Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Mtu kufa haimaanishi taarifa zimepotea, saa hizi kuna watu wapo kazini watajua mambo yake mpaka ambayo yeye hakuwahi kuyajua
mkuu izo mambo wanaweza CIA sio polisi wa sirro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu kufa haimaanishi taarifa zimepotea, saa hizi kuna watu wapo kazini watajua mambo yake mpaka ambayo yeye hakuwahi kuyajua
Taarifa zake zitapatikana tu. vitambilisho na biometric vitaelezea ni nani na anakaa wapi na watu wake wa karibu ndugu jamaa ni kina nani na hao ndio watatoa picha.....Wamemuua kifo chepesi sana huyu bwana walitakiwa wamkamate akiwa hai wapate taarifa kutoka kwake kupeleleza anaishi wapi ndugu jamaa na maraiki asingetia ushirikiano wanammaliza huko huko tunapewa taarifa kauawa akipatiwa matibabu. 24 season iliniharibu saba😂😂😂
Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
- Ni nani?
- Katumwa na nani?
- Yuko na akina nani (wako wangapi)?
- Nini dhamira yao?
- Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
Sasa ivi msafara ukipita utakuwa unasimama kila Kona kuuulizia oya masela vip? Pako shwariAlikuwa anasubiri msafara ukageuza baada ya raia mwema kutoa taarifa..
Sikiliza hapa raia akitoa maelezo ikabidi msafara urudi.
Naomba niishie hapoView attachment 1907822
Hmm…..we Mama D, ya kweli hayo?Chadema waongee wenyewe hapa
View attachment 1908069
Leo nimekudharau sana sikuwahi kujua kama na ww unaakili mgango kama hizi acha ushabiki wa kipumbavu we Mama linda heshima yako hata hiyo kidogo uliyonayo.Chadema waongee wenyewe hapa
View attachment 1908069
Taarifa zinapatikana tu ukiwa umekufa au hai tuwaachie polisi wafanye kazi yaoNafuu upoteze hata asikari 20 lakini mmtie nguvuni mhalifu mtapata taarifa zake muhimu,kwani wsngempiga hata mguu yote ingekuwaje?
Na mimi nimeshtuka, wenyewe watoe maelezoHmm…..we Mama D, ya kweli hayo?
Polisi wetu wana uoga fulani hivi. Najua ni vigumu wewe kuelewa hivyo kila mtu abaki na maoni yake.
Wameshindwa kumdunga hata sindano ya mbali? Hatuna walenga shabaa
Leo nimekudharau sana sikuwahi kujua kama na ww unaakili mgango kama hizi acha ushabiki wa kipumbavu we Mama linda heshima yako hata hiyo kidogo uliyonayo.
Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
- Ni nani?
- Katumwa na nani?
- Yuko na akina nani (wako wangapi)?
- Nini dhamira yao?
- Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??a
Watu wanakuwa wameua watu mia moja na wanakamatika ije kuwa huyo? Lack of exposure inakusumbua plus elimu ya kukariri. Magaidi wangekuwa wanaua hivyo unadhani info za mitandao yao zingejulikana?kuna tafauti kati ya kujihami na kuogopa, mtu mwenyewe ni mlevi na ashapunguza roho mbili unategemea nn? hamna maoni ya maaana uliyonayo, kila kitu mnaweza siasa!
Hiyo ni rule of engagement na stress of management ndo iliyotumika.
Ila kwa vile mtu alikuwa peke yake na yupo katika eneo la hatari hata kama angeuu 10 huyo kwa jeshi la polisi ingekua assert nzuri ya kuchukua primary information.
Huenda anawenzake ambao wanakuja kuhatarisha maisha ya mamia ya watu .
Hii ndo unaona kuna haja ya kuwa na jeshi la polisi la watu wasomi sio kuanzia four ya 28 hadi 32
Huyu alitakiwa awe na cover toka kwa wenzake lakini ni udhaifu mwingine umeonekana anamsogelea mhalifu bila cover.Kuna polisi alitaka akamkamatie mle kibandani akala ya paja yeye mwenyewe kakimbia hadi kaenda kudondokea kule getini
Exposure gan ulionayo? nini cha maaana unacho kwenye hio exposure yako?Watu wanakuwa wameua watu mia moja na wanakamatika ije kuwa huyo? Lack of exposure inakusumbua plus elimu ya kukariri. Magaidi wangekuwa wanaua hivyo unadhani info za mitandao yao zingejulikana?