Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

Unajua Tundu Antipas Lisu ni mgombea Urais kupitia Chama kikuu cha Upinzani hivyo ni mtu nyeti

Kwa maana hiyo Ratiba zake haziwezi kuvurugwa na Watu Wadogo Wadogo kama akina Zembwela 😄
 
Wasafi wameepuka Nuksi 🐒
 
Unajua Tundu Antipas Lisu ni mgombea Urais kupitia Chama kikuu cha Upinzani hivyo ni mtu nyeti

Kwa maana hiyo Ratiba zake haziwezi kuvurugwa na Watu Wadogo Wadogo kama akina Zembwela 😄
Ahhh. 😂Kwani pale ni maelezo. Apunguze Udikteta

Akamalizie kombe lake la Uji, aje afanye mahojiano humu basi. T.L aje tu J.F amalize nyongo.
 
Kwani anashare pale wasafi hadi aelezwe sababu?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu bado yupo kwenye ofisi za WASAFI FM , akisubiri atajiwe jina la Mtu aliyezuia Mahojiano yake kwenye kioindi cha GOODMORNIG .



Lissu alialikwa kwenye kipindi hicho lei aaubuhi , lakini ghafla maagizo kutoka juu yakawatwanga mkwara Wasafi FM kutothubutu kumpa MIC Tundu Lissu
 
Hata sijui mnashangaa kitu gani hapo, kwangu hata kama mahojiano yangefanyika, naona hizo ni siasa tamu za muda mfupi tu

Diamond = CCM.

Kitenge = CCM.

Hayo mambo ni kuyazoea na kuachana nayo, tazameni njia nyingine zenye maana zaidi na uzito, zenye kuleta mabadiliko kiuhalisia, sio kwa maneno.

Hata Lissu sioni maana kwake kwenda huko kupata maelezo, hao jamaa wanatumiwa na CCM, ndio wanaowapa leseni, lakini pia, mambo mengine ni maamuzi yao kwani kituo ni chao.

Kama wameamua kuhairisha au kufuta, muhimu wamuombe radhi Lissu kwa usumbufu, biashara iishe, lakini sio kila siku tuendelee kushangaa hadaa zile zile za miaka yote, ni ujinga.

Lissu nae kama anaona amepotezewa muda, aende mahakamani kudai fidia, lakini sio kugomea kwenye ofisi za watu, ataonekana msumbufu mwishowe aje kuondolewa hapo na polisi, now what is that..!!
 
Reactions: Tui
Huyu mtu anasemaga uongo na kueneza falsafa isiyofaa ya uliberali tanzania. Eti kila kitu ruksa na kushindana. Wanaruhusu ushoga umalaya eti ni uhuru wa mtu. Asante wasafi kufuta mahojiano na hii kibaraka wa sera za sisi kunyonywa na wageni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…