Huyu Wenje mbona anazidi kumuharibia Mbowe, kama amechangia 250M Mkutano Mkuu wa Taifa nani amechangia mikutano mikuu 64,000 ya misingi nchi nzima?

Huyu Wenje mbona anazidi kumuharibia Mbowe, kama amechangia 250M Mkutano Mkuu wa Taifa nani amechangia mikutano mikuu 64,000 ya misingi nchi nzima?

View attachment 3189332
Kamanda Wenje mbona unazidi kumuanika na kumuharibia kabisa kamanda Mbowe,

Umesema CHADEMA hatuna pesa ni kweli hatuna lakini kwanini hatuna pesa?Jibu wahisani hawamwamini tena Mbowe.

Naomba unijubu maswali haya,

1. Je, mikutano mikuu yote ya misingi zaidi ya 64,274 nchi nzima ni Mbowe katoa pesa zake?

2. Je, mikutano mikuu yote ya matawi zaidi 16,602 ni Mbowe ametoa pesa zake?

3. Je, mikutano mikuu yote ya kata zaidi ya 3,956 ni Mbowe katoa Pesa zake?

4. Je, mikutano mikuu ya majimbo yote 264 katoa pesa Mbowe?

5. Je, mikutano mikuu ya Mikoa yote 31 ni Mbowe katoa Pesa zake?

6. Je, mikutano mikuu yote 10 ya Kanda za Chama ni Mbowe katoa Pesa zake?

7. Sasa Wenje, kama hawa wanachama waliogharamia mikutano mikuu yao yote tangu misingi mpaka Kanda wanashindwaje kujigharamia kwenye mkutano Mkuu wao huu maalum mmoja tu wa Taifa?

Mwisho, Mkutano Mkuu wa mwaka 2019 Mbowe aliichangia kiasi gani mbona hujasema??!!

Mbowe kwanini hakuchangia 2019 achangie 2024?!!

Hii TZS250M ni rushwa toka CCM


Hakuna namna Mbowe ataendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA


Nadhani hujamsikiliza vizuri. Punguza mihemko usikilize tena utaelewa amesema nini
 
Machawa mnatetea ugali wenu.
Awamu hii mbowe atabaki na nyie machawa tu. Chama lazima kipate mawazo mapya na mbadala.
hakuna anaebisha kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kua mwenyekiti wa Chadema mitandaoni,

Lakini ile chadema Taifa ya ufipa na hapo mikocheni, wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa wameamua Freeman Aikaeli Mbowe, mwamba wa kaskazini aendelee kua mwenyekiti Taifa 🐒
 
TatiZo mlilonalo ninyi mashabiki wa lissu nikwamba mmelishwa tangoopri na lissu kwahiyo mmekuwa vipofu atamkiambiwa ukweli amtaki kuamini ukweli mmebaki naushabiki ambao hautawasaidia Wala lissu aitamsaidia
 
tangu lini mbowe akachangia chama..tunaambiwa humu mbowe kuwa anakikopesha chama mfano million 300 alafu anakuja kulipwa kwa riba na kwa vile yeye ndio kashika hatamu anaweza kuchelewesha chama kulipa deni ili riba iongezeke kidogo apate faida kubwa zaidi.!
 
View attachment 3189332
Kamanda Wenje mbona unazidi kumuanika na kumuharibia kabisa kamanda Mbowe,

Umesema CHADEMA hatuna pesa ni kweli hatuna lakini kwanini hatuna pesa?Jibu wahisani hawamwamini tena Mbowe.

Naomba unijubu maswali haya,

1. Je, mikutano mikuu yote ya misingi zaidi ya 64,274 nchi nzima ni Mbowe katoa pesa zake?

2. Je, mikutano mikuu yote ya matawi zaidi 16,602 ni Mbowe ametoa pesa zake?

3. Je, mikutano mikuu yote ya kata zaidi ya 3,956 ni Mbowe katoa Pesa zake?

4. Je, mikutano mikuu ya majimbo yote 264 katoa pesa Mbowe?

5. Je, mikutano mikuu ya Mikoa yote 31 ni Mbowe katoa Pesa zake?

6. Je, mikutano mikuu yote 10 ya Kanda za Chama ni Mbowe katoa Pesa zake?

7. Sasa Wenje, kama hawa wanachama waliogharamia mikutano mikuu yao yote tangu misingi mpaka Kanda wanashindwaje kujigharamia kwenye mkutano Mkuu wao huu maalum mmoja tu wa Taifa?

Mwisho, Mkutano Mkuu wa mwaka 2019 Mbowe aliichangia kiasi gani mbona hujasema??!!

Mbowe kwanini hakuchangia 2019 achangie 2024?!!

Hii TZS250M ni rushwa toka CCM


Hakuna namna Mbowe ataendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA



Hapa anazungumzia Mkutano Mkuu wa Chama ambao gharama yake ni kubwa sana ukilinganisha na hiyo ambayo watu wanapanda bodaboda kwenda kuhudhuria.
Swali muhimu hapa ni itakuwaje Makamu Mwenyekiti ameshindwa kutoa hata thumni? Ameshindwa kweli kuhamasisha watu wa Clubhouse kuchangia hata milioni 1?
Uamuzi wa nani atakuwa Mwenyekiti wa Chadema ni wa wajumbe wa Mkutano Mkuu.

Amandla....
 
chama kinaendeshwa kwa mkopo zaidi ya miaka 8 sasa, wewe unakataa na eti unaumia mzalendo kuchangia huto tupesa tudogo tu unaweweseka 🤣

kama huna pesa na huchangii chochote, unababaika nini kwa walio na pesa na wanaojitolea kuchangia chama?

Chadema inahitaji mtu makini anaejitegemea kiuchumi na anaejitolea kama Freeman Aikaeli Mbowe,

Sasa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi atachangia nini au atasaidia nini chadema? mdomo na makelele au?🐒
Wewe kibaraka wa mwabwenye upo😆,a k a gentleman
 
rushwa rushwa rushwa inanukia chadema makamanda round hii tutakiona cha moto kama mtu anabariki rushwa hivi
 
Chama hakina Lisu kachangia Shilingi ngapi mkutano mkuu?

Anachangia tu.kupiga domo?
Mpaka ute ute mweupe unamtoka halafu anataka apewe uongozi mkuu.... huyu jamaa sidhani kama alistahili heshima tuliyompa!!
 
chama kinaendeshwa kwa mkopo zaidi ya miaka 8 sasa, wewe unakataa na eti unaumia mzalendo kuchangia huto tupesa tudogo tu unaweweseka 🤣

kama huna pesa na huchangii chochote, unababaika nini kwa walio na pesa na wanaojitolea kuchangia chama?

Chadema inahitaji mtu makini anaejitegemea kiuchumi na anaejitolea kama Freeman Aikaeli Mbowe,

Sasa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi atachangia nini au atasaidia nini chadema? mdomo na makelele au?🐒
Huyu Lissu atauza chama chetu ubelgiji... apeleke tumbo lake huko.
 
Wenje anadai Lissu alimtuhumu Mbowe kununua magari kwa kupewa hela na CCM na tuhuma hizo alizifikisha kwenye kamati kuu ya Chama.

Anadai Mbowe alikuja kukanusha hayo madai kupitia ushahidi.

Lakini Wenje hapo yupo huru kuongea yale yaliyokuwa chini ya kamati kuu, bila shida yeyote. Lakini siku Lissu akiongea utasikia hana busara anatoa siri za Chama hadharani.
Watasema anaropoka
 
TatiZo mlilonalo ninyi mashabiki wa lissu nikwamba mmelishwa tangoopri na lissu kwahiyo mmekuwa vipofu atamkiambiwa ukweli amtaki kuamini ukweli mmebaki naushabiki ambao hautawasaidia Wala lissu aitamsaidia
ACHA UJINGA Kasome waraka wa chacha wangwe wa mwaka 2005 ndo ujue haya mambo hayajaanza leo
 
View attachment 3189332
Kamanda Wenje mbona unazidi kumuanika na kumuharibia kabisa kamanda Mbowe,

Umesema CHADEMA hatuna pesa ni kweli hatuna lakini kwanini hatuna pesa?Jibu wahisani hawamwamini tena Mbowe.

Naomba unijubu maswali haya,

1. Je, mikutano mikuu yote ya misingi zaidi ya 64,274 nchi nzima ni Mbowe katoa pesa zake?

2. Je, mikutano mikuu yote ya matawi zaidi 16,602 ni Mbowe ametoa pesa zake?

3. Je, mikutano mikuu yote ya kata zaidi ya 3,956 ni Mbowe katoa Pesa zake?

4. Je, mikutano mikuu ya majimbo yote 264 katoa pesa Mbowe?

5. Je, mikutano mikuu ya Mikoa yote 31 ni Mbowe katoa Pesa zake?

6. Je, mikutano mikuu yote 10 ya Kanda za Chama ni Mbowe katoa Pesa zake?

7. Sasa Wenje, kama hawa wanachama waliogharamia mikutano mikuu yao yote tangu misingi mpaka Kanda wanashindwaje kujigharamia kwenye mkutano Mkuu wao huu maalum mmoja tu wa Taifa?

Mwisho, Mkutano Mkuu wa mwaka 2019 Mbowe aliichangia kiasi gani mbona hujasema??!!

Mbowe kwanini hakuchangia 2019 achangie 2024?!!

Hii TZS250M ni rushwa toka CCM


Hakuna namna Mbowe ataendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA lazima apishe akili mpya za kutafuta pesa.


Mkuu
Wahuni hawana aibu.

Hapo wamelamba asali
 
Clubhouse mchagieni Lissu 30m - nyie ni kutumalizia bando tu na porojo nyingiii vitendo hamna.
 
TatiZo mlilonalo ninyi mashabiki wa lissu nikwamba mmelishwa tangoopri na lissu kwahiyo mmekuwa vipofu atamkiambiwa ukweli amtaki kuamini ukweli mmebaki naushabiki ambao hautawasaidia Wala lissu aitamsaidia
Na nyumbu wa Sultan Mbowe pia mumelishwa matango pori
 
Wenje anadai Lissu alimtuhumu Mbowe kununua magari kwa kupewa hela na CCM na tuhuma hizo alizifikisha kwenye kamati kuu ya Chama.

Anadai Mbowe alikuja kukanusha hayo madai kupitia ushahidi.

Lakini Wenje hapo yupo huru kuongea yale yaliyokuwa chini ya kamati kuu, bila shida yeyote. Lakini siku Lissu akiongea utasikia hana busara anatoa siri za Chama hadharani.
Mkuu Scars

Umeupitia waraka wa marehemu Chacha Wangwe?

Mbowe anafanya madudu makubwa sana!
 
tangu lini mbowe akachangia chama..tunaambiwa humu mbowe kuwa anakikopesha chama mfano million 300 alafu anakuja kulipwa kwa riba na kwa vile yeye ndio kashika hatamu anaweza kuchelewesha chama kulipa deni ili riba iongezeke kidogo apate faida kubwa zaidi.!
Chacha Wangwe alimwambia aonyeshe wapi na wapi alikikopesha chama na kwa kufuata utaribu upi!

Na hicho kiasi anachokidai aonyeshe matumizi mchanganuo wake pamoja na risiti halali!

Mbowe anakuja tu anasema nimekikopesha chama!

Ajabu marehemu Wenje kufuatilia anaona gharama alizozitoza Mbowe anatoza kwa viwango vya mtalii anavyotozwa.

Na hata pesa alizozitumia kununulia baadhi ya vitendea kazi kwa ajili ya Chama ambavyo Mbowe anasema alitumia pesa yake kuikopesha ofisi, amejibinafsishia na kuwa vya kwake binafsi na si vya chama.

Huyu Mbowe tulichelewa kumjua!
 
Back
Top Bottom