Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki?

Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki?

gentleman,
usinilishe maneno tafadhali,
dhamira yangu na nia yangu ni njema sana kwa wananchi na waTanzania wote,

na ile muhimu sana najaribu kufanya kwaajili yao ni kuwaepusha kutapeliwa na vibaka wa kisiasa nchini.

uchaguzi huru, wa haki na wa uwazi utafanyika mapema oct.2025 mwaka huu bila kelele wala mdomo wa mtu yeyote, bali utafanyika kwa mujibu wa katiba ya nchi na utasimamiwa na Tume huru ya taifa ya uchaguzi kadiri ilivyo jipanga.

ukamwambia haya hata mwenyekiti wa chama chako :NoGodNo:
Bahati mbaya Sina chama ni mtu huru kama ni kuunga mkono ningemuunga Mgombea huru kuliko Hawa wanaotokana na vyama kama Wewe!,Ambaye umekumbatia ufia chama hata kwa kuumizwa kwa kile kinachoitwa(Collective responsibility)!,Noma sana kuwa huru nao Uhuru utakuweka huru kweli kweli.
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。

Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。

Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
Naona unajaribu kuwa relevant, ila ukweli maandishi haya hayana maana tena, wengi wameshasema na ww unafanya marudio tu, ili huko mbeleni uweke link kwenye mabandiko yako kuwa uliwahi kuonya. Nenda mahakamani boss, ukazuie maana huwa unasema una imani na mahakama, na nchi hii inaongozwa na utawala wa sheria. Kinyume na hapo machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio njia pekee za kupata katiba mpya ya kweli.
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。

Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。

Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
Naunga mkono hoja.
Kwa maana machafuko au vita ya wenyewe kwa wenyewe itaangamiza jamii yetu na amani tuliyojivunia miaka nenda rudi itakuwa historia.
Naipenda sana nchi yangu Tanzania.
Nchi aliyonipa mwenyezi Mungu.
Mungu Ibarki Tanzania.
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。

Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。

Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
Umenifurahisha sana uliposema wale matutusa na warembo wa vitu maalum. All in all nadhani kwa hatua tuliyofikia, ni nguvu ya umma pekee ndiyo itawarudisha wanasiasa mezani.

Mtihani uliopo ni ukosefu wa mtu sahihi wa kuiongoza hiyo nguvu ya umma kudai haki zao za msingi! Wengi wetu ni waoga. Na policcm wakishatupiga tu mkwara, tunaifyata mikia yetu.
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。

Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。

Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
Kwa muda mrefu sana sikuwa na soma post zako, Leo Nimesoma na nakubali kuwa Kuna madini
 
Naunga mkono hoja.
Kwa maana machafuko au vita ya wenyewe kwa wenyewe itaangamiza jamii yetu na amani tuliyojivunia miaka nenda rudi itakuwa historia.
Naipenda sana nchi yangu Tanzania.
Nchi aliyonipa mwenyezi Mungu.
Mungu Ibarki Tanzania.
Ushauri hujatoka mkuu,mbali na kuipenda nchi Yako!
 
Bahati mbaya Sina chama ni mtu huru kama ni kuunga mkono ningemuunga Mgombea huru kuliko Hawa wanaotokana na vyama kama Wewe!,Ambaye umekumbatia ufia chama hata kwa kuumizwa kwa kile kinachoitwa(Collective responsibility)!,Noma sana kuwa huru nao Uhuru utakuweka huru kweli kweli.
mimi ni kiongozi, muhadhiri na mtaalamu wa siasa za vyama vya siasa gentleman na si vinginevyo :pedroP:
 
Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
Pascal Mayalla Historia itakukumbuka kwa Kupigania Haki ya Watanzania Wote.
Jambo hili pamoja na mengine umeyasemea sana.
Hii kwako ni Legasi
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi,badhi ya vitu hivyo,vimefanyika,baadhi vimefanyika but not the right way,na vingine havijafanyika kabisa ikiwemo the most important,mabadiliko madogo ya katiba。

Kwenye hli la katiba,minimum reforms, limepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya serikali kuwa hatufanyi,inawezekana ni kiburi na jeuri ya wasaidizi wake sheria,hawajamwambia ukweli wa the legal status ya katiba yetu na sheria yetu ya uchaguzi,au ameambiwa,annajua ila ameamua kutia pamba masikioni kuwa sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya, mtanifanya nini?。

Na kwavile na kiukweli kabisa katiba yetu ya JMT,inamruhusu kufanya jambo lolote,au kutofanya jambo lolote na asiwe amefanya kosa lolote kwasababu,katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye mwenyewe kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba。

Je ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamekanyaga katiba,wamevuja katiba bila kufanywa chochote?!。

Tena imefikia mpaka kiwango cha Mahakama Kuu ya Tanzania,imetoa uamuzi na imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini bado viongozi wetu wanalitenda!,wanakanyaga katiba,wanavunja katiba,wanakiuka katiba na hawafanywi lolote!itakuwa haya ya kusema tuu humu, kuandika magazetini na kwenye mitandao, itasaidia?.

Au inawezekana ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,awategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikatokea na wao pia wako too busy sana,hawajapata kabisa
nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba ya JMT?.

Kuna vitu vyak kisheria ni
vigumu sana kuvielewa, kama hili la Mahakama Kuu ya Tanzania, imetoa uamuzi kuhusu ubatili wa sheria ya uchaguzi, tukaamua kutunga sheria mpya ya uchaguzi, wanasheria nguli, wabobezi na wabebovu wakatunga muswada wenye ubatili ule ule?.

Tuliposhirikishwa kwenye hatua zote tatu, kwenye kukusanya maoni ya wadau, kuna watu tulisema,

Kabla ya muswada kusomwa kwa mara ya kwanza, tukaitwa kutoa maoni, tukasema

Na baada ya muswada kusomwa kwa mara ya kwanza, tukaitwa kutoa maoni Bungeni Dodoma, tukasema

Sheria ilipokuja kutoka, ina ubatili ule ule mtu unajiuliza Bunge chini ya mwalimu nguli mbobezi na mbobevu wa
sheria. linatungaje sheria batili kinyume na katiba?!. Halafu bila aibu, anapelekewa kusaini!

Kwenye hili la ubatili wa katiba na ubatili wa sheria, nimesisitiza mtu asiye
Mwanashiria Hawezi kuujua
Ubatili Wa katiba au ubatili wa sheria,

kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
Big up bro!
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi,badhi ya vitu hivyo,vimefanyika,baadhi vimefanyika but not the right way,na vingine havijafanyika kabisa ikiwemo the most important,mabadiliko madogo ya katiba。

Kwenye hli la katiba,minimum reforms, limepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya serikali kuwa hatufanyi,inawezekana ni kiburi na jeuri ya wasaidizi wake sheria,hawajamwambia ukweli wa the legal status ya katiba yetu na sheria yetu ya uchaguzi,au ameambiwa,annajua ila ameamua kutia pamba masikioni kuwa sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya, mtanifanya nini?。

Na kwavile na kiukweli kabisa katiba yetu ya JMT,inamruhusu kufanya jambo lolote,au kutofanya jambo lolote na asiwe amefanya kosa lolote kwasababu,katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye mwenyewe kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba。

Je ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamekanyaga katiba,wamevuja katiba bila kufanywa chochote?!。

Tena imefikia mpaka kiwango cha Mahakama Kuu ya Tanzania,imetoa uamuzi na imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini bado viongozi wetu wanalitenda!,wanakanyaga katiba,wanavunja katiba,wanakiuka katiba na hawafanywi lolote!itakuwa haya ya kusema tuu humu, kuandika magazetini na kwenye mitandao, itasaidia?.

Au inawezekana ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,awategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikatokea na wao pia wako too busy sana,hawajapata kabisa
nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba ya JMT?.

Kuna vitu vyak kisheria ni
vigumu sana kuvielewa, kama hili la Mahakama Kuu ya Tanzania, imetoa uamuzi kuhusu ubatili wa sheria ya uchaguzi, tukaamua kutunga sheria mpya ya uchaguzi, wanasheria nguli, wabobezi na wabebovu wakatunga muswada wenye ubatili ule ule?.

Tuliposhirikishwa kwenye hatua zote tatu, kwenye kukusanya maoni ya wadau, kuna watu tulisema,

Kabla ya muswada kusomwa kwa mara ya kwanza, tukaitwa kutoa maoni, tukasema

Na baada ya muswada kusomwa kwa mara ya kwanza, tukaitwa kutoa maoni Bungeni Dodoma, tukasema

Sheria ilipokuja kutoka, ina ubatili ule ule mtu unajiuliza Bunge chini ya mwalimu nguli mbobezi na mbobevu wa
sheria. linatungaje sheria batili kinyume na katiba?!. Halafu bila aibu, anapelekewa kusaini!

Kwenye hili la ubatili wa katiba na ubatili wa sheria, nimesisitiza mtu asiye
Mwanashiria Hawezi kuujua
Ubatili Wa katiba au ubatili wa sheria,

kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
Good article. Tukiwa hivi naamini madhubuti tutaikomboa nchi yetu. Sisi hatukutakiwa kuwa hivi tulivyo. Tanzania imejaaliwa rasilimali mno
 
tatizo kubwa ni moja tu,
wanaojiona wajuaji na kuiona katiba hii ni batili, kwanza ni wachache sana na hawana hoja zenye mashiko kuwashawishi wananchi wengi kuona na kuamini katika ubatili huo,

na wananchi walio wengi wanaona mambo mengi ndani ya katiba yako sawa sawia, na vipaumbele vyao muhimu ni mahitaji yao ya kila siku yaliyo nnje ya katiba.

hata hivyo,
wapiga mdomo na makelele ya mabadiliko ya sheria za uchaguzi na katiba ya nchi, wanalenga zaidi mabadiliko ya vyeo na madaraka kwa tamaa binafsi, chuki binafsi na wivu ambao hauna maana wala manufaa yoyote kwa wananchi ambao mahitaji yao muhimu ni kwenye kilimo, maji, afya, elimu n.k.

ndio maana hoja hii inafaa kupuuzwa tu. Na kwakweli hoja ya mabadiliko ya katiba itaishia JF na kwenye mitandao ya kijamii tu, Lakini field kwa wananchi hakuna habari na wala hawana haja na makelele ya katiba 🐒
Pascal Mayalla kumjibu huyu mtu Kwa like ni kama kijishusha thamani! Hizi Ndio takataka ambazo haziwezi kuamua mustakabali wa taifa letu! Anaandika mambo kinasharia, kuwa watanzania waliowengi out if statistical reference! Ni ujinga sana uliopitiliza watu Hawa Ndio walimdangamnya Jiwe akafananishwa na Mungu akafa!
Please Kama umesema tuwe na jf ya miaka Ile hizi ghasia usizijibu
 
sasa wenye mihemko na makasiriko kama wewe, bila hata ya kua na hoja sijui mnakuja kufanya nini kwenye mada hii muhimu sana kwa watu wenye iq kubwa,

nyie ndio ambao tayari mmeshatapeliwa pesa na vibaka ombaomba wa kisiasa,
na mnajipanga kutapeliwa tena fikra, uhuru na haki ya kupiga kura kwa agenda zisizo na tija kama ile ya no reform no elections,

epuka kuvamia mada heavy weight gentleman kuliko upeo wa fikra wako gentleman, okey? :pulpTRAVOLTA:
Nimekwambia tulia , hayo ya kusema ati walipo viongozi wakuu wa nchi nawe upo, kwanjza kama viongozi sio nchi , watakuepo na wataondoka ili waendelee heshimika lazima timiza maagano ya nchi na wananchi si vinginevyo , kama sivyo wataondoka kwa fedhea kubwa.

2. Jua mwaka huu hakuna uchaguzi so jitahidi weka ufisadi wako vizuri japo hautakuwa wa mda , maana siku unafukiwa utaondoka na yale ya kati ya miguuni yako tu bila kujali ke au me na mwaka mmoja ukifukuliwa utakua kama mti.

3. Mnaojitwika mzigo mkubwa kuwa chawa ,Bwana anasema mwakesha bure

4. Huwezi kuwa na akiri kubwa kama wewe na bado upo ccm kama sio mchawi , mzandiki , chawa , so Mungu anaongea nawe toka huko hutaki utaenda kufa mdomo wazi.

Thanks
 
Pascal Mayalla kumjibu huyu mtu Kwa like ni kama kijishusha thamani! Hizi Ndio takataka ambazo haziwezi kuamua mustakabali wa taifa letu! Anaandika mambo kinasharia, kuwa watanzania waliowengi out if statistical reference! Ni ujinga sana uliopitiliza watu Hawa Ndio walimdangamnya Jiwe akafananishwa na Mungu akafa!
Please Kama umesema tuwe na jf ya miaka Ile hizi ghasia usizijibu
unatoa ushauri na huna hoja gentleman dah? :pedroP:

sasa si ujiandikie mabandiko yako na ukae nayo chumbani kwako, kumbwelambwela kwa mihemko na makasiriko ni ushirikina huo gentleman:pedroP:

hakuna haja ya maringo gentleman,
kufa kila mtua atakufa tu hata akiwa mjinga au mjanja,

na,
infact mwili wako na wangu vitaliwa mchangani na hiyo haina mjadala mrefu sana kwasababu ni kadiri ya majira na wakati wa Mungu dhidi ya kila mwanadamu.

Muhimu zaidi ni kwamba,
iwe mvua, liwe jua, hakuna aya, hakuna nukta wala koma kwenye sheria au katiba ya nchi itabadilishwa kuelekea uchaguzi muhimu sana wa kihistoria, utafanyika october mwaka huu2025, bila kelele wala mdomo wa kibaka au tapeli yoyote wa kisiasa humu nchini.:NoGodNo:
 
Umeandika kitu kizuri sana, nakuunga mkono Kaka P. Jibu liko kwenye Aya yako ya 5. Shida iko kwetu Wananchi kwanza hatuna umoja, kupigania kitu ambacho wote tunataka. Tuko kimatabaka, wanaojipendekeza wanaona mambo yalivyo yanatosha.

Kuna wenye akili wasiojinyenyekeza wao wanataka cake iwe ya nchi nzima, hawa ndiyo wakisema ng'wee kesho katekwa. Sisi wananchi tungekuwa na Umoja Katiba mpya tungeipata, tungepata Tume huru ya Uchaguzi.

Wakati watu tunapigia kelele tume huru ya Uchaguzi, iko mijitu ikisifia na kusujudu vitu vya hovyo, ilimradi wapate teuzi. Hapa tuna shida kubwa na kundi la watu waroho, walafi wa madaraka. Wanatuchelewesha kuwa na Tanzania tuitakayo.

Sisi sote tukiungana hakuna Serikali duniani inashinda mbele ya umoja wa wananchi wote, watafata vile tunavyotaka na si wao watakavyo. Bahati mbaya tuna mijitu ya ajabu sijui ilikuaje ikawa mitanzania inaumiza sana.
 
Nimekwambia tulia , hayo ya kusema ati walipo viongozi wakuu wa nchi nawe upo, kwanjza kama viongozi sio nchi , watakuepo na wataondoka ili waendelee heshimika lazima timiza maagano ya nchi na wananchi si vinginevyo , kama sivyo wataondoka kwa fedhea kubwa.

2. Jua mwaka huu hakuna uchaguzi so jitahidi weka ufisadi wako vizuri japo hautakuwa wa mda , maana siku unafukiwa utaondoka na yale ya kati ya miguuni yako tu bila kujali ke au me na mwaka mmoja ukifukuliwa utakua kama mti.

3. Mnaojitwika mzigo mkubwa kuwa chawa ,Bwana anasema mwakesha bure

4. Huwezi kuwa na akiri kubwa kama wewe na bado upo ccm kama sio mchawi , mzandiki , chawa , so Mungu anaongea nawe toka huko hutaki utaenda kufa mdomo wazi.

Thanks
Gentleman,
uwe na imani haba au thabiti kwa Mungu na kwa serikali,

uchaguzi mkuu wa Tanzania utafanyika kwa mujibu wa katiba kama ulivyo pangwa bila wasi wasi wala chokochoko kutoka kwa chama cha siasa au kundi la watu Fulani wenye mlengo yao binafsi.

Tujitokeze kupiga kura bila kukosa ndugu zangu 🐒
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi,badhi ya vitu hivyo,vimefanyika,baadhi vimefanyika but not the right way,na vingine havijafanyika kabisa ikiwemo the most important,mabadiliko madogo ya katiba。

Kwenye hli la katiba,minimum reforms, limepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya serikali kuwa hatufanyi,inawezekana ni kiburi na jeuri ya wasaidizi wake sheria,hawajamwambia ukweli wa the legal status ya katiba yetu na sheria yetu ya uchaguzi,au ameambiwa na ajua ila ameamua atafanya kwa muda wake, ila mkilizimisha ndio sifanyi,kwani nisipo fanya, mtanifanya nini?。

Na kwavile na kiukweli kabisa katiba yetu ya JMT,inamruhusu kufanya jambo lolote,au kutofanya jambo lolote na asiwe amefanya kosa lolote kwasababu,katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye mwenyewe kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba。

Je ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamekanyaga katiba,wamevuja katiba bila kufanywa chochote?!。

Tena imefikia mpaka kiwango cha Mahakama Kuu ya Tanzania,imetoa uamuzi na imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini bado viongozi wetu wanalitenda!,wanakanyaga katiba,wanavunja katiba,wanakiuka katiba na hawafanywi lolote!itakuwa haya ya kusema tuu humu, kuandika magazetini na kwenye mitandao, itasaidia?.

Au inawezekana ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,awategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikatokea na wao pia wako too busy sana,hawajapata kabisa
nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba ya JMT?.

Kuna vitu vya ajabu ajabu vya kisheria vinavyofanyika nchini mwetu, ukiwa ni mwanasheria, ni vigumu sana kuvielewa, kama hili la ubatili wa katiba na ubatili wa sheria yetu ya uchaguzi!.

Mahakama Kuu ya Tanzania, imetoa uamuzi kuhusu ubatili wa sheria ya uchaguzi, tukaamua kutunga sheria mpya ya uchaguzi, wanasheria nguli, wabobezi na wabebovu wakatungaje muswada wenye ubatili ule ule?!.

Tuliposhirikishwa kwenye hatua zote tatu, kwenye kukusanya maoni ya wadau, kuna watu tulisema,

Kabla ya muswada kusomwa kwa mara ya kwanza, tukaitwa kutoa maoni, tukasema

Na baada ya muswada kusomwa kwa mara ya kwanza, tukaitwa kutoa maoni Bungeni Dodoma, tukasema

Sheria ilipokuja kutoka, ina ubatili ule ule mtu unajiuliza Bunge chini ya mwalimu nguli mbobezi na mbobevu wa
sheria. linatungaje sheria batili kinyume na katiba?!. Halafu bila aibu, anapelekewa kusaini!.

Kwenye hili la ubatili wa katiba na ubatili wa sheria, nimesisitiza mtu asiye
mwanasheria hawezi kuujua
ubatili wa katiba au ubatili wa sheria, bila kuelezwa na wanasheria!, hivyo inawezekana mpaka ninapoandika hapa, mwenyewe wala hajui tuna katiba batilifu, wala hajui ametungiwa sheria batili, na yeye kuisaini bila kujua ni batili!.

Hivyo kumlaumu mtu kama huyu ni kumuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu yeye wala hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,something must be done kuhusu hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu ubatili huo sasa umechomekewa ndani ya katiba yetu!.

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hivyo batili ndani ya katiba yetu, nao umefanyika kiubatili!.

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,ila kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa ndani ya katiba yetu,upo ndani ya katiba, hata kama uchomekeaji huo umefanywa kiubatili, lakini upo!, na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu tukufu!,kwa kuliheshimu Bunge, Mahakama ya Rufaa, ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge katika jukumu lake la kutunga sheria,hivyo mpira huo wa ubatili wa katiba na ubatili wa sheria, ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge likatia mpira kwapani na kula kobisi mpaka leo hii ninapoandika hapa!,ubatili huo bado upo ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。Je tufanye nini?.

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi, naendelea kusisitiza kuna kufanya, jambo zuri, doing the right thing, amefanya makubwa mazuri mengi!, na tumemoongeza sana!.

Ila.kwenye dunia ya sasa ya utandawazi na usasa, doing the right thing, is not enough, one has to do the right thing, at the right time and do it right!. Kuna vitu amevifanya ni right thing lakini havijafanyika the right way!

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,is the right thing done on a wrong way!, sheria hii ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa!.
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ni lazima ajiunge na chama cha siasa,hicho chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea uongozi wa umma, matokeo yake tunawakosa watu wazuri, watu makini kutuwakilisha huku tukijaza mazagazaga na matutusa kule kwenye vyombo vyetu vya uwakilishi,matutusa na mazagazaga mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndiooo!,nawengine haswa wale wa vitu maalum,wako pale kwa kazi maalum!,tungekuwa na watu makini mule wa kutosha,yale madudu ya ajabu ajabu yaliyopitishwa mule yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wale wale!. Tume Huru ya Uchaguzi is the right thing,tuirekebishe,isukwe upya na iwe shirikishi!。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
Kwa mfano wa mabandiko yako haya,kamwe huwezi pata ubunge kupitia chama kile.
 
Gentleman,
uwe na imani haba au thabiti kwa Mungu na kwa serikali,

uchaguzi mkuu wa Tanzania utafanyika kwa mujibu wa katiba kama ulivyo pangwa bila wasi wasi wala chokochoko kutoka kwa chama au kundi la watu Fulani wenye mlengo yao binafsi.

Tujitokeze kupiga kura bila kukosa ndugu zangu 🐒
Shauri yako ,utajiju nimetimiza agizo la Mungu wangu juu yako ,so kama wafikili ni utapeli kama wa ccm ,OK kama Mungu wangu ataamua ugonvi kati yangu na wewe kwa hili sawa

Sikia la mwisho ,Mungu ŵangu anasema machawa wote wataenda kufa midomo wazi , bila kujali level ya uchawa , wewe kama mchangiaji hapa jf , umekua ukionekana kama chawa ila akili ipo , so nimekwambia kwa moyo mweupe ,utaki sawa unataka sawa , thanks
 
Back
Top Bottom