Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki?

Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki?

Hii
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。

Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。

Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
Hii ni baada ya we kushindwa kufanikiwa kupata fursa kupitia CCM siyo? Kwa hiyo sheria imepitishwa mwaka jana kbla ht haijatumika tuanze kufanya marekebisho? Miongoni mwa fani inayotakiwa kufutwa ni pamoja na sheria, ni fani ya kutengeneza migogoro na ujuaje mbuzi. Nchi haiwezi kuendelea kwa upuuzi km huo
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。

Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。

Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
CCM imejaa watu wasio na weledi
 
Wanaogopa kuondolewa madarakani. Hivi uchaguzi ukifanyika kwa uhuru na haki unadhani CCM itapiya? Hivi kwa akili timamu wangemchagua Samia apeperushe bendera wakati hata Chamani hawamyaki? Ila sauti ya wengi ni Sauti ya Mungu. One day yes!
 
ni kujidanganya tu kwamba eti kubadili sheria za uchaguzi na katiba ya nchi ndiyo haki,

na kupuuzia nahitaji msingi ya kilasiku ya mwananchi mathalani maji, elimu, afya, kilimo n.k
Uliwahi kusoma Rasimu ya Katiba ya Warioba iliyosheheni maoni na matakwa ya wenye nchi ambao ni umma wa Watanzania kuhusu wanavyotaka juu ya Katiba, Tume ya uchaguzi, nk?
 
tatizo kubwa ni moja tu,
wanaojiona wajuaji na kuiona katiba hii ni batili, kwanza ni wachache sana na hawana hoja zenye mashiko kuwashawishi wananchi wengi kuona na kuamini katika ubatili huo,

na wananchi walio wengi wanaona mambo mengi ndani ya katiba yako sawa sawia, na vipaumbele vyao muhimu ni mahitaji yao ya kila siku yaliyo nnje ya katiba.

hata hivyo,
wapiga mdomo na makelele ya mabadiliko ya sheria za uchaguzi na katiba ya nchi, wanalenga zaidi mabadiliko ya vyeo na madaraka kwa tamaa binafsi, chuki binafsi na wivu ambao hauna maana wala manufaa yoyote kwa wananchi ambao mahitaji yao muhimu ni kwenye kilimo, maji, afya, elimu n.k.

ndio maana hoja hii inafaa kupuuzwa tu. Na kwakweli hoja ya mabadiliko ya katiba itaishia JF na kwenye mitandao ya kijamii tu, Lakini field kwa wananchi hakuna habari na wala hawana haja na makelele ya katiba 🐒
Kwa wapumbavu kama hawa kupewa jukwaa la kutoa upumbavu wao sababu wanashiba bila kutoka jasho unafikiri tutafika bila kucharazana bakora kama Kenya?
 
Tatizo ni unafiki wa washauri. Upande mmoja wanasema Mama puuza ni hao hao wanalaumu kwa upande mwingine. Mmoja kati ya wanafiki wakubwa ni Mzee Kikwete ! Badala ya kufikiria nchi ni yeye tu na tumbo lake
Kweli naunga mkono hoja, wazee wanatakiwa wawe ni hazina lakini Tanzania ya CCM wazee wake ni wa hovyo kupindukia. Kwa umri wa akina Wassira, Kikwete, Msekwa Makamba hawana courage na uzalendo kama Nyerere wa kukemea kwenye mapungufu.

Wanafikiria matumbo na hatma ya vizazi vyao, tungepata wazee kama akina Warioba wenye uthubutu wa kukemea tungevuka salama.
 
Kwa wapumbavu kama hawa kupewa jukwaa la kutoa upumbavu wao sababu wanashiba bila kutoka jasho unafikiri tutafika bila kucharazana bakora kama Kenya?
Relax bas gentleman mbona huna hata hoja mayowe na makasiriko ya nini sasa,

tuliza ball na uwasilishe maoni mapya na fikra zako mbadala na bora zaidi ya zangu mbele ya wadau wa JF na itapendeza zaidi,

acha kimbelembele jukwaani bila hoja sawa gentleman?
usirudie tena hii kitu 🐒
 
ni kujidanganya tu kwamba eti kubadili sheria za uchaguzi na katiba ya nchi ndiyo haki,

na kupuuzia nahitaji msingi ya kilasiku ya mwananchi mathalani maji, elimu, afya, kilimo n.k

wananchi wa Tanzania wataendelea kuwaamini na kuwapa dhamana za kuongoza taifa, wale ambao wanajali mahitaji yao ya msingi ya kila siku, na sio matapeli wa kupambania vyeo na madaraka kwa maslahi yao binafsi na familia zao 🐒
Kama vile kuwaengua wapinzani kwa takriban 64,000 halafu wanashinda ushindi wa kishindo. Wananchi wa Tanzania wataendelea kuwaamini hofu ya nini kuwaengua kwenye uchaguzi wakati mnaaminika?

CCM imetengeneza wazee wa hovyo
 
Kama vile kuwaengua wapinzani kwa takriban 64,000 halafu wanashinda ushindi wa kishindo. Wananchi wa Tanzania wataendelea kuwaamini hofu ya nini kuwaengua kwenye uchaguzi wakati mnaaminika?

CCM imetengeneza wazee wa hovyo
Gentleman,
wale wote wasiokudhi sifa, vigezo na masharti ya kisheria na kikatiba kugombea uongozi wa nafasi mballimbali nchini, ni muhimu sana wakaenguliwa mara moja, ili kuepuka kunajisi katiba yetu tukufu ya Tanzania.

Ni Lazima wale tu waliotimiza vigezo stahiki vya kikatiba ndio wapewe fursa na nafasi ya kugombea uongozi.
haki inaambatana na wajibu.

Atakaeshinda uchaguzi, apewe nafasi na fursa ya kuwatumikia wananchi, bila mbambamba yoyote 🐒
 
Ifike hatua watanzania kwa pamoja akiwemo Paskali tuache unafiki na kusimama kwa pamoja na kudai haki zetu. Ni ngumu wakati wa kudai haki kwenye mabandiko yenu mnadeclare interest kwamba nyie ni CCM halafu mnalalamikia ukiukwaji huu wa sheria na katiba mkijitambulisha na taasisi inayokiuka hizo haki.

Na ndio maana umetafuta wa kumlaumu na wasaidizi wake siyo nyie mnaokujaga na mabadiliko ya kupongeza ushindi unaotokana na sheria hizo hizo.

Pascal acha unafiki huwezi kusukuma gari ukiwa ndani ya hilo gari, if you have guts shuka kwenye gari la wahuni njoo tulisukume au kaa kimya.
 
Gentleman,
wale wote wasiokudhi sifa, vigezo na masharti ya kisheria na kikatiba kugombea uongozi wa nafasi mballimbali nchini, ni muhimu sana wakaenguliwa mara moja, ili kuepuka kunajisi katiba yetu tukufu ya Tanzania.

Ni Lazima wale tu waliotimiza vigezo stahiki vya kikatiba ndio wapewe fursa na nafasi ya kugombea uongozi.
haki inaambatana na wajibu.

Atakaeshinda uchaguzi, apewe nafasi na fursa ya kuwatumikia wananchi, bila mbambamba yoyote 🐒
Na kwenye hilo ni CCM tu wanaokidhi?
 
Uliwahi kusoma Rasimu ya Katiba ya Warioba iliyosheheni maoni na matakwa ya wenye nchi ambao ni umma wa Watanzania kuhusu wanavyotaka juu ya Katiba, Tume ya uchaguzi, nk?
Gentleman,
ile ambayo wapinzani nchini kwa mwavuli wa ukawa waliikataa katu katu pale bungeni dodoma 2014, right?,🐒
 
Na kwenye hilo ni CCM tu wanaokidhi?
Gentleman,
vyama mballimbali vya siasa nchini vilivyo kidhi sifa stahiki, vigezo na masharti ya kisheria na kikatiba vilipata fursa ya kusimamisha wagombea uongozi maeneo mballimbali nchini.

Ni muhimu waliokosa fursa wakati ule wakajipange vizuri kwa chaguzi zijazo 🐒
 
Hii ntaisoma baadae maana inahitaji utulivu
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。

Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。

Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
 
Gentleman,
vyama mballimbali vya siasa nchini vilivyo kidhi sifa stahiki, vigezo na masharti ya kisheria na kikatiba vilipata fursa ya kusimamisha wagombea uongozi maeneo mballimbali nchini.

Ni muhimu waliokosa fursa wakati ule wakajipange vizuri kwa chaguzi zijazo 🐒
Another foolish rhetoric, masikini jamii forums inatufanya tuingie tukikosa la kufanya
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。

Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。

Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
Who are u mpaka utukataze kutaja majina? Nini maana ya uhuru wa kuongea? Saa100 ni chura kiziwi mwenyewe amejiita hvyo
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。

Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。

Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
kama kuna dhambi inaliangamiza Taifa letu kwa sasa hivi ni uchawa na unafiki,wanajua mihimili yote,viongozi wa dini wako complomized na mhimili Mmoja so wanchowaza ni kugawana vyeo baada ya october,nani atamfunga paka kengere.
wanacnhi ndio hawa wanadhani kuna chama au mtu atawapambania badala yao.
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。

Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。

Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
1. Yale mapendekezo ya Kamati ya Professor Simpho Mukandala yako wapi? Yamefanyiwa kazi? Mbona alikuwa na nia ya kuyafanyia kazi? Kwanini tunatumia pesa za walipa kodi kwenye kamati ambazo hatupo tayari kutekeleza maoni yake?
2. Mtu mmoja peke yake hawezi kuleta mageuzi. Inawezekana amesoma mood ya wasaidizi wake ndani ya Kamati Kuu ya Chama, National Security Council, National Executive Council ya Chama na Cabinet. Akaona hapa mabadiliko hayatakiwi, akaamua kutulia. Bila consent kwenye hivyo vyombo na yeye hataweza kutekeleza chochote. Lazima na muhimu awe na backup ya hivyo vyombo.
 
Another foolish rhetoric, masikini jamii forums inatufanya tuingie tukikosa la kufanya
ni muhimu kuepuka kutapeliwa fikra, uhuru na haki zenu za kikatiba na vibaka wa siasa nchini.

kumbuka uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania ni oct. mwaka huu 2025 :NoGodNo:
 
ni kujidanganya tu kwamba eti kubadili sheria za uchaguzi na katiba ya nchi ndiyo haki,

na kupuuzia nahitaji msingi ya kilasiku ya mwananchi mathalani maji, elimu, afya, kilimo n.k

wananchi wa Tanzania wataendelea kuwaamini na kuwapa dhamana za kuongoza taifa, wale ambao wanajali mahitaji yao ya msingi ya kila siku, na sio matapeli wa kupambania vyeo na madaraka kwa maslahi yao binafsi na familia zao 🐒
Maji, elimu, afya kote huko mmefeli, wananchi tumewachoka hatuwataki
 
Back
Top Bottom