johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unajua Tundu Antipas Lisu ni mgombea Urais kupitia Chama kikuu cha Upinzani hivyo ni mtu nyetiWasafi, nao Wana mumunya mumunya tu.
Hatahivyo, tabia ya kukurupuka na kwenda kuvamia kituo cha redio, eti kwasababu hakuridhika na taarifa ya kufutwa au kubadilishiwa Mahojiano yake-Kina uashiria wa Udikteta. Ubabe Ubabe.
Sidhani kama Diamond ana wajibu. Labda kama makubaliano hayakuwekewa kipengele cha "Kusitisha mahojiano bila ya sababu yeyote ile"
....anywho
Wasafi wameepuka Nuksi 🐒Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba interview ya Mh. Tundu Lissu pale Wasafi FM imefutwa.
Awali ilielezwa kwamba Tundu Lissu angefanya mahojiano katika kituo cha Wasafi. Taarifa zisizowekwa wazi ni kwamba mahojiano hayo yamefutwa kufuatia maelekezo ya CCM
Updates
Tundu Lissu sasa yupo Wasafi FM kupata sababu za msingi za kufutwa kwa mahojiano. Licha ya kupewa taarifa kwa njia ya simu, Lissu hakuridhika na badala yake amekuja mwenyewe Wasafi. Uongozi wa Wasafi umeomba radhi bila kueleza sababu za msingi
Ahhh. 😂Kwani pale ni maelezo. Apunguze UdiktetaUnajua Tundu Antipas Lisu ni mgombea Urais kupitia Chama kikuu cha Upinzani hivyo ni mtu nyeti
Kwa maana hiyo Ratiba zake haziwezi kuvurugwa na Watu Wadogo Wadogo kama akina Zembwela 😄
Chadema si waanzishe radio yao,waache kutafuna ruzukuBBC pia itatusaidia kumsikiliza Lissu.
Nani anaiogopa chadema?
Mmiliki wa Clouds na Wasafi ni huyo huyo mmojaWasafi sio radio Mimi radio yangu ni clouds FM tu na kwa mbali radio free Africa
Kabisaa ,walikuwa waingize kirusi kwenye mfumo waoWasafi wameepuka Nuksi 🐒
Kwani anashare pale wasafi hadi aelezwe sababu?Tundu Lissu sasa yupo Wasafi FM kupata sababu za msingi za kufutwa kwa mahojiano. Licha ya kupewa taarifa kwa njia ya simu, Lissu hakuridhika na badala yake amekuja mwenyewe Wasafi. Uongozi wa Wasafi umeomba radhi bila kueleza sababu za msingi[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Katiba mpaya wakati katiba ya cdm ina mwenyekiti wa MileleKwani alikuwa na lipi jipya?
Mmiliki wa Clouds na Wasafi ni huyo huyo mmoja
Kitu ni kile kile 🐼
Kusaga mwenyewe anasaga meno kwa hao followers aliowakosa leo 🐼Ahhh. 😂Kwani pale ni maelezo. Apunguze Udikteta
Akamalizie kombe lake la Uji, aje afanye mahojiano humu basi. T.L aje tu J.F amalize nyongo.
Kama interview tu kuna maagizo kutoka juu hiyo tv chadema watapatia wapi vibali vya kuifungua bila changamoto za maagizo kutoka juu!Fungueni tv yenu kazi kula ruzuku na misaada ya mashoga tu.
Huyu mtu anasemaga uongo na kueneza falsafa isiyofaa ya uliberali tanzania. Eti kila kitu ruksa na kushindana. Wanaruhusu ushoga umalaya eti ni uhuru wa mtu. Asante wasafi kufuta mahojiano na hii kibaraka wa sera za sisi kunyonywa na wageni.Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba interview ya Mh. Tundu Lissu pale Wasafi FM imefutwa.
Awali ilielezwa kwamba Tundu Lissu angefanya mahojiano katika kituo cha Wasafi. Taarifa zisizowekwa wazi ni kwamba mahojiano hayo yamefutwa kufuatia maelekezo ya CCM
Updates
Tundu Lissu sasa yupo Wasafi FM kupata sababu za msingi za kufutwa kwa mahojiano. Licha ya kupewa taarifa kwa njia ya simu, Lissu hakuridhika na badala yake amekuja mwenyewe Wasafi. Uongozi wa Wasafi umeomba radhi bila kueleza sababu za msingi
Ndio hao hao bwashee 😄Level ya ufahamu tofauti huwezi mfananisha Masoud kipanya na hao watu wa wasafi.
wamejifunza kwaTaifa STarz kule Abidjan 🐒Kabisaa ,walikuwa waingize kirusi kwenye mfumo wao