Huu Utitiri wa Maofisa wa Serikali kwenda Hanang, Wanaenda Kufanya Uokoaji au Kuonekana?

Huu Utitiri wa Maofisa wa Serikali kwenda Hanang, Wanaenda Kufanya Uokoaji au Kuonekana?

Wengi wenu hampajui hanang' na hamjawahi kufika huko katesh ndio maana mnaropoka baada ya kushiba kande zenu!! Yaani mnataka viongozi wa dola wapande daladala iwapitishe ktk milima ya mbulu hivi mko sawa kweli?
Kwamba wanapitia Mbulu ndo waende katesh au sijaelewa mantiki yako? Unatetea mitumbo yenu tu,, milima ya mbulu haihusiki na kufika katesh ikiwa wanatokea Arusha watapita babati, Dodoma watapita babati au vumbi kondoa, au Singida
 
Wengi wenu hampajui hanang' na hamjawahi kufika huko katesh ndio maana mnaropoka baada ya kushiba kande zenu!! Yaani mnataka viongozi wa dola wapande daladala iwapitishe ktk milima ya mbulu hivi mko sawa kweli?
Unatia aibu kwa tetea jiografia usiyoijua. Kwa taarifa hapo katesh ni lami kuelekea singida toka babati. Yaani unatia kinyaa. Hata kama ni milima huo ndio uhalisia, au hao viongozi majizi ya kura unaona miungu watu? 🌈 mkubwa ww.
 
Wadau nimetizama msafara wa Mawaziri, Manaibu, Makatibu wakuu, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, wakuu wa mikoa mbalimbali, wakuu wa wilaya mkoa Manyara na wengine wengi.

Ni kufuru mav8 yote hayo wakati wangeweza kupanda luxury bus Moja ama mbili the rest wakasaidia wahanga.

Mungu turehemu waja wako. Tanzania bila CCM inawezekana.
Wanaenda kupiga Self na wahanga.


Ccm ni zaidi ya uijuavyo
 
Hiyo misafara ya viongozi wanasiasa kwenye janga kubwa kiasi hicho ambalo bado ni LIVE ni kipaumbele cha ovyo na cha kikatili. Uwepo wao unakuwa mzigo tu kwa wahanga na taifa badala ya kuwa msaada.

Sura ya mwanzo kabisa ya serikali iliyotakiwa kuanza kuonekana hapo ni timu za vikosi vya uokozi vikiwa na vifaa vya uhakika pamoja na timu za huduma na misaada kwa wahanga. Viongozi wakubwa wachache wangetakiwa kuwepo kuhamasisha na kutoa taarifa kwa wananchi. Na wangekuwa kikazi zaidi kwa muonekano na mwenendo.

Hiyo itawapa matumaini watanzania kuwa wana serikali na viongozi wanaojali kweli kweli walio tayari kuonyesha umahiri katika kuwatumikia. Sio watu wa propaganda tu na ile mikogo na mbwembwe za barabarani.
 
Najua ulitamani watembee kwa miguu - mbn wewe unatembelea gari wkt baba yako hata pikipiki hana!

Yaani bado uko ktk dunia inayoini kuwa gari ni ufahari?
 
Hizo posho utashangaaaa wanajiita washauri ......wa majamanga
Mzee wa mama Tanzania my bro Mbatia upo kimya sana njoo Katesh mzee wa majanga udsm ulikuwa mbele yangu sana karibu tushauriane
 
Hat
We maku ya kahaba mstaafu mlaumu baba yako kwann hakutafuta pesa kabla ya kuzaa mbulula kama ww matokeo yake unakuja kujaza servers za JF kulalamikia baba wa wenzako waliotusua kimaisha. Punda ww
Hatubishani na wajinga
 
Tanzania bila CCM inawezekana.
Hapa inabidi tumsaidie yule member aliyesema anatafuta mganga wa kuitoa ccm. Maombi kwa Mungu peke yake hatutoboi...labda na waganga wa jadi, wachawi, wanga nao wasaidie

kimsboy umefanikiwa ule mchongo wako wa kupata mganga wa kuing'oa ccm?
 
Utakuta gharama za kwenda na hiyo misafara ni kubwa kuliko thamani ya misaada inayotolewa
 
Wadau nimetizama msafara wa Mawaziri, Manaibu, Makatibu wakuu, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, wakuu wa mikoa mbalimbali, wakuu wa wilaya mkoa Manyara na wengine wengi.

Ni kufuru mav8 yote hayo wakati wangeweza kupanda luxury bus Moja ama mbili the rest wakasaidia wahanga.

Mungu turehemu waja wako. Tanzania bila CCM inawezekana.
Mungu akurehemu kwani umekufa. Nyumbu aisee
 
Hapa inabidi tumsaidie yule member aliyema anatafuta mganga wa kuitoa ccm. Kwa maombi kwa Mungu peke yake hatutoboi...labda na waganga wa jadi, wachawi, wanga nao wasaidie
Cc mshana Jr ,buji Simba mwanaume
 
Wadau nimetizama msafara wa Mawaziri, Manaibu, Makatibu wakuu, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, wakuu wa mikoa mbalimbali, wakuu wa wilaya mkoa Manyara na wengine wengi.

Ni kufuru mav8 yote hayo wakati wangeweza kupanda luxury bus Moja ama mbili the rest wakasaidia wahanga.

Mungu turehemu waja wako. Tanzania bila CCM inawezekana.
Tanzania yetu......
 
Ni kweli chopa Moja ingetosha kumzungusha waziri mkuu na timu ya wataalam,sio zote tatu at pa,what for?
Daah unaona chopa ni kitu muhimu sana kuliko uhai wa binadamu kama watatumia chopa hata kumi kama zinatumika kwenye uokoaji ni sawa tu..
 
Back
Top Bottom