Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
JPM alipokuwa akisema hela ipo yakujenga miundombinu tulimuona kichaa.
Ukipiga hesabu ya hiyo gharama unawezakuta unajenga kituo cha Afya kikakamiliki au visima kadhaa vya maji kwenye maeneo yenye shida ya maji.
Ukipiga hesabu ya hiyo gharama unawezakuta unajenga kituo cha Afya kikakamiliki au visima kadhaa vya maji kwenye maeneo yenye shida ya maji.