Inawezekana tuna watu wasio na uwezo katika nafasi wanazozitumikia?


Kwanza marehemu hawezi kulaumiwa kwa kutaka kupelekwa kwao au hata angetamka chochote muda huo.

Katika hali kama hiyo ya kukielekea kifo, mgonjwa anasemehewa kwa chochote anachoweza kusema.
 
Tulia. 2025 kabla ya uchaguzi ndo utausikia ukweli wenyewe; Mabeyo anawaandaa tu Kisaikolojia. Mtakayoyasikia mtalazimika kumpumzisha mtu. Tulia
Usijifanye unajua sana kutafsiri tafsida au mafumbo. Hotuba ya Mabeyo siyo ya kuifanyia ubashiri. Wote tumesikia wala haina mikunjo au mikwaruzo

Huo utabiri wako wa 2025 ifanyie familia yako tu iondokane na umaskini wako. Rais Samia tunaye hadi 2030
 
Kutumbua nimesema kama mfano ila ki maamuzi makamu wa rais hana maamuz yeyote yale kifupi hana nguvu
 
In Tanzania, it's common for people to hold degree papers without actually being literate.
These papers don't necessarily prove their ability to perform tasks, but instead serve as a means of pursuing monetary gain.

Unfortunately, those who hold degrees but don't prioritize money or unethical deals are often seen as foolish or less successful.
 
Point taken.

Ila, bado swali liko pale pale kwa nini Rais anayeumwa mahututi anaita Paroko, anaita Kardinali, anaita CDF, anaita IGP, anaita DGIS, lakini anashindwa kumuita VP?
 
Lakini mi navoona Vp kwa bongo ni cheo ila kipo kipo tu hakina nguvu, hata kipindi cha magu kwenye kutumbua kama sio Magu basi ni majaliwa basi hatujawahi kumsikia hangaya akimtumbua hata mjumbe wa nyumba 10.

Hata waziri mkuu alisema rais ni mzima na anachapa kazi, kuna tofauti gani na hizo story za vijiweni? Ww ndio uendelee kuamini hizo taarifa za serekali ambazo nyingi ni za kupika.
Basi mtaani utakutana na taarifa wewe umekufa
 
Hivi aliyetaarifiwa kwamba raisi amefariki ni mkuu wa majeshi au mkuu wa majeshi ndo alikuwepo wakati mheshimiwa raisi alipokuwa anakata roho??!!!!

Hebu angalia Aya ya nne ya thread yako na ufuatilie mazungumzo ya CDF vizuri
 
Huenda madaktari bado walikuwa wana imani angeweza kupona !

Nadhani mara nyingi huwa ni madaktari ndio wenye uwezo wa kujua mgonjwa wao anaweza kupona au hawezi kupona !
Mgonjwa huweza kuzungumza mengi kutokana na maumivu anayoyapata !
Wagonjwa wengi tu huwa wanaomba warudishwe nyumbani lakini huwa hawarudishwi !
 
Iko vile bandugu !
Hii ni Bongolala !
Come easy go easy πŸ˜…πŸ˜…πŸ™πŸ™
 
Pia ni mwenyekiti wa vyombo vya ulinzi na usalama
 
Naomba kujazia.
1. CS ndo anaratibu ziara za viongozi wakuu. So inawezekana ziara ya VP ilikuwa kumweka out of the loop.
2. CDF hakujulishwa, alishuhudia kama ulimfuatlia vizuri.
3. Kuna watu walitaka kupindisha katiba kwa kuonesha VP akiwa hayupo basi Speaker may assume authority. Waliotakiwa kusimamia kuhakikisha katiba inafuatwa ni CS.
4. Maamuzi ya kuhakikisha katiba inafuatwa ni ya CDF kwani inaonekana kulishakuwa na mta
 
It's very simple nchi ina Katiba na Sheria.

Ndo mana kuna Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Kipindi Rais anaumwa the first to be consulted alipaswa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali atoe muongozo.

Hii nchi inaendeshwa sana kwa utashi wa watu na ndo mana yanakwenda hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…