusamyiko, sjui mafuta,
Wewe unamiini hayupo endelea kuamini kwani umeshikiwa fimbo uaminiMnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe.
mazuzu yakiwa tayari kudanganywa, kuibiwa na kutapeliwa kisha wanaandelea kuwa masikini na kuchukia wenye hela