DOKEZO Inadaiwa kila aliyehudhuria Tamasha la Kizimkazi amelipiwa Nauli, Malazi na Posho kabambe, Hizi hela zimetoka wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
JPM alipokuwa akisema hela ipo yakujenga miundombinu tulimuona kichaa.

Ukipiga hesabu ya hiyo gharama unawezakuta unajenga kituo cha Afya kikakamiliki au visima kadhaa vya maji kwenye maeneo yenye shida ya maji.
 
Nyie hela chadema si anakula mbowe pekeake nyie mnaimbishwa mapambio tu
 
Akina Doto magari hao,Alafu wanakuja mitandaoni kutukana watu waliosoma 😄
 
Aiseee! Huu ni wizi mkubwa kwa wananchi maskini CCM jibuni hoya hizi.
 
Kabla ya kuhoji hela zimetoka wapi tuletee ushahidi wa unachokisema.

Je ushahidi wa unachokidai uko wapi ?

Unaanzaje kuhoji jambo ambalo halijathibitishwa hata na wewe mwenyswe ?
Unafikr yule nyambichwa manywele atoe hela zake ajilipilie accomodation aende
 
Usijali wajomba wanaotoa fedha za mafuta, watumwa na meno ya tembo.
 
"Inadaiwa.. " uncertainty.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…