Kuna mambo yanafanyika isivyo, I wish ningekuwa na nafasi nifanye write up ya kutosha yamkini iweze kuleta maboresho ya kukidhi mahitaji ya wakati ya waTZ.
 
Kuna mambo yanafanyika isivyo , I wish ningekuwa na nafasi nifanye write up yakutosha yamkini iweze kuleta maboresho yakukidhi mahitaji ya wakati ya waTZ.
Hayo wanayofanya unadhani ni kwa bahati mbaya au hawajui namna ya kuboresha?? Unakumbuka kikichotokea october 2020 and forth?
 
Hili liko wazi.
Ila kwa kuwa polisi wako upande wa chama chetu pendwa Cha CCM,wacha kazi iendelee.
Mungu atakuja kulipa kwa wakati.
 
Kwa hiyo wenye dhamana ya kulinda wananchi na mali zao wanaua ? [emoji24]
Inasikitisha Sana.

Lakini ukweli ndiyo huo, waliopewa dhamana ya kulinda Raia na mali zao, wanakuwa wao ndiyo wako mstari wa mbele, kudhulumu uhai wa Raia hao na kupora mali zao!

Hakika ni muda muafaka, IGP Sirro, atake asitake, ang'oke kwenye nafasi hiyo na ampishe mwingine atakayefanya Kazi kwa weledi
 
Labda ndio Majukumu yake Mapya Nchi ina Mambo hii

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Nashauri Rais achague meja general kutoka JW ndio awe IGP,

itaondoa kulindana na itaongeza ufanisi kwenye jeshi la polisi
 
Apo kwenye kujihusisha na siasa ndio pa ovyo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…