Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki?

Hata wanaokataa pia Wana madaraka ,hofu Yao hayo madaraka yatapokwa!
 
John Heche alipuka moto akiwa Arusha ngome mojawapo wa CHADEMA, chama kuwa na ngome siyo haramu mfano ACT Wazalendo Pemba na Kigoma, CHAUMMA Makumbusho jijini Dar es Salaam

21 February 2025

Arusha, Tanzania

JOHN HECHE ANAKIWASHA ARUSHA ANAFICHUA MAZITO TUSIYOYAJUA MUDA HUU..


View: https://m.youtube.com/watch?v=jaNgBa_d_Zk
Uliona wapi anayeomba kuchaguliwa akasimamia uchaguzi anaoshiriki, hii ni jeuri ya chama kongwe tawala CCM ... tulio pale Dodoma ambapo mgombea aligoma kutoka katika mkutano mkuu wa taifa wa CCM... Sasa hii siyo dalili nzuri kwa demokrasia ya nchi yetu kutokana na CCM kukosa uvumilivu wa kidemokrasia ...vyombo vya habari vinakaa kimya vimehongwa ...
 
Waa he ili iweje wakati hakuna ushindani sawa wa kisiasa?

Iko wazi ccm imepoka miundombinu yote ya uchaguzi?

Huu ni uchaguzi au maigizo ya uchaguzi?
 
Pasuka tuu,I'd ni ya Mtoa mada hata tukitumia mafumbo itajulikana tuu tunamsema mtu flani!
 
Mayalla wenda ni mtego uliojificha katika kivuli cha media ikiwepo jf .

Binadam yeyote huwa na machaguo ,that's kuna mtu anakula samaki ,nyama , mwingine hali , sasa Mayalla yeye tumuweke kundi lipi hali nyama ,samaki ,au anakula ila kwa kificho ila mkikutana atakwambia hali .

Mayalla binabsi na Mungu wangu namuonya aseme yupo upande gani kwa machaguo hapo tajwa juu , sie sio midoli yake ambayo watoto wake huchezea sebuleni , hii ni hamri kutoka kwa Mungu wangu juu yake , asema Bwana
 
Alafu we tulia ,umeambiwa na mtoa mada kwamba hii ni mda kwa watu wenye IQ Kubwa sio ya kila mtu , sasa uchawa kwenye mada hii unatoka wapi, by the way wewe ni mtaka haki ila ccm imekuroga ,nimekwambia mara nyingi
sasa wenye mihemko na makasiriko kama wewe, bila hata ya kua na hoja sijui mnakuja kufanya nini kwenye mada hii muhimu sana kwa watu wenye iq kubwa,

nyie ndio ambao tayari mmeshatapeliwa pesa na vibaka ombaomba wa kisiasa,
na mnajipanga kutapeliwa tena fikra, uhuru na haki ya kupiga kura kwa agenda zisizo na tija kama ile ya no reform no elections,

epuka kuvamia mada heavy weight gentleman kuliko upeo wa fikra wako gentleman, okey?
 
Huyu mama kichwani ni mweupe sana ogopa mtu anasema katiba ni kijitabu tu muda huo yeye ameshiba na likitambi limetangulia mbele hana stress. Huyu mtu ni sawa na mtoto mdogo kwamba hajui katiba ndio muongozo wa namna ya kuliendesha taifa? Anaona yeye na kikundi chake cha ccm ni bora kuliko watu zaidi ya million 60? Huyu ni shetani kupambana nae kwa maelezo tunachelewa.
 
15 February 2025
Tarime, Tanzania

CHADEMA YAZIDI KUIONYA CCM INAYOTUMIA VYOMBO VYA DOLA KUBAKIA MADARAKANI


View: https://m.youtube.com/watch?v=fcI6gSJFRfI
Mazingaombwe ya uchaguzi feki mwaka huu 2025 hayakubaliki. Vuguvugu la CHADEMA kuchagiza mabadiliko yaani No Reforms No Elections kuelekea uchaguzi mkuu wa October 2025

Viongozi mbalimbali waliopanda jukwaani katika mkutano mkubwa wa hadhara wa CHADEMA mji mdogo wa Sirari wilaya ya Tarime mkoa wa Mara nchini Tanzania waendeleza kukoleza No Reforms No Election... kutokana na mbinu chafu za chama dola kongwe tawala CCM ...
 
nadhani kipaumbele cha wanainchi ni nahitaji yao ya msingi ya kila siku,

hayo ya kibinafsi ya vyeo na madaraka binafsi ya kifamilia yatafutiwe ufumbuzi binafsi, hakuna haja ya kusumbua wanainchi 🐒
Hata mahitaji ya msingi lazima utokane na uongozi Bora unaojali wananchi kwa ujumla,ndio maana Utakuta kuna vitu feki vingi!
 
unapokwa vipi kwa mfano na mabo yanafanyika bayana gentleman?
Usishupaze shingo mkuu,hofu ya chama tawala ni Nyingi, Mgombea Binafsi, Uchaguzi kutosimamiwa na wakurugenzi nk.Hivi Kwa akili ya haraka chama Cha bosi wako kikishindwa uko tayari kusema kimeshindwa Labda uwe na faili Mirembe!
 
 
Kuna baadhi ya watu humuhumu jamii Forum,wako kichawa zaidi hata hoja ni Moja ya kutetea chama Chao hata bila kiangalia Nini madhara yake, maana hoja zenye mashiko ni urithi hata vizazi hadi vizazi kwa mema.
 
Mkuu kwani professor wa hayo madudu si ni mtaalam w sana sheria na katiba?? Halafu ni mwakilishi kule wanako gonga meza !! Ameshindwa kumwambia general kuhusu hili?? Je huyo alie sign na kuyaweka kwenye katiba ya JMT alikua hajui kuwa anakiuka katiba na hata baada ya mahakama kuusema huo ubatili bado wapo.

JIBU NI KWAMBA WANA MAKUSUDI KUNA KITU WAMEKILENGA KWENYE UCHAGUZI KWA KUWA WATANZANIA SIO KAMA MAJIRAN SISI GEN Y KWENYE MASLAHI MAPANA NA YENYE MUSTABALI WA MAENDELEO HATUNA. KAZI KUMSIFIA NYOKA WA KIJAN YULE MUOGA WATU ILI ASIWE ANAKIMBIA SAUTI NA MAKELELE
 
Usishupaze shingo mkuu,hofu ya chama tawala ni Nyingi, Mgombea Binafsi, Uchaguzi kutosimamiwa na wakurugenzi nk.Hivi Kwa akili ya haraka chama Cha bosi wako kikishindwa uko tayari kusema kimeshindwa Labda uwe na faili Mirembe!
hofu ni yako na yako pekeyako gentleman,

uchaguzi Utasimamiwa na mtumishi wa uma yeyote yule ambae atapewa jukumu hilo muhimu kwa niaba ya Tume Huru ya Uchaguzi bila kujali kelele wala mbambamba ya tapeli au kibaka yeyote wa siasa za Tanzania
 
hofu ni yako na yako pekeyako gentleman,

uchaguzi Utasimamiwa na mtumishi wa uma yeyote yule ambae atapewa jukumu hilo muhimu kwa niaba ya Tume Huru ya Uchaguzi bila kujali kelele wala mbambamba ya tapeli au kibaka yeyote wa siasa za Tanzania
Hapo sio hofu,Bali ni uhalisia hata dhamira Yako inakusuta!Ina maana huoni utofauti wa tume kama ajira ya Moja kwa Moja kama walimu na tume inayochaguliwa na misingibya chama kilichopo madarakani?Jibu kwa ufupi tume huru ni ya ajira kama ya ualimu na kazi zingine nk.Lazima tuwe wakweli ,uchawa sio Dili kabisa.
 
gentleman,
usinilishe maneno tafadhali,
dhamira yangu na nia yangu ni njema sana kwa wananchi na waTanzania wote,

na ile muhimu sana najaribu kufanya kwaajili yao ni kuwaepusha kutapeliwa na vibaka wa kisiasa nchini.

uchaguzi huru, wa haki na wa uwazi utafanyika mapema oct.2025 mwaka huu bila kelele wala mdomo wa mtu yeyote, bali utafanyika kwa mujibu wa katiba ya nchi na utasimamiwa na Tume huru ya taifa ya uchaguzi kadiri ilivyo jipanga.

ukamwambia haya hata mwenyekiti wa chama chako
 
Hii hoja nzito aione Pascal Mayalla!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…