Huyu Wenje mbona anazidi kumuharibia Mbowe, kama amechangia 250M Mkutano Mkuu wa Taifa nani amechangia mikutano mikuu 64,000 ya misingi nchi nzima?

Huyu Wenje mbona anazidi kumuharibia Mbowe, kama amechangia 250M Mkutano Mkuu wa Taifa nani amechangia mikutano mikuu 64,000 ya misingi nchi nzima?

Endapo Mbowe atampora ushindi Lisu kwa njia haramu lazima chadema itadhoofika sana na kuwa kama vyama Dhoofu vya akina cheyo na wenzao
Mbowe hata akishinda kwa halali chama kitakuwa kama NCCR-Mageuzi tu, Lissu katuonesha uozo mwingi sana katika vyama tulivyoviita vya Upinzani!
 
Mbowe hata akishinda kwa halali chama kitakuwa kama NCCR-Mageuzi tu, Lissu katuonesha uozo mwingi sana katika vyama tulivyoviita vya Upinzani!
Ni kweli kwani Mbowe anaendesha chama kama duka lake saccos binafsi idara yote ya pesa yupo peke yake anaiba pesa za chama kisha kuzitakatisha kwa kujidai eti alikopesha chama
 
Ni kweli kwani Mbowe anaendesha chama kama duka lake saccos binafsi idara yote ya pesa yupo peke yake anaiba pesa za chama kisha kuzitakatisha kwa kujidai eti alikopesha chama
Mpaka tufike Jan 21 mengi yatakuwa hadharani!
 
Dalali wenje njaa kali mrafi
Mbowe mchoyo ubinafsi na Dikteta
Sasa hawa wawili wakipewa chama si watauana huko mbeleni maana wote ni watu wabinafsi, kila mmoja atataka kujinufaisha ndipo utatokea ugonvi mkubwa na chadema kufa kama NCCR TLP UDP DP CCK na CUF ya lipumba
 
TatiZo mlilonalo ninyi mashabiki wa lissu nikwamba mmelishwa tangoopri na lissu kwahiyo mmekuwa vipofu atamkiambiwa ukweli amtaki kuamini ukweli mmebaki naushabiki ambao hautawasaidia Wala lissu aitamsaidia
Akili zao wamemkabidhi lissu.Wao vichwa vyao havishughuliki kabisa.Lissu kwao amekua ndio Si unit ya ukweli.sasa hao ni watu au ni midoli.Yaan full mihemko.
 
Mpaka tufike Jan 21 mengi yatakuwa hadharani!
Mbowe yupo uchi madudu yake kwa asilimia kubwa yapo wazi hata akiiba kura akawa mwenyekiti haramu hataheshimika tena kama awali
 
Dalali wenje njaa kali mrafi
Mbowe mchoyo ubinafsi na Dikteta
Sasa hawa wawili wakipewa chama si watauana huko mbeleni maana wote ni watu wabinafsi, kila mmoja atataka kujinufaisha ndipo utatokea ugonvi mkubwa na chadema kufa kama NCCR TLP UDP DP CCK na CUF ya lipumba
Leta ushahidi.acha kuandika porozo zinazotokana na hisia zako.ata minyoo haiko hivyo.
 
Akili zao wamemkabidhi lissu.Wao vichwa vyao havishughuliki kabisa.Lissu kwao amekua ndio Si unit ya ukweli.sasa hao ni watu au ni midoli.Yaan full mihemko.
Aliyekuambia wewe una Akili ni nani? Kuwa chawa wa Dikteta Mbowe na Dalali njaa Wenje ndiyo Kuwa na Akili? Wewe mbona Akili zako umemkabidhi Dalali njaa Wenje? Kichwa chako hakishughuliki upo unawaangalia njaa zako pekee na kujita fahamu kuwaona Mbowe na wenje ni malaika na mungu hawana Dhambi
 
Leta ushahidi.acha kuandika porozo zinazotokana na hisia zako.ata minyoo haiko hivyo.
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Kipimo cha wapumbavu kama nyie huwa ni kuisengenya ID ya Jf, ushahidi uletewe wapi wewe punguani? Uletewe hapo ghetto unaposhinda ukivuta bangi?
 
Watetezi wa mbowe wameamka toka ghato walipokuwa wakivutishwa bangi na Dalali wenje Subiria tuone ujinga wao tuwakabili kwa hoja hadi wafukuzwe na mbowe
 
View attachment 3189332
Kamanda Wenje mbona unazidi kumuanika na kumuharibia kabisa kamanda Mbowe,

Umesema CHADEMA hatuna pesa ni kweli hatuna lakini kwanini hatuna pesa?Jibu wahisani hawamwamini tena Mbowe.

Naomba unijubu maswali haya,

1. Je, mikutano mikuu yote ya misingi zaidi ya 64,274 nchi nzima ni Mbowe katoa pesa zake?

2. Je, mikutano mikuu yote ya matawi zaidi 16,602 ni Mbowe ametoa pesa zake?

3. Je, mikutano mikuu yote ya kata zaidi ya 3,956 ni Mbowe katoa Pesa zake?

4. Je, mikutano mikuu ya majimbo yote 264 katoa pesa Mbowe?

5. Je, mikutano mikuu ya Mikoa yote 31 ni Mbowe katoa Pesa zake?

6. Je, mikutano mikuu yote 10 ya Kanda za Chama ni Mbowe katoa Pesa zake?

7. Sasa Wenje, kama hawa wanachama waliogharamia mikutano mikuu yao yote tangu misingi mpaka Kanda wanashindwaje kujigharamia kwenye mkutano Mkuu wao huu maalum mmoja tu wa Taifa?

Mwisho, Mkutano Mkuu wa mwaka 2019 Mbowe aliichangia kiasi gani mbona hujasema??!!

Mbowe kwanini hakuchangia 2019 achangie 2024?!!

Hii TZS250M ni rushwa toka CCM


Hakuna namna Mbowe ataendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA lazima apishe akili mpya za kutafuta pesa sio kuchangisha wajumbe wa Kamati Kuu kwani hilo sio jukumu la mjumbe wa Kamati Kuu.



Mwambie TAl atoe mchango acha ngonjera hapa
Wajumbe wanahitaji kusafiri kula na kulala
 
Wenje amelazimika kujibu na hajakichafua chama bali ameprove kuwa Lissu alizungumza uzushi kama asingejibu chana kingechafuka zaidi walau kajibu amesaidia kukisafisha chama
Ila Lissu Akijibu Mnasema Kakichafua Chama siyo?
 
Mwambie TAl atoe mchango acha ngonjera hapa
Wajumbe wanahitaji kusafiri kula na kulala
Michango ya nini atae? Pesa za chama zipo Mbowe kujimilikisha kienyeji, hakuna kutoa michango mpaka Mbowe atoe pesa za chama anazokula mwenyewe kifisadi kisha kutakatisha kwa kujidai alikopesha chama
 
Ila Lissu Akijibu Mnasema Kakichafua Chama siyo?
Chochoko walianza wao kwa wenje kwenda nyumbani kwa Lisu kumchokoza, sasa lisu akilalamika wanadai anaropoka mara ni muongo, sasa aliyemtuma wenje kwenda kwa Lisu nani? Mbona Lisu hajaenda kwa wenje?
 
Dah! Kumtetea Mbowe na genge lake ni kazi ngumu kinyama... huyu kenge kashaharibu. Mgombea kusafirisha wapiga kura ni rushwa 100%. Hili jabali la siasa za upinzani limekuja kuwaje aisee? Dakika ya 90 anapaisha penati.
 
Unatumia nguvu sana mkuu,

Mikutano 64,000 inaweza kugharimu kiasi gani Cha pesa?

Tumia akili kidogo.
Hiyo ni aggregation.

Kwani hq ndiyo menejimenti ya kila tawi, kila wilaya na kila jimbo nankila mkoa katika day to day operation? gharamac za mkutano mkuu wa tawi inaweza kuwa sawa na wa Taifa? Kuna anayelipwa posho ya malazi au usafiri?

Unashindwa hata kuona simple fact kuwa kila ngazi inajiendesha kiutawala.
 
Back
Top Bottom