Huyu kijana Amedhalilika sana

Huyu kijana Amedhalilika sana

Dah!!😅
Mdogo wangu huyo Bwana harusi na kwenye harusi nilikuwepo

Jamiiforum bhana😅
 
Vijana nawaambia ukweli mshikaj amepata mke na amepata maisha ya uhakika... Sikuhizi mwanaume ni marufuku kuoa mwanamke masikini hajiwez... Angalieni fursa na mzitumie... Huko ndani ya ndoa mtajuana wenyew kama mnalala mzungu wa nne au hamueshimiani cha muhimu umepata maisha hufi masikini
 
Sioni tatizo hapo labda wachangiaji wengi humu ndani wanamentality za kimasikini waazazi wa bi harusi wamefurahi mtoto wao kuolewa na kwa kuwa wanamali nyingi wamempa kama zawadi baadhi ya mali sasa hapo shida kwa bwana harusi ipo wapi..?
maana mali ni za debora na amepewa na wazazi wake..

Ningekuwa mimi ningeomba mike kabisa ni weke sawa hali ya hewa ningewaambia wazazi wa mke wangu asanteni sana kwa kumpa debora zawadi mimi nitamsaidia kuzitunza na kuziongeza zaidi ili debora na watoto wetu wawe na mali nyingi zaidi.
Umechemka lugha aliyotumia mzazi SI ya kiungwana, Kwanini asingesema nimewapa, hao ni mwili mmoja na Mali ziwe zao sio zake. Mc nae hajamtendea haki kijana
 
Ukiangalia hiyo video mara mbili mbili kuna kitu kingine utagundua😂😂😂😂

Eniweiz ni mambo yao hayo
 
Back
Top Bottom