Huyu kijana Amedhalilika sana

Deborah mwenyewe hata hashtuki kashazoea mambo hayo
 
Dah!!πŸ˜…
Mdogo wangu huyo Bwana harusi na kwenye harusi nilikuwepo

Jamiiforum bhanaπŸ˜…
 
Vijana nawaambia ukweli mshikaj amepata mke na amepata maisha ya uhakika... Sikuhizi mwanaume ni marufuku kuoa mwanamke masikini hajiwez... Angalieni fursa na mzitumie... Huko ndani ya ndoa mtajuana wenyew kama mnalala mzungu wa nne au hamueshimiani cha muhimu umepata maisha hufi masikini
 
Umechemka lugha aliyotumia mzazi SI ya kiungwana, Kwanini asingesema nimewapa, hao ni mwili mmoja na Mali ziwe zao sio zake. Mc nae hajamtendea haki kijana
 
Ukiangalia hiyo video mara mbili mbili kuna kitu kingine utagunduaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Eniweiz ni mambo yao hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…